kopo la chumvi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 256
- 459
Sa hivi ukitaka tukosane nitajie ivi vidagaa vya U23 yaan visumbufu.Kwanza havijui kazi zao ata kidogoMuhimu mkuu.. unakuta kakuzidi 7year lakni anakuambu MWANAUME NI MKUBWA SIKU ZOTE
Wanajali sana kuliko hawa dagaa wa 20s