Ezekia Lameck
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 202
- 211
Mwamba anaona humu kwenye jukwaa hili wote ni jobless, bro hakuna aliyekuomba humu visent vyako[emoji23] we kama unaona wenzio wanawaza ngono tuu unatafuta nini kwenye uzi huu?
Tatizo unaamini kila mtu umemzidi kila mtu ni maskini pole sana [emoji3]Dogo utachangiaje na wakati wewe ushaamua kua mlevi na umeshaukubali umasikini..una mawazo yapi ya kupata labda hata milioni 50 ndani ya masaa 2 ...wewe sehemu yako pendwa ndio hii, ulevi, ngono zembe ..huku unaua maini, huku unaua seli hai nyeupe
Dogo unaruka ruka tu, kuazima simu ndio kufanyaje ...
Afadhali mkuu ngoja niende fasta
SI ulidanganya kua we la saba afu ukasahau?
Au hiii stori sio ya kwako
Mnajifunza jinsi ya kupiga game za fastaMnatufundisha nn wadogo zenu[emoji23]
Hapa ndio nimejua una akili.Unaendekeza mihemkoAsilimia zaidi ya 90 ya nyuzi zako ni za ngono, halafu huna hela ,
Wewe nadhani kule jehanamu una sehemu yako maalumu wewe na baadhi ya wenzio humu ambao wana fanya ngono na shangazi na mama wadogo zao halafu mlivyo mapimbi mnapeana pongezi...huo moto mtakaochomwa mtakua mnaumuka kama maandazi au vitumbua halafu shetani atakua amekaa pembeni anawacheka jinsi mnavyoumuka kama chapati View attachment 1280339
Aaah sio mbaya kumwagika mzee babaNataka nilete shuhuda zangu hapa ila tatizo id yangu ishachunguliwa na mchuchu
Na amenihakikishia anausomaga huu uzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo lako ni kudandiadandia, nikisema uoneshe niliposema bahati huwezi, nikisema uoneshe wap nimesema ni mama mzazi huwezi pia.Dogo aniita bahati kulala na mzazi wake mana mzazi sio lazima awe amekuzaa
Ndugu PATIGOO unaonaje ukaturuhusu tuendelee kuhadithiwa wenzetu waliokula tunda kimasihara?Ukweli unauma siku zote..ndio mana mnatapatapa kama hivi
Ukiishi kwa upanga..[emoji117][emoji117]malizia mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
na kwa nini ulikuwa ukimsalimia, inamaana alikuwa ana umri mkubwa kuliko wewe ama lilikuwa ni wenge la u-shamba ndio lililokuwa linakupa shida[emoji144][emoji144]Yani nilijisahau baada tokeo kutok niko nae na furaha nikamwambia nimepasua paper aka mind kw nin ulinidanganya
malipo ni hapa hapa duniani mkuu,binguni ni marungu&bakora kwa kwenda mbele..sina hakika kama mkeo hajawahi kuku- chit toka uwe nae!Kwa hiyo na wewe unaongezea kunitisha