kopo la chumvi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 257
- 467
Leo ni leo asemaye kesho ni mwongojaman kesho nitawapa story. nakula kwa masihara muda mfupi ujao![]()
Leo ni leo asemaye kesho ni mwongojaman kesho nitawapa story. nakula kwa masihara muda mfupi ujao![]()
Hivi RSM Matanda bado yupo pale?Kuna afande alikuwa anaitwa Kessy wa F coy Yule aliyejimwagia ndoo ya maji, kuna afande alikuwa anaitwa Chuga alikuwa kule shambani kwa msanga yaani usiporudi na kuni anakukamata pale shuleni,
Kuna kiafande kilikuwa kinaitwa Mlozi cha E coy kilikuwa kina Mambo ya hovyo sana.
Kuna Mzee mmoja alikuwa Ni staff sajenti jicho lake moja kama halioni vizuri hivi alikuwa anatoa doso hatari pale getini.
Wapiiii afande kayange mwenye mapengooooooo haaahaaaa.
Wapi RSM MATANDA Mzee wa ng'ombe wa mayai.
Wapiiii RSM kikotiiiiiii mzee wa makamanda makamandaaaaaa haaahaaaa
835KJ, mgamboooo
Ee wapo kule afu sisi wengne ambao hatujauelewa ule uzi tunaona chenga tu kuleMambulula waliokuwa wanachangamsha uzi wamehamia kwenye ule uzi wa RUSSIA vs UKRAINE
Ni ule uzi wa kushonea viatu mkuu.Wakuu ni uzi gani mpya ambao upo spidi Sana kwasasa ukiacha ule wa russia vs ukraine
katafute tena, mrudie game vizuriSaa moja na nusu shughuli za ubarikio zimekamilika,nawasha gari kuelekea home mara dirishani mwa gari upande wa kushoto kana gonga kabinti ka mtaa wa chini na wadogo zake wa tatu wanaomba ni wasogeze...
Weka link mkuuNi ule uzi wa kushonea viatu mkuu.
Inahusiana vipi na kimasikhara?Mwanamke mzuri alikuwa ni MP alafu alikuwa analiwa na mshikaji flani wa kujitolea ambaye alikuwa doja maarufu
Maluten wote wa kike walikuwa na sura ngumu.
Kuna jamaa kipindi cha uzalendo alikuwa anavaa kiraia anapiga story na kuruti asubuhi hadi jioni lakini aiku tunafungua mafunzo nkamuona katupia sare kama za magereza ana minyota sijui zile sare ni za jeshi gani
Labda Ngolo KanteAchana na hawa masai Fake me nasemea walee wa NGOLO NGOLO ......SERENGETI ...WANAKULA WATALII KILAINIII
wewe ni mfiraji?
HatariiiiTobaaaaaaah.
Mabaharia upo Fasta hamtaki utani kwenye kaziMpe namba yangu 0716 676 060. Atafurahia shooo
Wkt unakula andaa na mafuta yako kbsa ya kulaKweli wanawake vichwa maji.
Kuna mama aged 45 + ana watoto 2, mke wa ndoa kabisa.
Nimejaribu kutekenya imo, sasa hapa naitwa baby kila saa natafuta nafasi tu ya kumpa mambo.Promise nyingi sana nampa nimeona amesha data kabisa.
Nb
Nilikuwa natest mitambo kuona kama naweza chapa mke wa ndoa ya mtu.Wanaume tuleee wake zetu manina.
Labda miti haina matunda kwa sasa!Story zimeisha???????
Wako busy kufukia mashimo ya Pasaka na EidStory zimeisha???????