Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kuna dada mmoja mzuri rafiki yake na mke wangu! Huyu dada alikuwa karibu mno na mke wangu, shughuli zote za kifamilia nyumbani kwangu alikuwa hakosi kuja kumsaidia kazi mke wangu. Yeye kasomea mambo ya hoteli na alikuwa kaajiliwa ktk moja ya hoteli kubwa hapa mjini kwetu!

Jumapili moja, mida ya saa tano hivi, nikiwa na mchepuko wangu, tulienda ktk hoteli moja kujiliwaza. Baada ya kupata chumba, tuliamua kukaa kwanza kwenye mgahawa tule ndio tuzame room! Wakati tukiendelea kupata kinywaji huku tukisubiria oda yetu ya chakula, alipita Supervisor kuhakikisha kama wateja tumepata huduma nzuri! Nusura roho initoke, Supervisor ni yule rafiki wa mke wangu! Kumbe kahamia katika hoteli hii! Alinisalimia kwa uchangamfu na mimi huku nikiwa na mashaka nikajikaza kuweka tabasamu nikujua hakika "nimekinukisha" nyumbani. Alihakikisha oda yetu ya chakula inaletwa mapema.

Nilivaa ujasiri nikamuomba namba yake akanipatia. Pale pale nikamtumia sms nikamwambia "Shemeji haya ndio mambo ya wanaume, nisitiri". Baada ya muda alinijibu USIJALI SHEMEJI. Nikaandika SMS nyingine, "Lini upo OFF? akanijibu. Basi kuanzia hapo tulianza mtindo wa kuchart naye.

Bahati nzuri siku aliyokuwa Off ilikuwa Jmosi, nikampanga tukaenda mji jirani nikamchinjia huko. Niliendelea kumgonga hadi pale alipoanzisha tabia ya wivu na kutaka kunimiliki 100% nikaona hii sasa itanifanya niisambaratishe familia yangu na sio haki. NIKAMTEMA! Ilikuwa ngumu kwake kukubali lakini baadae aliendelea na maisha yake. Mke wangu hakujua kitu!
Mie ndio maana nasemaga hawa warembo wanpenda sana kushare migeggedo....
 
Qmmae wakala wa kukatisha tiketi uliyetaka kumla wife kimasihara. Nilikushughulikia mpaka kidogo kibarua kiote nyasi. Mbwa ww.
Pole sana, na ni ngumu kumeza lakini ukweli lazima usemwe hamna wife hapo!! Kwa minajili hiyo 'ukiwepo' utashughulikia wengi kwa ajili ya mkeo, usipokuwepo kaliwa!! 🤣🤣🤣
 
Jaman kujiamin ni kila kitu, nimeamua kufanya utafiti lakini katika utafiti huu hauna mdhamini (funder) wala haihusiani na kuandika kitabu.
Utafiti umehusu yafuatayo

1. Kwa siku ikiwa confident ukichukua namba za mademu 6, wannne utawala , mmoja atakuzungusha sitaki nataka na mmoja atakupa namba na hatajibu msg wala kupokea simu.
hakuna hasara hapo.


2. Ukipishana na demu uko kwenye gari yeye anatembea kwa miguu fungua kioo dondosha kikaratasi endelea na safari asilimia kubwa huokota kile kikaratasi.

Huwa najaza mafuta shely na siku hizi ni lazima uchukue risti, sasa ndio nimezitumia kufanyia utafiti, nikumuonq msichana nashusha kioo nadondosha kile kiristi kikiwa kimekunjwa kati ya 10 nane walikiokota tena hawakukisoma pale pale ila walishikilia mkononi na kuendelea na safari ili akisome mbele aendako.
Sawa mtafiti Mwandamizi.
 
Pole sana, na ni ngumu kumeza lakini ukweli lazima usemwe hamna wife hapo!! Kwa minajili hiyo 'ukiwepo' utashughulikia wengi kwa ajili ya mkeo, usipokuwepo kaliwa!!
Aliwezesha wakala kuumbuka. Bila wife kunishirikisha nisingejua. Na yawezekana angeliwa. So ni ushirikiano wa wife uliofanya wakala asile. Uwe unauliza kwanza. Maza fanta
 
Kesho nikiwah na muda, nitawapa Stori .


Nilivyomtomba Bidada Mmoja wakishua sanaaa.



Eti kisa, Mama yake aliletwa Hosp kwetu,, akalazwa kitengo changu , na kwakua Mimi nilikua naingia zamu ya usiku.

Na demu wakat wa usiku ndo anapata muda wakutoka kazin aje kumuona mama yake


Getin haruhusiwi kuingia Ndugu wa Mgonjwa , Basi Mimi mwenyewe ndio nikawa namfata Getin, walinzi ...ohoooooo Dokta Samahani Boss ,kumbe ni ngeni wako...


Eeehhh Huyu muwe mnamuacha anaingia muda wote ni Mke wangu.. walinzi wanchekaaaa ..Bidada anachekaaa.



Yeye huyu Bidada ,akaona nmemfanyia jambo lamaana.


Anyway, nmemtomba Alhamis ya wiki ilopita kuanzia saa Tano mpaka saa 10 jion ..baadae nikaingia job.
Tomba masta
 
Aliwezesha wakala kuumbuka. Bila wife kunishirikisha nisingejua. Na yawezekana angeliwa. So ni ushirikiano wa wife uliofanya wakala asile. Uwe unauliza kwanza. Maza fanta

Mimi na wengine ni wasomaji tu hapa, tena tunashauri kwa maelezo ya upande mmoja!! So, unachoeleza ndicho kinatufanya tutoe ushauri, tukusifie au tukuponde.

Story yako imefanya tujue kuwa mkeo ni strong kiasi gani au ana weakness kiasi gani!! Iliyopelekea kuandika nilichoandika!

Mfano: unaposema "kuna jamaa alitaka kula mke wangu" maana yake huyo jamaa alisha win wewe ukashtukia mchakato kabla yaaa...!!

Hiyo quote tu hapo umesema "na yawezekana angeliwa....!", tayari ushaweka kila kitu bayana hata ukinitukana ni wewe mwenyewe umesema si mimi!!

Mkeo ni tia maji tia maji bro!! Weka mbali na rikiboy au Mpembawise 🤣🤣🤣
 
Mimi na wengine ni wasomaji tu hapa, tena tunashauri kwa maelezo ya upande mmoja!! So, unachoeleza ndicho kinatufanya tutoe ushauri, tukusifie au tukuponde.

Story yako imefanya tujue kuwa mkeo ni strong kiasi gani au ana weakness kiasi gani!! Iliyopelekea kuandika nilichoandika!

Mfano: unaposema "kuna jamaa alitaka kula mke wangu" maana yake huyo jamaa alisha win wewe ukashtukia mchakato kabla yaaa...!!

Hiyo quote tu hapo umesema "na yawezekana angeliwa....!", tayari ushaweka kila kitu bayana hata ukinitukana ni wewe mwenyewe umesema si mimi!!

Mkeo ni tia maji tia maji bro!! Weka mbali na rikiboy au Mpembawise
Tena ogopa mtu anayekushirikisha siri zake za kutongozwa
 
Aliwezesha wakala kuumbuka. Bila wife kunishirikisha nisingejua. Na yawezekana angeliwa. So ni ushirikiano wa wife uliofanya wakala asile. Uwe unauliza kwanza. Maza fanta

Nguvu anayo tumia kuku onyesha hayo madudu usifurai kuna kitu anakificha nyuma yake. Kua makini brother usije ukamchoma mtu na mkaa.
 
Back
Top Bottom