Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Baada ya kununua ka baby walker kangu nikakumbuka mbwinu za wadau wa huku uzinifuni state aka kula tunda kimasihara. Nikaona ngoja nizurure tu bila mpango wa maana nikatokea mitaa ya mtongani nikakumbuka nina namba za wadau(friends) wangu wanaishi huko. Nikaona sio kesi nikamcall mmoja akasema anakuja tuonane. Nikamwambia fasta kidogo nina haraka. Nikatafuta sehemu nikakaa na kuagiza mirinda nyeusi (walevi msinipopoe mi sio mtu wa tungi hata kidogo, ni priority tu) baada ya nusu saa simu inaita kucheki kwa kioo ni yule mchuchu. Nikakata na kumpigia (hii mbunu huwa naitumia kuonesha uanaume) sio unapigiwa na potential..... unakimbilia kupokea haraka haraka kama mfanyakazi wa tanesco anavyokimbilia kukata umeme ikitokea uhaba wa mvua. Show ur status kwa kukata na kupiga hapo hapo some ladies love that. Alipopokea akalalamika pale eti nimemkatia simu nikamwambia mm ndo nimekuita so nina jukumu la kukupigia. Nikamwambia anipe dakika sifuri nitakuwa pale. Kweli nikaingia ndani ya baby walker yangu fasta nikateleza mpaka alipo. Kwanza hakuwa na ufahamu kama nina kababy walker. So ilikuwa surprise kwake. Akanipa hongera za kizushi pale. Nikamwambia aniombee nipate gari la kupanda sio ile kigoda cha kuingia.

After salamu nikamwambia anipe uelekeo akasema hana idea, nikamwambia follow my lead. Nikasepa pale kwa mwendo wa wastan huku nampiga maswali ya kizushi kuwa ikitokea jamaa yake akamtafuta itakuwaje. Akasema hakuna wa kumtafuta... Taa nyekundu kichwani ikawaka na ibilisi wa zinaa na ngono za reja reja akaniniong'ineza (mbu leo ni siku yako) nikamwambia sitakuangusha. We have been together in all downs.

Nikaendelea kumchombeza mtoto kwa maswali ya kizushi mpaka aliposhtuka tupo mtaani kwangu akauliza huku wapi nikamwambia follow my lead. Nimeona nikulete kwangu upajue. Akaonekana ouwaza kidogo nikamtoa wasi wasi kwa kumwambia afike atie baraka maana sipatagi wageni mm!(If walls could talk ningeumbuka siku hiyo. Ila yote kwa yote Mungu fundi) Alijua haya yote b4. Kufika nikasimamisha kamkebe kangu nikaenda kumfungulia mlango aliishia kuniangalia na kutabasam tu. Then nikamuongoza ndani huku nimemshika mkono na tulipoingia nikamwambia karibu mgeni. Sijui nikupatie nn? As if kuna vingi vya kumpa. Aliomba maji ya kunywa nikamwambia hayo hayapi labda juisi au soda. Akasema juisi. Sikumuuliza ipi coz ilikuwepo aina moja tu. Juisi ya embe natural so nikamtengea kwa glass yangu pendwa nikajimiminia na mm ya kumsindikiza mgeni anywe kwa uhuru kisha tukakaa kochi moja.

Up 2 that moment sijui nitaanzaje ila kwa kuwa nina kampani ya brother ibilisi nikaona poa tu itafahamika huko huko. Alipotua glass yake nikaichukua kisha nikapeleka mdomoni kwake kumnywesha. Alisita sita ila nili insist akakubali kishingo upande. Nikakumbuka nimefanya ujinga wa kutoagiza chakula (huwa sipiki coz kupika kwangu ni gharama kubwa mno. Lazima nipike vya kueleweka. Sio nipike mchicha kama mboga kuu. No. So nikamuomba radhi nikatoka nduki kwa speed ya msafara wa Hangaya. Kufika kwa kibanda nikachukua chips yai na nusu kuku. Then same speed home. Nilifika mapema hakuamini kama nimetoka mbali kidogo. Nikaweka mezani pale na nikalazimisha kumlisha. Sijui nilipata wap ujasiri ule maana nilimuangalia machoni kisha nikamkiss ile ya hewan. Naogopa kukiss direct coz am a bad kisser.

Akasmile kisha akasema nimeanza uchokoz. Nikamwambia a relax. Nikamsogelea nikamnong'oneza shingoni. Nikaona ameongeza kupumua kidogo nikasema huyu gumusi ni lewo (kwa sauti ya brother K) nikapeleka mkono kwenye mapaja mtoto katulia tu. Nikausogeza kunako mji mkuu akautoa taratibu huku analalamika mi sijali. Huku kichwa cha chini kishapata moto hatari. Hata msosi hatukumaliza nikambeba mpaka kitandani piga sana sarakasi pale na ushirikiano ulikuwepo wa kutosha. Sijui walevi mnaposema kuna ushirikiano mnamaanisha wa pombe au wa mhusika. Raha ya embe ulile likiwa linajielewa sio kula huku kuna stimu za vitu vingine kichwani (kwa hili tutabishana mpaka mwisho wa dunia ) how do u eat while uko na stimu za alcohol kwa head? Ndio mnakuja kutudanganya mmeenda 30 minutes kumbe mmetumia single digit. Huyu pisi ilikuwa ni safi mpaka shetani naamini alikuja kuhakikisha. Sio muumini wa kupiga deki ila siku hiyo nilipiga vzr tu. Na alijua majukumu yake vzr. Nisingemnyang'anya mic angetimiza album maana sio kwa kuimba kule. Mama junior aje apewe somo la bure kwa hii pisi.

Of coz niliuza mechi n F@k life. We all die once. Though we live everyday. Baada ya kimoja tukaelekea kuoga. Huko bafuni ikawa shida mtoto akakamata ukuta yaani kidogo nihonge hati ya dunia. Sema tu haikuwa kwangu. Mngetafuta planet ya kwenda kuishi manina zenu.

Tulirudi room tena ikawa fujo bin utata. Kifupi pisi iliondoka kesho yake na mpaka leo najilia vyangu kadri ninavyobarikiwa. Na hati ya dunia mkae nayo huko huko mkinipa mm, ikipatikana na jina la mmiliki mwingine tusilaumiane.

Msiniletee falsafa za kumfanya maza hausi hapa sio mahala pake. Kuna watu ni watamu mpaka utamu wenyewe unaenda kujifunza pale. Alijisemea mdogo wangu haya ni matunda yetu tusipoyatumia tutahukumiwa.
na kweli kuna watu wanajua kuimba wanatishia kutimiza albamu
 
Mwezi wa January 2022 hapa ninapoishi jirani kuna mbibi, huyu bibi alikuwa na kijana wake ana vimaisha vyake kidogo, huyu kijana kajenga na jirani yake hapo kamjengea mama yake.
Sasa huyu mwamba alikuwa kaoa na wana watoto wa kwanza yupo form 3 kama sikosei, ila inaonekana bahati mbaya mkewe alikuwa wenge wenge (mcharuko) hivo wakaachana mwaka jana kama April hivi.

Ilipofika mwezi wa nane mwaka jana yule mwamba akarudisha visa ya kuishi kwenye sayari yenye milima, mabonde, maziwa, mbuga, magari na app ya JF yenye nyuzi ya kula tunda kimasihara (namaanisha alifariki dunia).

Baada tu ya huyu kijana wa bibi kuaga dunia, yule mke wake akaibuka kwa kasi kuanzisha fujo, alimtaka hadi bibi kikongwe ahame pale alipo! Iliniuma sana, bibi akaambiwa mchawi, bibi akaambiwa hana chake pale na kwamba mali zote ni za watoto!

Sasa bibi akatoa wosia alioacha marehemu ili kupunguza maneno, ikaonekana nyumba anayoishi ni yake na ina hati kwa jina lake, lakin nyumba nyingine ina fremu ni kweli ya watoto ila kwa shart bibi akae na nyaraka hadi watoto wakija kuwa wakubwa wamemaliza shule ndio awape hati, na aendelee kukusanya hela kwa ajili ya kuwalipia ada.

Kufupisha story ule mzozo na mke mtarakiwa wa kijana wake ukazid sana pale nyumbani, nikamshauri bibi tupate maamuzi ya kimahakama, tukaenda mahakamani kupata mwongozo wao!

Tumefika mahakamani kesi ikasajiliwa masijala na kutakiwa kwenda kumuona hakimu tupangiwe siku ya kesi kusikilizwa.

Hapa ndio masihara ilitia team mbaaaaaa

Ile kuingia kwa hakimu namkuta ni pisi fulani amaizing, nadhan mnaelewa hii tasnia ya mahakama ikiwa na watu wabaya ni wabaya haswaaa na ikiwa na msichana mzuri utamkuta ni mzuri kufuru.

Ile kumuona hakimu ni pisi hatari nikajikuta nimeanza matumizi ya miongozo ya kula kimasihara mara moja bila kupoteza muda.

Cha kwanza nikaanza moja kwa moja kutaniana nae pale mahakamani kama vile tumefahamiana muda mrefu, (mahakama ilikuwa ya chamber sio ya wazi)

Mheshimiwa Nimekuja mwenyewe unihukumu kwa maana nimeona si vema Jamhuri kunitafuta, akatabasamu akaniuliza ni jambo jema una kosa gani umetendea jamhuri,

nikacheka kisha nikampa tu story fupi ya mkasa wa bibi na kwamba nimeamua tu kumsaidia walau kutoa maelezo maana hawezi jielezea vizuri, basi akasema ni jambo zuri ulilofanya sikuhukumu


Akasema baada ya week mbili tufike tena mahala pale kusikilizwa kesi yetu!

Sasa wakati anatoa hilo hitimisho wale wahudumu (karani) wa kuitisha kesi akawa amechukua mafaili kutoka nje kwenda kuitisha kesi zingine waingie ndani kwa hakimu kuendelea na mashtaka yao.

Nikatumia huo muda kumwambia mh. Huwa nasafiri sana, na huyu bibi nilipenda tu nimsaidie kama mama yangu au kama mama yako pia!

Hivyo nisaidie namba endapo utapanga tarehe siku ambayo sijahudhuria mahakamani basi uweze nipa update.

Akajifikiria kidogo, nikakazia huyu ni mama yetu najua ww ni mtoa haki, lete tu hiyo namba itakuwa msaada kwa kesi ya mama yetu, basi akaitaja nikaandika nikambeep kweli ikaita kwenye mkoba nikamwambia save ozone layer kisha
Nikasepaaa, kosa mojawapo ni kumpa namba ya simu mulaji wa kimasihara, kwa maana ilileta mavuno mataaamu sana kula lile tunda amaizing.

nacheka huku naogopa, hii dar salaam ndogo jamani, sijui mahakimu wa kike wapo wangapi asije kuwa anapitiaga uzi, maana uko viewed na ziaid ya watu milioni 10

Nitaaangalia namna ya kuweka codes tokea kubadilishana namba ya simu hadi on bed, maana hapo ndio pakupafunga funga vizuri
 
Mwezi wa January 2022 hapa ninapoishi jirani kuna mbibi, huyu bibi alikuwa na kijana wake ana vimaisha vyake kidogo, huyu kijana kajenga na jirani yake hapo kamjengea mama yake.
Sasa huyu mwamba alikuwa kaoa na wana watoto wa kwanza yupo form 3 kama sikosei, ila inaonekana bahati mbaya mkewe alikuwa wenge wenge (mcharuko) hivo wakaachana mwaka jana kama April hivi.

Ilipofika mwezi wa nane mwaka jana yule mwamba akarudisha visa ya kuishi kwenye sayari yenye milima, mabonde, maziwa, mbuga, magari na app ya JF yenye nyuzi ya kula tunda kimasihara (namaanisha alifariki dunia).

Baada tu ya huyu kijana wa bibi kuaga dunia, yule mke wake akaibuka kwa kasi kuanzisha fujo, alimtaka hadi bibi kikongwe ahame pale alipo! Iliniuma sana, bibi akaambiwa mchawi, bibi akaambiwa hana chake pale na kwamba mali zote ni za watoto!

Sasa bibi akatoa wosia alioacha marehemu ili kupunguza maneno, ikaonekana nyumba anayoishi ni yake na ina hati kwa jina lake, lakin nyumba nyingine ina fremu ni kweli ya watoto ila kwa shart bibi akae na nyaraka hadi watoto wakija kuwa wakubwa wamemaliza shule ndio awape hati, na aendelee kukusanya hela kwa ajili ya kuwalipia ada.

Kufupisha story ule mzozo na mke mtarakiwa wa kijana wake ukazid sana pale nyumbani, nikamshauri bibi tupate maamuzi ya kimahakama, tukaenda mahakamani kupata mwongozo wao!

Tumefika mahakamani kesi ikasajiliwa masijala na kutakiwa kwenda kumuona hakimu tupangiwe siku ya kesi kusikilizwa.

Hapa ndio masihara ilitia team mbaaaaaa

Ile kuingia kwa hakimu namkuta ni pisi fulani amaizing, nadhan mnaelewa hii tasnia ya mahakama ikiwa na watu wabaya ni wabaya haswaaa na ikiwa na msichana mzuri utamkuta ni mzuri kufuru.

Ile kumuona hakimu ni pisi hatari nikajikuta nimeanza matumizi ya miongozo ya kula kimasihara mara moja bila kupoteza muda.

Cha kwanza nikaanza moja kwa moja kutaniana nae pale mahakamani kama vile tumefahamiana muda mrefu, (mahakama ilikuwa ya chamber sio ya wazi)

Mheshimiwa Nimekuja mwenyewe unihukumu kwa maana nimeona si vema Jamhuri kunitafuta, akatabasamu akaniuliza ni jambo jema una kosa gani umetendea jamhuri,

nikacheka kisha nikampa tu story fupi ya mkasa wa bibi na kwamba nimeamua tu kumsaidia walau kutoa maelezo maana hawezi jielezea vizuri, basi akasema ni jambo zuri ulilofanya sikuhukumu


Akasema baada ya week mbili tufike tena mahala pale kusikilizwa kesi yetu!

Sasa wakati anatoa hilo hitimisho wale wahudumu (karani) wa kuitisha kesi akawa amechukua mafaili kutoka nje kwenda kuitisha kesi zingine waingie ndani kwa hakimu kuendelea na mashtaka yao.

Nikatumia huo muda kumwambia mh. Huwa nasafiri sana, na huyu bibi nilipenda tu nimsaidie kama mama yangu au kama mama yako pia!

Hivyo nisaidie namba endapo utapanga tarehe siku ambayo sijahudhuria mahakamani basi uweze nipa update.

Akajifikiria kidogo, nikakazia huyu ni mama yetu najua ww ni mtoa haki, lete tu hiyo namba itakuwa msaada kwa kesi ya mama yetu, basi akaitaja nikaandika nikambeep kweli ikaita kwenye mkoba nikamwambia save ozone layer kisha
Nikasepaaa, kosa mojawapo ni kumpa namba ya simu mulaji wa kimasihara, kwa maana ilileta mavuno mataaamu sana kula lile tunda amaizing.

nacheka huku naogopa, hii dar salaam ndogo jamani, sijui mahakimu wa kike wapo wangapi asije kuwa anapitiaga uzi, maana uko viewed na ziaid ya watu milioni 10

Nitaaangalia namna ya kuweka codes tokea kubadilishana namba ya simu hadi on bed, maana hapo ndio pakupafunga funga vizuri
Sema code haijakaza sana hii
 
Mwezi wa January 2022 hapa ninapoishi jirani kuna mbibi, huyu bibi alikuwa na kijana wake ana vimaisha vyake kidogo, huyu kijana kajenga na jirani yake hapo kamjengea mama yake.
Sasa huyu mwamba alikuwa kaoa na wana watoto wa kwanza yupo form 3 kama sikosei, ila inaonekana bahati mbaya mkewe alikuwa wenge wenge (mcharuko) hivo wakaachana mwaka jana kama April hivi.

Ilipofika mwezi wa nane mwaka jana yule mwamba akarudisha visa ya kuishi kwenye sayari yenye milima, mabonde, maziwa, mbuga, magari na app ya JF yenye nyuzi ya kula tunda kimasihara (namaanisha alifariki dunia).

Baada tu ya huyu kijana wa bibi kuaga dunia, yule mke wake akaibuka kwa kasi kuanzisha fujo, alimtaka hadi bibi kikongwe ahame pale alipo! Iliniuma sana, bibi akaambiwa mchawi, bibi akaambiwa hana chake pale na kwamba mali zote ni za watoto!

Sasa bibi akatoa wosia alioacha marehemu ili kupunguza maneno, ikaonekana nyumba anayoishi ni yake na ina hati kwa jina lake, lakin nyumba nyingine ina fremu ni kweli ya watoto ila kwa shart bibi akae na nyaraka hadi watoto wakija kuwa wakubwa wamemaliza shule ndio awape hati, na aendelee kukusanya hela kwa ajili ya kuwalipia ada.

Kufupisha story ule mzozo na mke mtarakiwa wa kijana wake ukazid sana pale nyumbani, nikamshauri bibi tupate maamuzi ya kimahakama, tukaenda mahakamani kupata mwongozo wao!

Tumefika mahakamani kesi ikasajiliwa masijala na kutakiwa kwenda kumuona hakimu tupangiwe siku ya kesi kusikilizwa.

Hapa ndio masihara ilitia team mbaaaaaa

Ile kuingia kwa hakimu namkuta ni pisi fulani amaizing, nadhan mnaelewa hii tasnia ya mahakama ikiwa na watu wabaya ni wabaya haswaaa na ikiwa na msichana mzuri utamkuta ni mzuri kufuru.

Ile kumuona hakimu ni pisi hatari nikajikuta nimeanza matumizi ya miongozo ya kula kimasihara mara moja bila kupoteza muda.

Cha kwanza nikaanza moja kwa moja kutaniana nae pale mahakamani kama vile tumefahamiana muda mrefu, (mahakama ilikuwa ya chamber sio ya wazi)

Mheshimiwa Nimekuja mwenyewe unihukumu kwa maana nimeona si vema Jamhuri kunitafuta, akatabasamu akaniuliza ni jambo jema una kosa gani umetendea jamhuri,

nikacheka kisha nikampa tu story fupi ya mkasa wa bibi na kwamba nimeamua tu kumsaidia walau kutoa maelezo maana hawezi jielezea vizuri, basi akasema ni jambo zuri ulilofanya sikuhukumu


Akasema baada ya week mbili tufike tena mahala pale kusikilizwa kesi yetu!

Sasa wakati anatoa hilo hitimisho wale wahudumu (karani) wa kuitisha kesi akawa amechukua mafaili kutoka nje kwenda kuitisha kesi zingine waingie ndani kwa hakimu kuendelea na mashtaka yao.

Nikatumia huo muda kumwambia mh. Huwa nasafiri sana, na huyu bibi nilipenda tu nimsaidie kama mama yangu au kama mama yako pia!

Hivyo nisaidie namba endapo utapanga tarehe siku ambayo sijahudhuria mahakamani basi uweze nipa update.

Akajifikiria kidogo, nikakazia huyu ni mama yetu najua ww ni mtoa haki, lete tu hiyo namba itakuwa msaada kwa kesi ya mama yetu, basi akaitaja nikaandika nikambeep kweli ikaita kwenye mkoba nikamwambia save ozone layer kisha
Nikasepaaa, kosa mojawapo ni kumpa namba ya simu mulaji wa kimasihara, kwa maana ilileta mavuno mataaamu sana kula lile tunda amaizing.

nacheka huku naogopa, hii dar salaam ndogo jamani, sijui mahakimu wa kike wapo wangapi asije kuwa anapitiaga uzi, maana uko viewed na ziaid ya watu milioni 10

Nitaaangalia namna ya kuweka codes tokea kubadilishana namba ya simu hadi on bed, maana hapo ndio pakupafunga funga vizuri
Stori ilivoanza nikasema "Ee Mungu baba!! Huyu mhuni alimpelekea moto mbibi wa watu!!!!"

Kumbe ni tofauti! Afadhali
 
Back
Top Bottom