Nimekua nikipitia story za watu humu na me leo nikaona nilete kula kwangu kimasihara Binti aitwae M. Miaka hiyo kama 2010 nipo chuo, Mzee yupo kwenye ujenzi, wakati huo nina Mark II GR ya home so misele ya chuo,home na mtaani sio kesi. Kuna Dada tukawa tunaenda kwenye duka lake kununua vifaa vya ujenzi, mtoto white saafi, ila tunafahamiana kitambo mtaani! Mazoea yakazidi ikawa sometimes ananishtua, nifuate dukani anaweka mafuta tunapita kula gambe namrudisha kwake. Alikua ana mshkaji wake Ila hali pombe, so sometimes akimcheck, anamwambia yupo nami, jamaa anaibuka, story mbili tatu saa nyingine wanasepa wote sometimes anatuacha akawa ana Imani nami. Demu tukikaa story nyingi na namuona kashanizimikia flan hadi washkaji wananiambia kula mzigo Ila nikawa kama naogopa kuharibu urafiki na Ile slope ninayopata! KULA KIMASIHARA! Likizo ya chuo, nikaingia kwa bro Dar kusafisha macho, Dem kanicheck, nikamwambia nipo Dar, nae kaniambia pia yupo jijini kufunga mzigo,Jioni tuonane kafikia hotel flan Sinza! Mtu mzima nikaibuka na wanangu flan wawili wa chuo nao wanafahamiana nae. Kufika, panda ghorofani chumba flan, nafika namkuta na Dada mmoja na mshikaji, kilaji kinaendelea, bia zikaagizwa, leta leta, Washkaji zangu wakaaga wanatoka watanifuata, kumbe wameamua kuniachia gap, wakaondoka na yule Dem mwingine, mshkaji aliebaki kakomaa, kumbe ndugu yake, muda kazima! Hapo nawaza nafikaje Mbweni? Dem kasoma mawazo, akasema kitanda kikubwa tutalala wote watatu. Pombe ikaendelea kwa amani sasa! 8 usiku Dem kashachangamka kaenda kuoga, kapiga night dress kalala, na nikajipenyeza kati, Dem ukutani, usingizi hauji kitu kimesimama kama MSHUMAA WA PASAKA! Nikaanza kupekenyua nguo ya kulalia huku nina wasiwasi, akianza kujigeuza natulia, mara paap, chupi pembeni, nikaingiza kitu, piga kama dk 2 Dem kaamka nikajua kishanuka nafukuzwa usiku wa manane. Akaniambia "subiri nikae vizuri" piga mashine sana, mshikaji pembeni anajigeuzageuza tu! Asubuhi jamaa kaaga, mlango umefungwa akakamata sim yangu akaizima na yake kaizima. Show kwenda mbele. Tumerudi mkoani WAPENZI! THE REST IS HISTORY. Samahani imekua ndefu na hapa nimejaribu kufupisha.