Chinedu5
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 759
- 2,695
Hebu wote tum ignore huyu jamaa,unajua watu wengine wana msongo wa mawazo wanatafuta pakupumzika!!
yeye kama ana hela ni zakwake na familia yake sioni sababu ya kuja kutambia watu humu Jf,na haya ni matokeo ya Tecno vitochi,hadi wapumbavu wanamiliki simu!!
yeye kama ana hela ni zakwake na familia yake sioni sababu ya kuja kutambia watu humu Jf,na haya ni matokeo ya Tecno vitochi,hadi wapumbavu wanamiliki simu!!
Mkuu vipi mbona kama vile unatuandama sana na tushakwambia hatutaki shobo hivi hujaona Uzi mwengine wa kwenda zaidi ya huu ?