Hhahaha alimpiga chini mshikaji wake au

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
unaletewa stori dogo anaiita chai,kumbe hiyo kimasihara ndio ilileta mimba yeye akazaliwa 🤣🤣🤣🖐🖐🖐
 
Dobi alivyofua na kunyoosha papuchi

Basi bhana miaka fulani enzi hizo tunasoma chuo inajulikana wengine tulikua tumepanga mtaani. Ule mtaa nilikua nimezoena na mdada kama sio mmama wa makamo alikua na duka la urembo.

Katika kukaa pale nje kupiga naye story alikua na rafiki wa nyumbani kwao anayeishi mtaa wa jirani ilikua kama binti anayeanza maisha ya utafutaji au ana muda katika utafutaji. Huyu binti alikua na mazoea anapita kusalimia tunapiga na story pale na kuondoka. TUKAZOEANA.

Siku moja jioni akapita, nikamuuliza mbona leo huko juu juu hukai tucheke kidogo, akasema hapana na wai kufua nguo na nguo nyingi chafu. Nikaitikia oooh sawa hakuna neno. Ila kwani mtaa huu hawajawai kuambia mimi ni dobi nafua nguo za watu tukacheka pale ahahahahah Tajiri kichwa umeanza vituko na story zako ngoja mie niwai kufua. Akaondoka.

kulana kimasihara sasa. Wikiend moja nimeamka kama kawaida nikamtext kumjulia hali. Text ikachelewa kujibiwa baadae ikaja jibiwa ngoja nimalize kufua aya manguo tu chart vizuri. Sawa lakini umesahau kumjulisha dobi, akacheka afu kweli njoo ufue.

Chap chap nikamka huyo kona ya kwanza kona ya pili nikafika jirani na kwake. Hodi hadi akaja fungua mtu yuko kwenye kitenge, dobi umefika nikaitikia ahahahaha. Tukaelekea bafuni ilikua ni self room zoezi likaanza na story.

Ebu wewe anza kusuuza hizo nguo kwanza. Ahahah kwa iyo ndio umenichanganyia na chupi , si ndio kazi yako ahahah, kumbe unavifunikio vizuri. Nikanusa kimoja nasikia kwa mbali harufu yake ahaha. Story za upuuzi zikaendelea ghafla naona chuchu zimeanza kuonekana kwa kitenge kama zinavimba fulani.

Akisimama Nikamrushia vimaji wewe mbona hufui tena. Unaona raha kulowanisha wenzako eh ahahah. Eeh si mfuaji nipo na kukuosha ntakuosha. Eeh makosa naona mtu tuu aibu mrembuo uvivu. Nikasimama kugusa hivi akarudi nyuma mzima mzima. Mpapaso ukaanza hapo ukuni ulikua ushaanza kusimama. Nikageuza lita nyingi sana pale tukapata. Sugua chini kule huku juu majukumu mengine yakiendelea miguno ya konde ikatawala.

Nikaipitishia papuchi maji, nikafunika sink nikamuweka pale. Nikamnongoneza ngoja nifue kwanza. Nikaanza kufua kule chini, huku nasuuza na ulimi wa kutosha ni miguno tuu ahha, oooh basi akarudi wima nikapitisha kichwa chap tako zangu tukafika ukingo.

Aibu ikatawala baada ya zoezi yakafata maneno we mkorofi sikijua unapenda ugomvi namna hii. Nikamsadia pale chap tukamaliza zoezi. Tukarejea room kabla ya kuanda chai tukapata mechi moja juu ya tanform ya nguvu yenye kuosha na kusafisha milango yetu ya fahamu ya chini. Tukanywa chai.

Niliondoka kesho yake baada ya kuona hapa sasa inatosha maana ilikua ni pinda pindua zoezi.
 
Mwaka jana December natoka Dom naenda Dar huku niki drive nipo peke yangu tu. Baada ya kufika Moro nikapaki pale Msamvu karibu na Petrol Station geti la kutokea kama unaenda Dar.. kuna wapiga debe wengi sana pale kwaajili ya gari ndogo zinazoenda Dar. Baada ya kupaki akaja mpiga debe mmoja akasema nataka nikuletee abiria.

Nikampa masharti kuwa nataka abiria mmoja tu na awe demu tena awe mrembo sana na nikampa vigezo vyangu awe vipi. Mpiga debe akasema sawa. Baada kama ya dk 10 akaja na kuniambia subiri kidogo bado hajaonekana. Baada ya muda kama dk 20 akaja na pisi hatari kama nilivyomuelekeza ila akaniambia anaishia Chalinze.

Nikasema poa twende huku mpiga debe nikampa 2K. Yule dada akafika Chalinze akashuka huku tumepeana namba na mastory kibao tulipiga. Nisha msahau kabisa jana kanipigia simu tukasalimiana na akaniambia kesho nakuja Dar kukusalimia [emoji28][emoji28]. Nikawaza Masihara kwamba huyu kesho simuachi by hooks and crooks.

Saa 4 asubuhi ananiambia kesha fika tayari yupo Stand ya Magufuli. Nimeenda kumchukua na kwenda kupoa nae Hotel fulani by saa 10 ndio kapanda gari karudi Chalinze hapa nilipo sina nguvu za miguu kabisa.
 
E bwana eeh, habari ya jioni wazee wa kimasikhara? Natumai ilikuwa jumapili njema kwetu sote.. hapa nimeamua kuwaletea kisa kimoja cha kimasikahara kimetokea siku ya leo.

Kisa kinaanza ni asubuhi nakutana na massage ya betway nimejishindia kiasi kadhaa naingia online napunguza kiasi nabakisha mtaji the najisogeza kiuvivu kwa wakala kutoa mpunga. Nmetoa mpunga wazo la ghafla likanijia niende zangu kariakoo kumbuka sikuwa na mpango wa kwenda kariakoo. Tembea tembea kariakoo nipo duka moja la vipodozi kuna pafyumu nanunua nilimkuta dada mmoja ananunua vitu zake za dukani kwake akawa anaisifia ile pafyumu, kiukweli mrembo kaumbika sana hivyo ikabidi nijiongeze stori namuuliza anaelekea wapi ananiambia buza nikasema afu na mimi naelekea hukohuko akasema ye ana mizigo mingi hawezi panda daladala ana request uber nikamwambie request tutashare tu, hapo sifikirii tena kwa kichwa cha juu nafanya hesabu za kuchakata hii peace kali.
To cut the story shot uber ikafika tukaingia kwenye ist ya watu haoo, njiani sasa mimi ni full kmuongelesha mara kumsifia, wakati safari inaendelea nikachukua simu nikampigia mwanangu {kila baharia ana huyu mtu wa kumsaidia kikitokea kisanga) nikameambia ndiyo nakaribia buza namkuta wapi jamaa akaniambia nije tu nitamkuta nikapandisha sauti ya ukali YAANI unaniita afu unaniambia nikusubiri bar siyo unazingua sana afu nikaweka loud this time jamaa akaanza kujitetea hahahaa ushindi huu. Hapo nikaanza kujiongelesha kwa na kujisonya sana kuhusu wana na tabia za kiswahili nikasema sa me nitamsubiriaje huyu mwamba man alone hadi afike, mbinu hii kwenye draft tunaaita SUMU YA TANDU HUCHOMOKI, demu akaanza kusema basi tupite dukani kwake tuache mizigo then twende hapo maeneo tumsubiri ye atanipa company haha me na shetani wangu tukacheka sana ndani kwa ndani maana hapa ni handcap na mancity kapewa goli na mhindi.

Tunafika buza namwambia mrembo anipeleke sehemu nzuri anayoijua yeye ananiambia hana hayo mazoea so nikajiongeza naongea na bodaboda anipeleke hotel nzuri ya room ya 25k to 50 after all hela ya muhindi hasara roho pesa makaratasi nafika hotel tukaagiza chakula me nikapita kwenda kuchukua room hata akigoma nitapigia backup zangu zitoke Manyanya siyo mbaya.

Tumekula nikamuambia najiskia uchovu sana nimechukua room nataka nipumzike ila naagiza vinywaji pia, akataka kuruka ila ndege ni wangu na the universe was conspiring to help me nothing else would've altered that.

Mtoto kakubali kuja room hapa nadhani wafuasi wa rikiboy mnahitaji kujua kujua huyu ng'ombe alichinjwaje kama alivyolala au alivyosimama?. Tumefika room mimi na toto zuri jeupe lenye kiuno kinachomtosha ananambia kwani mwenzio anasemaje nikasema kunywa kilaji kwanza me natoka kuongea naye nisije kutukana ukasikia kama kawaida pale nje nikaongea na simu kwa sauti na hasira nikarudi ndani nime sweat another phishing method badala ya kuwasha feni nikapitiliza kuoga, wakati naoga kama nilivyosema the uneverse was..... mtoto anajiuliza hautumii sabuni namwambia niletee basi katoto hako nikakavutia bafuni nakatania njoo uniogeshe hapo gegedo lishasimama. Katoto kanaona aibu kakasema ngoja nitoe nguo zisije kulowana hako nako bafuni kapo na chupi tuu nakauliza sasa chupi ya nini nayo si italiwana kanasema iache. Kama kawaida swala siyo rafiki wa simba ni kitoweo tu so nikaanza kukagusa gusa hako kamo nakashika chuchu nakanyonya kamo chezea chezea kamo mara kanabadili miguno tu, ikabidi nipime oil he lahaula katoto kameshaunganoshwa haliishi la mkonge wa taifa hahaha nakashikisha sinki lq kunawia from behind napiga dudu tako kadhaa nachomooa nisiadhirike kanaililia nachomeka tena piga narudia tea kanalalamika piga tena nazidiwa namwaga nakaza niunganishe namna gani nashindwa nakamwahia maji nakasafisha nakalaza kitandani naanza kuishughulia kwa ulimi njia pekee ya kumleta mwanadamu duniani to date, katoto kanatafuta abdul kichwa dazi naye anapandwa na hasira baada ya kushikwa shikwa anataka kupanda, muda huu kabadili asili kabisa kutokq kuwa farasi wa jangwani kawa ngamia ana utulivu, nguvu taratibu anakatiza jangwa kwa raha feni inakatika watu wanakatikiana joto kali linawasindikiza piga saaana mtoto analia hotel nzima leo kama kuna watu nilikuwa nao mule wataleta ushuhuda humu, piga we anita tu baby ab beby ab mtoto kavunja madafu ya kutosha me naona raha tu mimaji inajaa kwenye shuka tuu hadi naondoka sijamwaga la pili mtoto analalamika tu amechoka.

Wakati tunatoka anauliza sa itakuwaje kuhusu rafiki yako namwambia mpumbavu huyu atakula jeuri yake. Demu navyoondoka kaniambia asante utakuwa umechoka mpenzi kaniiitia uber anataka anipe hela ya bill nakataa nafika kariakoo namwambia mwamba wa uber cancel, HAHAHA nazama kwenye daladala ya manyanya narudi zangu home nacheki balance naongea na universe amenipa afu akanipa cha kutumia namshukuru muhindi naweka stake namrushia hela muhindi baadhi alipe wafanyakazi wake hii ni ecosystem. Hapa niko nachati na mrembo ananiitita husband hajui me choka mbaya alinikuta tu na boomer la kanji hahaha
 
Aisee!
 
[emoji23] we jamaa muhuni sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahaaa, vionjo ulivyoweka kwenye hii story vimenichekesha sana.
 
Muhimu back up faza sjawah kuishi bila back up

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…