Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Hizi unexpected sex zinatokea sana kigamboni hasa siku za weekend pale amabapo wadada wanakuja beach alaf wakat wa kuondoka hela hawana au wanaachwa na magari walio kuja nayo watu wanajiopolea sana huku kigamboni tunawaita mdondo au utumbo na vijana wanasema utumbo hautupwi
Duuh ukiwa na gari ( hirizi ya mzungu) si unawazoa kiulaini kabisa
 
Asubuhi nimeamka nikachungulia jikoni nikakuta matunda yameisha...

Nikajivuta hadi gengeni kwa Mangi, nikamkuta Mangi yupo pia kuna kibinti pale ila sikukitilia maanani... Nikachukua matunda ya kutosha, wakati nalipa binti akaniambia "Anko naomba uninunulie na mie.."

Nikamjibu namlisha ninayemtomba... Akaniambia anko una mdomo mchafu. Matunda tuu ndio unajibu hivo je ungeombwa gari si ungemchuna mtu ngozi!? Huku nampanulia mdomo "huu mdomo mchafu huu!? Muone na likomwe lako kama panel za sola" wakacheka...

Nikamwambia Mangi mpe huyu ndizi na chungwa ili atulize presha asije akatufia ukiangalia bado ni mbichi kabisa... Nikamwachia Mangi buku kwaajili ya matunda ya demu, nikawa naondoka nikamwambia yule binti 'mimi ndio naondoka, twenzetu'... Akajibu nyoooh huku akibetua midomo... Nikamwambia utajiju...

Kuna duka nikaingia kuchukua vitu vingine, nikamwona yule binti amepita.. Sikuwa na muda nae, ile kutoka kukamata njia naona anageuka nyuma huku akipunguza mwendo... Kwa medani za uwanja wa vita nikajua nasubiriwa mimi...

Nikajiongeza, nikakaza miguu nikamkuta... Nikamwambia naona umeamua kuja mwenyewe, akajibu mimi nipo na mambo yangu nikufuate kwa kipi ulicho nacho!?? Nikamwambia acha maneno mengi, fuata nyuki ule asali.. Nifuate nyuma kimya kimya...

Nikawa nakatisha chochoro huku nikiongea na simu, nikasahau kama kuna mtu ananifuata nyuma... Nimefika ghetto, nafungua mlango mtu huyu hapa...

Kilichofuata ni mwendo wa kusasambua mbususu, tena ni hawa viportable unamkunja anakunjika, nimempelekea moto hadi nimekaonea huruma... Kapika na msosi wa mchana tumekula pamoja...

Kiufupi amekuja kwa dada yake, na amemaliza Form 6 mwaka huu... Hapa kaondoka mida hii ameahidi jioni ataangalia upenyo aje tena tuunganishe vikojoleo...
hahahaaaaa eti komwe kama solar panel
 
Sasa bwana siku moja nilikuwa na mishe yangu mkoa
Sasa nina jamaa yangu ni dereva wa semi...(huyu by then alikuwa best tu) katika story tu akaniambia naka eeh me naenda mkoa flan siku flan...nkakumbuka kwamba na mimi nina safari ya huko. Nkamwambia tutasepa wote aniache kwenye ile wilaya ambayo nilikuwa naenda. Siku moja kabla ya safari akanipigia kunijulisha kwamba nijiandae na tukutane sehemu flani muda flani.
Sasa bwana safari ikaanza ....kutoka dar to mkoa husika. Tukafika kituo flani tulala mikuku kama yote na baada ya hapo safari ikaendelea.
Tulipofika nusu ya safari tukafika mahali barabara ilikuwa inatengenezwa kwa hiyo magari yote yakawa yamesimama na kusababisha foleni ndeeefuuu. Hapo me nilikuwa nimelala kwenye kigodoro.... Basi yeye na utingo wake akashuka kwenda kuchek kuna nini ...kumbe kuna gari ilikuwa imedondoka ikaziba barabara so ndo walokuwa wanajitabidi kuitoa. Hapo ni mida kama ya saa 9 hivi au 10 kasoro alfajiri.
Yeye akarudi haraka haraka akaja nilipolala akasema hebu sogea tulale bwana. Heeeeh akaanza na harakati zake...
Me nkawa nshalegea lege nkajiachia cha fasta. Ile anakojoa tu na gari zikaruhusiwa maana ile gari iliyoziba barabara ilishatolewa kati ya barabara.
Utingo alipoingia jamaa alijikausha kau utadhani sio yeye...
Safari ikaendelea kama hakuna lililotokea...
Me nilipofika nkashuka kituo changu wao wakamalizia safari.
Ninamuonea aibu hadi leo.
Ni mimi naka kama naka katika ubora wangu.
naka on fleek,........umetisha mno
 
Punguza dharau kwa wajomba na mashangazi wa wenzio. Hata kama wako bush wanabwia ugoro na kulima, huko ndiko ada za kwendea daslam zinatoka
Ndio waache ubishi Sasa wanapo hadithiwa ili na sisi tupunguze dharau ....maana haiingii akikini mtu unanjituma kuandika alafu jitu linakuja kusema chai ...kwa hiyo mtu unapoteza saa kuandika chai
 
Mwanamke akisimulia kimasihara hata hatumii maneno meeengi, ni kidogo tu lakini msisismko uko palepale. Wakija wavuta bangi sasa, maneno mia, moshi debe, stori kiduchu.
😁 chezea sana, kula sana mate! shika sana matiiti, nyonya sana (......) baadae nikapima oil, nikakuta fresh! Nikatoa pakti ya condom nikavaa faster! Nikapiga tackle zangu kadhaa... Mara wazungu haooo...! 😁

Dah!! Huu uzi wazee huwa tunapitia kimya kimya. Stori za Mabaharia ni full vituko.
 
chezea sana, kula sana mate! shika sana matiiti, nyonya sana (......) baadae nikapima oil, nikakuta fresh! Nikatoa pakti ya condom nikavaa faster! Nikapiga tackle zangu kadhaa... Mara wazungu haooo...!

Dah!! Huu uzi wazee huwa tunapitia kimya kimya. Stori za Mabaharia ni full vituko.
nimecheka sana
 
Ngoja nidrop masihara moja kimtindo, halaf masihara zipo sema unaona sio lazima kusimulia wakulungwa humu kila tukio sana sana watakuandalia kashfa na kejeli.

Sasa mimi huwa sipendelei masihara za kitambo mtu anasema hii ilikuwa miala ya 80, hahaa daah nabaki nacheka nasema huyu mtu si afanye saivi apate new tukios.

Hii ya jana trh 23 hapo mwezi huu.

Nimetoka home nimeenda sehemu kupata lunch, ile nimekaa lile eneo nikajishangaa nafeel kumiss sana kupata chakula cha edeni kile, hii inatokeaga muda fulani unahisi upate mtu umudinyee mwili upoe, lakini pia inatokea muda fulani hutak demu kabisaa.

Sasa ile mwili unataka niupoze nikaanza kuwaza nitapotezea kwa nani, aah nikasikia sina hamu na demu wangu, nataka kitu kipyaa ndio nitalidhika.

Swali likawa Je nitamtoa wapi??

Jibu likaja nitengeneze kimasihara tukio.

Nikakumbuka kuna saloon ya kike nilipita nilimuona mdada ana kashepu na urembo wa haja, si unajua hizi saloon bwana muda wote dada wako sopu sopu. Ila nilimuona ni dada anaejielewa hana shobo na watu kiviile sasa nitampataje kwa formula ya kimasihara? Na mm nilitaka the same day sio ahadi wala kutongoza.

Wakati nawaza formula ya kutumia nikainua uso kidogo naiona bucha upande wa pili wa barabara, kabucha fulani kana vioo safii, na picha picha ya aina za kitoweo kinachopatikana mle ikiwepo samaki, nyama ya moo, mee na kuku.

Nikanyanyuka nikavuka road nikazama mle buchani, nikamuuliza kuku mzima bei gani!? Nikajibiwa 15,000 Boss, basi nikamwambia nipe mmoja ila asiwe ameganda sana, nikafungiwa fresh nikakabidhiwa...

Nikalipa nikaondoka, nikaiweka kwenye seat ya nyuma moja kwa moja hadi pale saloon, bahati nafika namkuta yupo peke yake yule dada kanajifumu fumua vinywele.

Nikapark gar nyuma kidogo ya saloon yake huwa sipend demu anipende au anipe tunda sabab ya gari.

Nikamfuata mikono mitupu, nikamwambia mambo ? Kakajibu poaw, karibu.

Nikakaambia nimekuja kuosha uso yani scrub ya uso,
Akasema hatuna huduma kwa wanaume na scrub hatifanyi hii saloon ya kike.

Nikasema sawa cha msingi usiache hela, ngoja nije na sabuni, maji yangu lita tano, na asali unifanyie kama huna material, kakacheka pale kimtindo kanaona natania tu nikasepa kurud nyuma ilipo gari.

Nikamchukua yule kuku mzima kwenye mfuko, nikafika nikamwambia nimekuletea zawadi, kwanza akawa kametoa macho kakihisi naendeleza ule utani wangu tu, nikamwambia nipo serious pokea zawad yako naondoka, akapokea ila bila bashasha ni kama bado yupo kwenye bumbuwazi..

Nikamwambia usile chips na kipaja cha kuku, pls leo kula kuku mzima huyo, hapo ikabid afunue achungulie, kakaitikia wooow asante sana.

Nikasema usijali, akasema hajawah pata zawadi ya kuku mzima nimempa suprize.

Nikasema usijali enjoy that kwiooo kwiiooo.

Nikamwambia sina muda mrefu wa kuwa hapa kwako naomba niondoke, ila nina ombi moja kama hutojali unisaidie, kakatega masikil kusikia nasemaje.

Hawa kuku bwana walikuwa wawili, mmoja nimekuletea kama zawadi, maana niliwah kupita hapa nikakuona nikajisemea leo ngoja nikuletee kitoweo,

Sasa kuku mmoja nimemuacha kwenye friji yangu, na kibaya zaidi kuandaa kuku ananizingua sana, nakata mguu wa kushoto, sijui wa kulia then kipapatio ila nikifika kuukata kata mgongo na kifua kupata vipande vipande huwa nakesha na naishia kuharibu ukataji wa kuku.

Hivyo nikuombe kama unayo nafasi unisaidie kunikatia kati kisha urudi, akasema ooh pole, ila saivi itakuwa ngumu nipo peke yangu hapa.

Nikamwambia basi usijali, nikuombe uwah kufunga kabla ya giza upite unisaidie kisha iondoke kwako, akaniuliza unaishi wapi? Nikasema sio mbali mtaa wa tatu toka hapa, akasema ataangalia.

Nikasema sio vzr kusema ataangalia ina mana anataka nilale njaa, akasema hapana!
Basi pale pale nikasema nipe namba ukifunga iwe rahisi kunipa taarifa nikuoneshe uje akataja che che che nikaandika nikasevu nikasepa.

Saa moja na nusu hivi jion nikakatext, hujafunga kuku atachelewa kuiva jaman! Kakajibu hivi uko serious?? Hahaa wanawake bwana, nikasema why nihangaike hivi na swala nisilo na userious nalo.

Kakajibu ok nafunga nakuja, dk 5 naulizwa nipe uelekeo, nikakaelekeza nikatokea barabarani kukasubiri haka hapa, nikaongoza njia hadi home.
Hahaa ndani sina kuku kwenye friji wala samaki, nilijisemea tu kumbe mtego umetick.

Kamefika ndani na kuku wake yule, nikasema pumzika hapo kwanza,

Kakasema nawah lete kuku, kisu na sinia nikusaidie niondoke..

Nikaingia chumbani nikarudi nikafungua friji nikatoa maji nikampa kunywa maji, akapokea akanywa, huo muda natafuta namna bora ya kuichokoza Marekani kama China afanyavyo saivi.

Nikawasha na tv akawa anakunywa maji ana angalia.
Nikasema ulivyokaa kimia toka tumepeana namba nikajua hutakuja, kuku nimempelekea dada mmoja mgahawa wa hapo jirani anikatie katie, akiwah kumleta atakukuta humu, akasema sasa mbona umenisumbua bure jaman, nikamwambia sio usumbufu bwana umenitia baraka ndani kwangu,.

Akasema haya mm nawahi, ile amesimama kuondoka nikasema nikusalimie kwa hug uondoke, huwa wengi hawapingi hug tamu eeh?

Basi ile nimemhug nikashusha mikono harka haraka hadi makalion nikatokea tumbon, akashtuka kidogo kujinasua aondoke, nikasema naomba dk 1 nikuambie,

Nadhan hunifaham ila jua mm nakufaham napitaga pale nakuona sana, hivyo nikaona nikupe zawd na tupate kufahamiana, akaniuliza kweli? Nikamjib sisemagi uongo.

Nikaambiwa basi kesho nitakuja tuongelee hilo acha niwahi nyumbani, nikaona nisiwe kivumisi kilazimishi nikaachana nae, kesho yake nikakausha had jion ndio namtafuta vipi utakuja kama ulivyosema akasema ndio nakuja..

Alivyofika akaomba uani akojoe, nikamuonesha ili kamaliza nikafungua mlango wa uani nakupa ndo chupi ipo magotin, akasema jaman ile kiaibu nikamwambia sorry na mm nilibanwa na mkojo nikaona unachelewa kutoka, ile anaendelea kuipandisha nikawa nimemfikia basi akawa anashangaa pale nikaishikilia kama namvalisha , kumbukumbu zangu ile chupi ilivuliwa na nguo zingine zikatolewa zote na kupewa masihara yangu taaamu.
Kwa ule uzuri wake nimekaambia kasishangae nikaweka kambi.

N.B Wazee wa Afya cdm ilihusika, na naunga mkono hoja ya matumizi ya kinga 100%

CHAI​

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom