Kimasihara ya kumla kiongozi wa kazi.
Nikiwa nimehamia idara mpya wakati wa mafunzo fulani ya uangalizi kazini, nilibahatika kusimamiwa na bidada ambae alinizidi kama 4 years.
Kutokana na uchapaji kazi na uelewa wangu katika kazi basi alinipenda kiasi cha muda mwingi tukionana akawa akiniita jina ambalo nilitakiwa kumuita yeye(mkuu wa kazi).
Ilitakiwa kuwa na namba yake ili kuweza kumpa taarifa kama mambo yatakuwa hayajaenda vizuri au ni nje ya uwezo wangu so nilisave na tulikuwa tukiona whatsapp status na kuchat mara chache tu.
Alikuwa kaolewa ila alikuwa na ishu ya mgogoro katika ndoa , mambo ya mtoto.
Basi siku moja ilikuwa katikati ya wiki nikawa nimepika ghetto mboga ilikuwa imeonekana nzuri kwa video, nkaamau kushare whatsapp na hapo ndo ikawa chanzo cha masihara.
Akareply aisee(akaita lile jina) kumbe mtaalamu hivi inaonekana tamu sana. Nikamjibu ofcourse ni tamu karibu lini nikupikie uonje? Akakaa kama masaa 3 ndo akajibu akasema weekend.
Sikuchukulia serious nkamwambia karibu sana(mkuu).
Basi ikafika weekend sina wazo kabisa kama atakuja ukizingatia ni mkuu wangu halafu anauwezo wa kuandika chochote nikakosa ninachotaka, mida ya kuelekea mchana nashangaa ananambia ahadi yangu utaitimiza saa ngap maana sitakula home nitakula kwako.
Ooohh nkamwambia saa 7 ntakuw nshaanza kupika na nkampa maelekezo ya nnapoishi sio complicated so akapaelewa. Kweli 7 na nusu ananipigia nishafika haya maeneo njoo unichukue, basi nkamfuata na kuja nae home.
Kufika home akasema naona msosi unanukia tu humu kweli wewe ni (mkuu).
Nikaweka chakula pale mezani tukaanza kula sasa akaanza kunipa story kuhusu mgogoro wake, sijui kwanini alinipa ile story yake but nkaanza kumshauri pale akawa analia sana.
Sababu ya heshima ya ukuu wake nkawa nampa pole na kumsifia sana akawa anaendelea kulia na kuonesha kama amekata tamaa, basi nkajidai mzungu wa kumkumbatia na kupapasa mgongo ishara ya kumpa polee, duh mkuu akaanza kunogewa na kuniegamia, sikuwaza kama tayari akili yake imebadilika mpaka nilipohisi ananishika kiunoni kwa nguvu.
Nikamgusa kiunoni nasikia sauti ya mguno, kushika kalio naona anaendelea kukaza mkono nkamsogeza ili tuonane, akawa anaangalia chini.
Kuna kibwagizo cha kimasihara kile cha "kula mate sana, shikashika sana etc" kikafuata, nkampa 3 za uhakika akaondoka zake saa 10.
Basi nilipata sana favour wakati nipo idara ile na niliendelea kula vizuri mpaka nilipomaliza kikichonipeleka.