Hii imenitokea kipindi cha serikali ya mtoto wa Mzee Ruksa huko Unguja.
Miaka ya karibuni nilishaacha kabisa haya masuala ya kula kimasihara; si unajua tena umri umesogea na mtazamo pia kuhusu kuchakata unabadilika.
Ilikuwa kikao cha wadau wa idara tofauti za serikali na mashirika kadhaa kuhusu masuala fulani hapa duniani. Basi, nikiwa mmoja wa washiriki nikawa nimepangiwa kufikia hotel fulani hivi pembezoni mwa barabara ya kuelekea uwanja wa ndege wa Zanzibar;
Siku moja kabla ya tukio mimi nikawa nimewasili visiwani na kwenda moja kwa moja hotelini ili walau nianze kula posho na kufurahia mandhari ya Unguja.
Chumba nilichokuwa kilikuwa karibu kabisa na sehemu ya Spa na Massage; muda wa jioni nikiwa nimekaa nje ya chumba changu nikitupa macho kwenye swimming pool, wadada ambao ni wahudumu wa spa na massage walikuwa wakipita mara kwa mara, hawa walikuwa wakinipungia na kutoa salamu ya ''hello'' iliyoambatana na tabasamu; nikasema hii ndio inaitwa ''hospitality'' kwenye sekta ya utalii.
Na mimi ili kuonyesha kwamba si mgeni wa mambo hayo nikajifanya nipo bize kupunga upepo japo akili ilikuwa inawaza namna ambavyo aliyefanya uchaguzi wa hao wadada alivyotulia kwenye usahili, maana wote walikuwa ni wasichana wazuri.
Usiku nikaenda kupata dinner, kwenye majira ya saa tatu nikarudi chumbani kwangu lakini nikaamua kukaa hapo nje huku nikicheki habari mbili tatu kwenye simu; hawa mabinti waliendelea kupita japo wakati huu walikuwa wakipita mara chache.
Nikiwa bado natafakari uzuri wa hoteli na hawa wasichana, mmoja akapita na kunisemesha ''hello, vipi usingizi umegoma kuja?'' nikamjibu hapana nipo tu napunga upepo. Swali la pili akauliza ''huitaji massage? nikamwambia hapana. Akacheka huku akielekea sehemu ya spa & massage.
Muda kidogo akawa anarudi wakati huu akaniuliza tena ''bado hujaenda kulala tu?'', hapa sasa ikabidi niropoke tu nikamwambia '' nilikuwa nakusubiri wewe''? Binti akasema ''sisi haturuhusiwi kulala na wageni,meneja akijua huna kazi''
Nikaona ngoja nikumbuke ujana kidogo, nikamwambia sasa meneja yupo ofisini tena ameshala sasahivi, haya yanayotokea huku atayajuaje? Binti akasema ''kuna kamera huku, ila nikiingilia mlango wa nyuma hakuna kamera''. Nikamwambia sawa nakusubiri na kuacha mlango wa nyuma wazi''
Basi nikaingia ndani, nikafungua mlango wa nyuma upande ulio na balcony, ili kumsubiri mgeni wangu.
Baada ya dakika kama 10 hivi nikiwa nishaanza kukata tamaa mlango ukafunguliwa, binti mweupe mchanganyiko wa Mbantu na watu wa Arabuni akaingia akiwa na zile nguo za kufanyia massage ( kigauni kifupi ila kina nafasi ya kutosha).
Namkaribisha anakwenda moja kwa moja kitandani, anannikabidhi pakti tatu za kinga na kuniuliza ''utakaa hapa mpaka lini''?
Sikuwa na muda wa kujibu swali zaidi ya kumsogelea na kumyanyua na kuanza mpapaso, nakuja kugundua kumbe ndani hana kitu ni hicho kigauni tu, nafungua kamba za kigauni na kukiweka pembeni, binti chuchu zimechongoka, na mwili una joto la kutosha,nikamlaza taratibu,fanya ziara kwenye mwili wake,cheza sana na chuchu ..........nikajilia tunda.
Akatoka usiku kama saa nane hivi na kuniambia kuwa kesho yake atakuwa off.......Natafuta begi lilipo nampa 30,000/- kama asante ananiambia kuwa ''mimi sijiuzi''....akakataa zile nyekundu tatu.
Kikao cha siku tatu, nikamla usiku wa mwisho kabla ya kurudi Bara kuendelea na maisha. Hawa wadada wa Spa& Massage wana balaa....