Kimasihara hii imetokea recently tu nikiwa natokea Mwanza kuelekea Daslam

.
Naingia zangu kwenye Bus la Darlux mida ya saa 11 Alfajir nikiwa na wenge la jana usiku nilikuwa vyombo kidogo, nacheck kwenye seat yangu amekaa demu ikabidi nimuambie anipishe nikae n akakubali kunipisha nikakaa kilichofata nikalala usingiz mmoja hv mrefu.
Kuja kushtuka ni saa 5 kasoro hvi kucheck pembeni yangu namuona dem mkali kichizi nikajiuliza hv nilimsalimia kweli nikaona huu utakuwa unyonge nikakausha nikawa naangalia pembeni kwenye kioo(Moyoni nikijisemea atajaa tu mwenyewe)
Kweli bwana nikanyuti mpaka mida ya saa tisa hvi lile goma likaanza kusinzia huku akiniegemea nikajisemea muda umefika sasa


Nikamuambia kwann usilale kwangu hapa hvyo unaumia shingo mrembo!! Akasmile n akanisalimia mambo nikacheka nikamuuliza kwani sikukusalimia!? Akanijibu wewe ulijifanya kauzu tangu umeingia ndani ya gari, ikanibidi nimdanganye nimuambie nilikua sijisikii vzr
Stor zikaendelea tukafika lakn tulivyofika Moro sababu usiku ulikuwa umeingia tayar nikaanza kupekenyua sehemu muhimu n zote nilizogusa ilikuwa ni point

nikaendeleza mpka na yeye alipoaanza kujibu mapigo baadae akaniomba akaniambia tutulie kidg tupo kwa gari soon tutafika tu nikamuambia fresh.
Ile tunakaribia kufika office za darlux goma linaniambia kaka yake ameshafika sasa tunafanyaje (Moyoni nikajisemea nishalikosa shombeshombe hili) nikamuuliza kwani unakaa wapi akasema Kigamboni, Tuangoma nikasema yes mbona n mm nakaa Kigamboni hukohuko!! Akasema basi sio kesi nipe namba yako n akapiga palepale nikapata n yake, akasema kesho tutamalizia kazi ambayo tumeianzisha nikasema poa, tukafika stand tukashuka kila moja akasepa njia yake.
Kesho yake nimechill nikijua nimelikosa goma, toto likanicheck n likaomba location, kidume chap kwa haraka nkikatuma baada ya kama dk 40 toto hili hapa aiseeh nilibamiza ile mbususu n ni mnato kwelikweli


Narsa popote ulipo ile game itarudiwa kwasababu alisepa akaend moro chuo baada ya kama siku 4 hv