Nobrain
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 256
- 736
Yani sijakutana Na Pisi nzuri...kaka, wallahi nakwambia...Sio hupati pisii ila unaogopaaa mzee..
au labda Sijaua Maeneo wanayopatikana

Yani sijakutana Na Pisi nzuri...kaka, wallahi nakwambia...Sio hupati pisii ila unaogopaaa mzee..

haya mambo mengine tuwaachie vijana wa hovyo mkuuNenda tenahakuna kuacha mbususu
Nilijua tu huna mdogo wangu, zako zote ni "tukutane jioni pale****"![]()






poaaa ,Niko Naja!!Njaa mbaya sanaStory yakuuza peleka kwa shigongo
Wewe na mikito mikito bado mnashikilia record kali za uzi huu, haha...upo mkuuDo you feel it? Ooooh, a lot beibe!!! Hahahah nyooo, alotiiiiiii. Wanawake bn!
Mimi nipo kaka! Sema nimekuwa M-charismatic kila nikianza kutype ya nyuma hofu inatanda nafuta! Lkn nipo ndugu yanguwewe na mikito mikito bado mnashikilia record kali za uzi huu, haha...upo mkuu
Uzi una viewers milioni 11 kwakweli uzinzi ndo dhambi inatuchapa sana mtama![]()


imebidi nikatizame Doh kumbe 

Piga tena
Bado anapiga makelele mpaka leo?Nilivyompata Bibie kimasihara.Nilipata kazi mwaka 2008 nkiwa na miaka 21 Wizarani enzi zile.Nikawa nimekuja likizo Kilimanjaro upareni miaka ya 2009.Ndio kipindi hiki nlikua na appointment ya kuonana na Dada XXX tulisoma nae miaka hiyo.Tulipanga tuonane Marangu Mtoni pale.Asubuhi na mapema nikapanda kosta za Usangi to Arusha miaka hiyo maarufu kama Fantastic.Baadae akapanda mdada mmoja mrefu alikua amevalia suti na kibagi mkononi.Nilimpisha akakaa upande wa nyuma na mda huo wapo wadada wengine na story zimepamba moto.Mi ni mtu mcheshi sana wa story za hapa na pale.Nikamsemesha yule Dada nikawa nimesogea karibu na tukawa tunaongea na hapo nashuka Mwanga maeneo ya Reino Mwanga niingie Nmb bank kudraw nipate kuboost safari yangu ya kumfuata mrembo wa kichaga Marangu Mtoni.Basi nikashuka na nikawa sijachukua number za yule bidada mana nlijua za nini na huku Nina appointment na mtoto mkare wa Kirombo.Basi nikaelekea bank na nilipotoa hela bank nkachukua boda kuelekea stand kupata bus kuelekea Moshi.Nilipofika stand nikalikuta bus la Fantastic ndo linataka kusepa,nikazama ndani na nikamkuta yule mrembo na nikakaa karibu na yeye tena.Awamu ya pili hii sikufanya kosa nikachukua namba.Nilipofika njiapanda nikashuka nikaelekea Marangu kumwona mchumba mtarajiwa.Nilifika na tukaenda sehemu na tukaongea na Dada yule aliyekua Monitress wangu tukiwa tunasoma Diploma chuoni Marangu miaka hiyo.Basi tuliweka mikakati na nikaondoka kurudi Upareni Migombani huko.Likizo iliisha nikarudi zangu Dar es Salaam na nikawa nawasiliana na Dada wa Kirombo na yule nliechukua namba zake kwe bus.Nilipoteza mawasiliano na yule Dada wa kirombo. Nikawa nawadiliana sasa kwa zaidi na yule Dada niliyekutana nae kwenye bus la Fantastic. Tulipanga safari nikaonana na Dada yule Moshi 2010.Nilichukua hotel na tukaingia ndani.Kumbuka tuliongea mengi kwenye simu na tulifahamiana zaidi.Yule Dada akanipa mzigo ila alikua anapiga makelele sana nikahofia wahudumu wa pale na wateja wengine wataleta noma.Nisiongee mengi ila tulipata mtoto 2012 na tulifunga ndoa 2017 na tupo nae mpaka Leo.Sina mengi zaidi ni hayo tu.
Ndio,ila sio sana kama zamani,ila uzuri tunapokaa tuko mbali kidogo na majirani hata akipiga makelele fresh tuuBado anapiga makelele mpaka leo?
Bado anapiga makelele mpaka leo?



uwe na heshima basi, kwa sasa ni mtu na mke wanastahili heshima kidogo 
Mimi nipo kaka! Sema nimekuwa M-charismatic kila nikianza kutype ya nyuma hofu inatanda nafuta! Lkn nipo ndugu yangu





Mchungaji unatafta nn humu?Bila Shaka Mmeamka Salama wapendwa. Mshukuru Mungu kwa ajir Yako na familia yako. Omba Rehema na omba ulinzi wa Mungu weka familia yako wakfu. Mabaya hayatakupa ndivyo Mungu anataka.
Jaribu kufikir wangap wanakufa ghafla, wangapi hawarud nyumban leo wanahamia hospital usiwe wewe kwa kufanya hayo mazoezi mafupi ya Dk 3. Ikiwa wengine wanatumia Dkk 5 kupiz na wanajuta kwa nn wamefanya tumia dkk hizo hizo kumuambia Baba asante.
Mungu anapenda Mtu mwenye shukrani. Fikiri Baba yako akikupa pesa ya matumizi si ulisema Asante Baba. Au mwanao ukimpa 100-500 ya mihogo shule je asipo Sema asante si utamshangaa utamfundisha. Basi Mungu Baba ni zaidi. Mshukuru ata wewe ni mzima haijarishi unamkosea sana usiwaze atakuwezesha utashinda. Mshukuru kwa ajiri ya familia yako