Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mkuu huu uzi unavutia ila una madhara yake. Mimi nilikua nina imani na mke wangu ila toka nianze kusoma huu uzi simuamini tena, nikipiga simu Mara moja asipopokea nakua mkali na spend awe na ukaribu na washkaji zangu. Mpaka ameanza kulalamika Kama nimebadilika sana siku hizi hata simuamini ila namjibu ni upendo tu umeongezeka
[emoji38][emoji38][emoji38]mabaharia sio watu wazuri
 
Hebu wote tum ignore huyu jamaa,unajua watu wengine wana msongo wa mawazo wanatafuta pakupumzika!!
yeye kama ana hela ni zakwake na familia yake sioni sababu ya kuja kutambia watu humu Jf,na haya ni matokeo ya Tecno vitochi,hadi wapumbavu wanamiliki simu!!
Mkuu vipi mbona kama vile unatuandama sana na tushakwambia hatutaki shobo hivi hujaona Uzi mwengine wa kwenda zaidi ya huu ?
 
Nilimuona mtoto anakula tunda kimasihara. Nimewaletea nanyi mumtazame
Screenshot_2019-12-01-08-01-10.jpeg
 
Huyu jamaa atakuwa sio timamu au ni impotence anaona wenzie wanafaidi sana[emoji23] hebu mpuuzieni tuu
 
Huyu jamaa achana nae anashida sehem,hata nyuzi zake hakuna anaechangia ameona bora aje kwenye uzi huu na yeye afanye conversation na watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom