Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

he he he .....juzi kati katika ule mgomo wa malori nilikaa na kadada kamoja nikitokea moshi.ilipoingia giza nikajikuta nakachezea chezea mpaka kupima oil lakini kapo kimya tu.tulipofika ubungo mida ya saa tisa usiku nilitamani nikapeleke gesti but nikauchuna kila mtu akaenda kivyake.sikumgegeda but nilishangazwa sana coz kalikuwa kanakuja record kwaya na wenzake
Hii mada inahusu kula tunda kimasihala je wewe ulikula? Vidole sio kula nyooka fuata maelekezo ya mada
 
Miaka ile mzee Pinda akiwa PM wa hii Jamhuri yetu njema.
Nikiwa na kibarua changu katika Taasisi moja ya serikali, nikapata safari ya kikazi huko makao makuu ya hii nchi.
Nikiwa huko na baada ya kutoa taarifa kuwa nipo capital city nikapata mwaliko kutoka familia ya dada mmoja ambaye tulikuwa majirani wakati tunakua katika kitongoji kimoja hapa jijini. Tukakubaliana kuwa nitamtembelea jumamosi.

Basi jumamosi ilipofika, nikaanza safari kwenda kwa huyu dada kama alivyonikaribisha.

Nilifika na mapokezi yalikuwa mazuri sana, alikuwa yeye na mdogo wake (huyu wakati wanahama alikuwa bado yupo sekondari ila wakati huu alikuwa anasoma chuo kwa level ya bachelor degree).

Tukiwa tunakula huku tukiongea habari mbalimbali za maakuzi yetu, dada mkubwa akakumbushia mahusiano yangu ya zamani na binti mmoja, huku akimalizia kwa kusema "unajua S ameolewa lakini kila nikikutana naye lazima akukumbuke". Wote tukacheka, huku dada mkubwa akiinuka maana alikuwa ameshamaliza kula, mezani tukabaki mimi na huyu mwanachuo.
Dada mwanachuo akaniuliza "kwani huyo S ulimpa nini mpaka anashindwa kukusahau?"
Nikajibu tu kuwa '' na wewe unataka nikupe?! Binti akacheka sana kwa hilo jibu.

Ugeni ukaisha nami nikarudi lodge nilipofikia karibu kabisa na stendi ya mabasi ya Shabiby.

Jumapili majira ya saa sita napokea simu, namba ngeni. Kupokea, kumbe ni yule binti wa chuo... Cha kwanza ni shikamoo... Pili anauliza swali lile lile la jana "ulimpa nini S mpaka ameshindwa kukusahau? ''...... Nikajikuta najibu tu, njoo nikupe na wewe.. Akacheka kisha akanitakia Jumapili njema na kukata simu.

Baada ya kama Dakika 20 hivi akatuma sms ''kwani umefikia maeneo gani?" nikamjibu eneo na jina la lodge.
Baada yaa muda akafika, mimi nikiwa nipo room, nikamwelekeza namba ya chumba.
Binti akaingia bila wasiwasi huku akichekacheka naa kusema" dada asijue".

Lilikuwa zoezi rahisi sana baada ya kunywa na kula, kilichofuata ni kumpa alichokifuata.

Huu ukawa mwanzo wa safari ndefu ya kulea mtoto na hatimaye ndoa.

Masihara ikawa serious...
Hapo umetisha sana mwaisa
 
Utaishi milele?

Naishi na sintokufa. Sbb Nipo hai sasa na Mungu amekwisha nipa uzima wa milele. Roho haifi kamwe unakufa mwili. Hapa duniani tayari wewe ni Mfu unaetembea. Roho yako haioni dhambi mauti ya kwanza, suburi mauti ya pili shetani atakapo amua kujichinjia wewe kuku wake maana unapenda matendo yake. Lakini Yupo Yesu aliye hai na akutetee hilo Giza litoweke ndani yako twende wote mbinguni.
 
Kwani dunia ni yetu basi?

Ya shetani lipo wazi kabisa. Mi sishangai watu kupata ajar na kufa kabla ya Siku zao ni mwenye dunia anachinja tu. Lakini walio wa Mungu wataishi milele. Na wewe ndugu yangu Neema ya Yesu ikufunike upate kuona Nuru na wala si Giza. Uone heri wala si shari. Uone utukufu wa Mungu wala si wa shetani ndani ya fahamu zako. Yesu akuteteeni nyote humu
 
Ya shetani lipo wazi kabisa. Mi sishangai watu kupata ajar na kufa kabla ya Siku zao ni mwenye dunia anachinja tu. Lakini walio wa Mungu wataishi milele. Na wewe ndugu yangu Neema ya Yesu ikufunike upate kuona Nuru na wala si Giza. Uone heri wala si shari. Uone utukufu wa Mungu wala si wa shetani ndani ya fahamu zako. Yesu akuteteeni nyote humu
Dunia ya shetani wapi na nyie kwani yeye ndie alie iumba mbona mnatuchanganya
 
Da mkuu uzinzi ni uchafu mwanzo mwisho na hayo yote raha yake haizidi sekunde 3.Sema ukiwa kwenye ndoa uchafu huo una Baraka zake ila huko kwingine ni machukizo mbele za Mungu .ndo maana unashambuliwa kwa kuyasema haya kwenye Uzi huu wa kusifia zinaa

Ni kweli lakini si kulamba Mkundu haiwezekani. Pia wanaonishambulia sio wao bali ni Roho chafu ndani yao. Roho walizolidhi kwa wazazi na babu zao.Tuombeane tu atakae sikia sauti hii ndogo basi aache zinaa hivo tu kwa uweza wa Mungu. Inashangaza mtu anaenda kanisani hilo ni kanisa au hekalu la shetani linalopokea roho za uzinzi. Viongozi wanasali hawaoni vipofu. Dini inashindwa kuwasaidia vijana waliofungwa na hii Roho. Dini ni mavi hizi Dini za Babu,Baba zenu za kulidhi ndo zinafikisha hapa taifa la Mungu. Mlilie Mungu akupe njia kijana
 
Dunia ya shetani wapi na nyie kwani yeye ndie alie iumba mbona mnatuchanganya

Anatawala. Kaa angalia matendo yake. Si alipewa nguvu hapa duniani utamshinda wewe huoni anavotawala humu hamna hata Mtu anaejutia baada ya Stori. Kuumba si issue kwan watu hawaendi kwa waganga kupata watoto. Relux vyote ni vya Mungu hata shetani kaumbwa nae uchaguzi ni wako
 
Naishi na sintokufa. Sbb Nipo hai sasa na Mungu amekwisha nipa uzima wa milele. Roho haifi kamwe unakufa mwili. Hapa duniani tayari wewe ni Mfu unaetembea. Roho yako haioni dhambi mauti ya kwanza, suburi mauti ya pili shetani atakapo amua kujichinjia wewe kuku wake maana unapenda matendo yake. Lakini Yupo Yesu aliye hai na akutetee hilo Giza litoweke ndani yako twende wote mbinguni.

•Unaweza nionesha mfano wa roho ambazo hazijakufa?
• kina nani wengine kwa mifano isiyopana shaka walioko mbinguni?
 
Back
Top Bottom