ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Hahhaa kumbe hii theory ndio mnajifariji nayo?! Pole sana dogo! Dogo usijali wewe endelea kula.matunda kwa masihara kwa spidi na ari kubwa
*spidi-Speed
Hahhaa kumbe hii theory ndio mnajifariji nayo?! Pole sana dogo! Dogo usijali wewe endelea kula.matunda kwa masihara kwa spidi na ari kubwa
Hawa sasa wana uzi waoo
HahahahahsNikija kupata mapesa mtoto wangu atasomea chuo nitakachomjengea nyumbani kwangu
HahahahahNarudi kianza hapa...
Alafu kuna wanawake wameliwa kimasihara wanapita huu uzi kimya kimya....
Wengine tunaona hadi mnatumia browser daadeki...
Mje hapa mseme...njoo hata kwa ID mpya tutawapokea tuu..
Kwel mkuu hiyo ni story ya kweli.Ujana ni maji ya moto sanaHii stori inaonekana ya kweli kabisa sio chai. Nimecheka hatari
mabaharia sio watu wazuriMkuu huu uzi unavutia ila una madhara yake. Mimi nilikua nina imani na mke wangu ila toka nianze kusoma huu uzi simuamini tena, nikipiga simu Mara moja asipopokea nakua mkali na spend awe na ukaribu na washkaji zangu. Mpaka ameanza kulalamika Kama nimebadilika sana siku hizi hata simuamini ila namjibu ni upendo tu umeongezeka
Hapa nina mashaka makubwa na hii story
Mkuu hii ni muvi kabisa we noma
Hahha kalagabaho..subiria utajisifia ukiwa kaburini
Iwee nshomile hebu tupe story ulivyomla binamu yako kule kaitaba.Tulia dogo, utasubiri sana, nishinde kwa hoja sio porojo