Hebu wote tum ignore huyu jamaa,unajua watu wengine wana msongo wa mawazo wanatafuta pakupumzika!!
yeye kama ana hela ni zakwake na familia yake sioni sababu ya kuja kutambia watu humu Jf,na haya ni matokeo ya Tecno vitochi,hadi wapumbavu wanamiliki simu!!
Mkuu vipi mbona kama vile unatuandama sana na tushakwambia hatutaki shobo hivi hujaona Uzi mwengine wa kwenda zaidi ya huu ?
 
Nilimuona mtoto anakula tunda kimasihara. Nimewaletea nanyi mumtazame
Screenshot_2019-12-01-08-01-10.jpeg
 
Dogo utachangiaje na wakati wewe ushaamua kua mlevi na umeshaukubali umasikini..una mawazo yapi ya kupata labda hata milioni 50 ndani ya masaa 2 ...wewe sehemu yako pendwa ndio hii, ulevi, ngono zembe ..huku unaua maini, huku unaua seli hai nyeupe
Tatizo unaamini kila mtu umemzidi kila mtu ni maskini pole sana

Basi sepa tuachie Uzi wetu sisi tusiokuwa na hela ,madogo kama unavyotuita mbona huo ni ustarabu tu kwa watu waelewa na mnaotengeneza kipato kikubwa kama unavyojimwambafayi hapa au hua hamnaga manners
 
Asilimia zaidi ya 90 ya nyuzi zako ni za ngono, halafu huna hela ,
Wewe nadhani kule jehanamu una sehemu yako maalumu wewe na baadhi ya wenzio humu ambao wana fanya ngono na shangazi na mama wadogo zao halafu mlivyo mapimbi mnapeana pongezi...huo moto mtakaochomwa mtakua mnaumuka kama maandazi au vitumbua halafu shetani atakua amekaa pembeni anawacheka jinsi mnavyoumuka kama chapati View attachment 1280339
Hapa ndio nimejua una akili.Unaendekeza mihemko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom