Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Njoo uandike sasa. Mpira umeishaBado mpira haujaisha
Akija nishtueNjoo uandike sasa. Mpira umeisha
Wamefanyaje??Nyie wanaume hamna dogo...
Jaman sitoi kimasihara
Msijisumbue khaaa
Ww weka hapaWamefanyaje??
Nistoe yangu
Unajaza notifications kwenye uziSasa basi,
Hiyo siku mvua ilikuwa inanyesha,,
Itaendelea...........
Napokea maoni,niendelee au nisiendeleeeee
mzabzab
Baada ya ku graduate nimerudi zangu bomani,katika harakati za kusaka ndogondogo nikafungua ka movie library cha kiwaki tu pale, series zilizo tafsiriwa +miziki na single movie.
Wakati nategatega pale kuna msista mmoja pisi kali akawa mteja angu zikaivana sana,kuzoeana.
Dogo langu alikua std4 kukawa na kikao shule ikabidi nikamuwakilishe Mazaa maana hakuwa fresh na mzee hajuagi hata majengo ya shule tunazosomaga zaidi ya majina tu. Kufika kwenye kikao ndo namuona yule msister amekaa pale mbele kumbe ni ticha bana, kikao kikaisha pale tukasalimiana nikamtambulisha dogo nikachukua na namba zake.
Tukawa tunawasiliana, ndo akaanza kutaka kunijua vizur nlikuaga wapi maana amehamia pale kitaa 2 years na hajawahi niona nikavimba nlikua zangu napambania degree yangu akashangaa kinoma maana uhuni mwingi sifananii kabisa na mtu alosoma (mlofika Arusha 360 kule mnaelewa culture).
KULA TUNDA ;kuna siku kanicheki jmosi anaumwa+stress yuko mpweke kama naeza nimpelekee movie angalau asukume muda. pc yangu nikaeka kwene begi nikamuacha mkali wangu ofisini, nikanunua matunda ka ya 3000 nikaibuka nikamkuta kanywea nikatoa pc nikamwambia leo angalia kitu cha tofauti
nikamwekea ma love story ya kutosha nikampa na matunda pale akashukuru akasema afadhali maana hajala tangu asubuh. nikamwambia ngoja nikupikie mgonjwa, nikapika tukala tumemalza akaenda oga karud na kanga tumekaa kwene sofa moja naona mtu kapandisha miguu kaniekea mapajani. (Mtoto wa kiha dark skin hana hata upele).
Nikaona asilete ujinga.. movie linasonga nikaanza mpapasa kwa miguu kunakuna unyayo naona ananiangalia kama yupo kwene kitanzi, shikashika magoti-mapaja-K hii apa.,..nkaskia tu KUKU WAKO MANATI YA NINI. Nikawa mpole sasa maana nlikua na ugwadu ...taratibu romance nikaka kwene kiti kama nguzo ya TANESCO ikiangua nyumba miguu ipo chini mtoto akakalia shokapu kaanza nesanesa (nkajiuliza hivi huyu ni yule mgonjwa kweli au ) geuzana geuzana pale mara chini mara kwa kiti nikapiga kimoko
Show ikahamia chumbani nimekuja toka pale saa 3 mwepesiii..
JE MAHUSIANO YALIDUMU;baada ya kula tunda ndo tulianza mahusiano by that time nilikua 24 years yeye alikua 32 nikifunga ofisi saa 3 ;30 ntaenda nakuta msosi tunakula wote nakaa had saa 6 night au 7 ndo narudi home mda mwingine nalala huko...Maza akaja jua kambi mpya nlopata alikua anamaindi kinoma maana anasema yule ni mkubwa sana nikakaza kichwa,dem nae tukaenda kwao nako mzee wake nae mtu wa matabaka.
Tulidumu for 2years tukapata mtoto mmoja..broo akanishtua muongozo wa job nikasepa zangu uchugani tukaja shindwa kuendelea sababu za kifamilia nlimuelewesha na move on akanielewa ..tunawasilina vizuri sanaaaa.
Daaah ushanilia Rehema wangu, kila weekend anarudigi babatiMwezi uliopita nilikuwa na mishe moja Babati. Nikafika stand mapema kabisa, mida ya mbili asubuhi kuwa hi basi. Ilikuwa siku ya jumapili. Abiria walikuwa wa chache sana siku hiyo, Ile naingia tu kwenye gari konda akaniambia siti yako hiyo hapo, alikuwa amekaa Dada mmoja mzuri tu, anafaa kwa matumizi ya binadamu.
Kulikuwa na baridi ya kutosha tu. Dada niliyemkuta hakuwa na koti, na baridi ilikuwa inamtesa sana.
Baada ya salamu nikavua koti langu nikamwambia naomba ujisitiri nikampa koti. "Heee wee Kaka, na wewe itakuwaje, nikamwambia hakuna shida"
Gari ilikaa sana stand, hakukuwa na abiria siku hiyo, ilikuwa jpili. Gari imetoka Arusha saa Sita Mchana, hapo baridi linanipiga balaa.
Muda wote huo kila mtu ameuchuna tu. Tumefika minjingu, dada wa watu anapiga miayo ya kutosha, namuuliza nini shida, akasema si unajua nimefika stand mapema, sikunywa hata Chai, naona njaa imefika mahali pake. (nikasema huu ndio upenyo niliokuwa nakuhitaji ) Nikamwambia usihofu, ukifika nitakupeleka sehemu ukale, kumbuka hapo amevaa koti langu.
Tulipofika tu Babati, nikachukua bajaji hadi sehemu moja maarufu, kwa Kabila, agiza kuku choma, lete vinywaji, mdogo mdogo(hapo Dada wa watu ashakuwa comfortable na mimi kama tumejuana miaka kadhaa iliyopita).
Tukala na kunywa, tulipomaliza nikamwambia hapa Mimi ni mgeni (nikamdanganya) ila nimepewa na number ya lodge ya kufikia na rafiki yangu, twende na wewe ukapafahamu ili kesho ukitaka kuja nisipate shida ya kukuelekeza (wote vicheko) Akasema hakuna shida.
Tumefika lodge, tukaingia, anaanza mimi nawahi, home wananisubiri. Nikala tunda Safi kabisa, mtoto msafi hadi raha. Rehe... You are the best. Hii itarudiwa Tena nikija Babati. Kwa gharama yoyote
NitagSumba ikifungwa,nitakuja niandike kisa changu,
Usinitch ..and snitch get stitchesNipo nje ya mada ila ni sehemu ya kimasihara, kumega kimasihara shemeji au pisi ya msela ni usela mavi? Nauliza kwa sababu tayari nimeharibu na kitu ni taaamu balaa.
Watakufwata sana inbox kuomba mzigoWamefanyaje??
Nistoe yangu
Hivi mjomba wako umeachana nae?mbona yeye ukimpa wape na wana wafaidiWatakufwata sana inbox kuomba mzigo
Kuombwa mzigo imekuwa jambo la ajabu.!!!Watakufwata sana inbox kuomba mzigo
Kula mwangu Aman shemej alfu histoshe Alisha kuumiza dada ake Apo aki sawaĶama hukumlaga sister wake sioni shida. Endelea kujilia vyako.
Anko hatuko kiviiile ni km tunaishilia ishiliaHivi mjomba wako umeachana nae?mbona yeye ukimpa wape na wana wafaidi
Mtamu kinoma, usipimeDaaah ushanilia Rehema wangu, kila weekend anarudigi babati
Ahadi Ni DeniSumba ikifungwa,nitakuja niandike kisa changu,