niko zangu maeneo fulani ninayopenda kutembelea..
hapo jirani ya hiyo bar kuna saluni ya kike.
kuna kidada huwa kila nikikaa pale kula munde kinatoka saluni na kuanza kujipitisha nikape bia》
huwa si mchoyo namuagizia huku mi naendelea na mambo yangu...
siku hiyo nimepata korongo nna hela!
nikaenda hapo bar nnapopenda}
akaja siku hiyo akakaa mezani kbs..
nikamuuliza kazini vp leo?umekuja kukaa hapa utafkuzwa kazi!
oohh leo national housing wametupigia kufuli tunadaiwa...
nikampa bia yule mtoto.
kikweli sikuwa na nia ya kumkula kbs!
hata tumekaa pale anaongea tuu ht simjibu◇
akaniambia leo niko free twende popote!
maruhani hapo hapo yakaamka nikaona acha nikapeleke gest kameshalewa haka!
tumeingia rumu akavua nguo zote akaniambia twende tukaoge kwanza¿■
tukazama bafuni akachukua kile kibomba cha kubonyeza akaweka huku nyuma kwake!!akaniambia njoo weka sikio lako hapa tumboni!!
nikawa naskia maji yanaingia kama ndani ya simtank vile!hapo bado sielewi elewi hii bomba ameweka kwnye papuch au tigopesa!!
dem mwanaharam sana yule akainama yale maji yanaruka ukutani
nilitoka humo ndani spidi nikavaa boxa..
maana nilihisi ni jini huyu.
akaja akawa ananizuia huku kashika boxa ila kwa uwezo wa shetani niliondoka sikumgusa..