Mkuu huu uzi unavutia ila una madhara yake. Mimi nilikua nina imani na mke wangu ila toka nianze kusoma huu uzi simuamini tena, nikipiga simu Mara moja asipopokea nakua mkali na spend awe na ukaribu na washkaji zangu. Mpaka ameanza kulalamika Kama nimebadilika sana siku hizi hata simuamini ila namjibu ni upendo tu umeongezeka
mabaharia sio watu wazuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom