Kuna watu wataenda kujaribu Amin nalokwambia
 
Hahaha dahh hizi mbio nazifananisha na zangu siku niliokutana na mwanadada ana kitu inaitwa Megaclitoris loh sikuwa najua nilichomoka spidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume tunapitia meengi saana aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ishanitokea halafu night kali maeneo ya landa bar kigogo inn yule malaya ananiambia alipitiwa na usingizi 15k I kaenda
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

 
Hakuna kitu inauma kama umelipia lodge halafu chuda asitokee kudadadeq
Sitosahau ile siku nipo Songea, kuna manzi nilimpanga fresh akanihakikishia mda sio mrefu anatokea.. basi mzee baba nikasaka lodge kali nikamuelekeza muhudumu nalipia room hapa ila sitokaa zaidi ya masaa matatu naomba unipe bei ya short time.. room ilikua ya 15k kulala, short time elfu sita.. nikalipia short time nikazama ndani fasta!

Kufika ndani dem nampigia simu hapokei, baadae alivyoona napiga sana akazima na cm. Dah! Nikaanza kupata wenge! Baada ya lisaa napiga Tena simu haipatikani! Nikajua hapa nimeshaliwa ukizingatia mpaka nauli ya boda boda nilimtumia..

Kinyonge sana nikaenda reception kwa muhudumu nikamueleza hali halisi ili kama vipi anirudishie hata nusu hasara (Yani buku tatu) akagoma. Alikua ni mama mtu mzima miaka kama 56 hivi, akaniambia hela hua haturudishi kama huyo uliyeahidiana nae hajafika basi twende nikakuhudumie mimi. Akaweka kile kibao cha NAFASI ZIMEJAA kinyonge tukarudi room nikaenda kupiga goli zangu mbili, sikumpa hata mia!!!

Baada ya siku tatu nimesharudi Dar yule manzi ananipigia cm kuniomba msamaha eti ile siku alishindwa kutoka maza ake aliwahi kurudi. Nikablock na namba kabisa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee jamaa umefanya mpaka nipaliwe bwana😂😂😂😂😂😂
 
Aisee ila wahudumu wengi wa hizo sehemu ni wauzaji wa sasa au waliostaafu
 
Umeandika kwa hisia sana hadi nimetoa machozi.
 
Wee!! Mbona unatutisha mabaharia?
 
Hahahahahah ERoni

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 

Acha tu man, sijui wana shida gan hawa viumbe kuna pisi moja nlifukuzia mno na aliniingiza gharama mno za hapa na pale ili nimset nimle lakin wap tukifikia mada ya mikunjo anachomoa tena anakua mkali, siku moja nkamtoa out sio mnywaji so tukala fresh nini nkamuomba tuzame chemba siku iyo alikua kalainika sana hakutaka kuni disappoint maybe basi nkazama nae room, iyo room Hakuna cha short time ni unalipia full day na ni dola 40. Kidume nkatoa nafika huko kwan anatoa mzigo akawa mkali hataki kabisa akaomba nimpishe nikawa natia huruma maybe atanisamehe Kumbe Ndio kwanza akasepa zake wowowo akinitingishia.

Nkaishia kuita pisi ingine nkala kupooza machungu. Kumbe Yule fara alikua bikra na za ndani ndani mpaka ndoa imemshinda kaachika hadi mmewe kashindwa kula mzigo dogo anaogoa mgegedo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…