Mpembawise
Senior Member
- Jan 14, 2022
- 132
- 1,218
Uliambiwa utoe namba ukaingia mitini... Pemba pesa twaziokota, na wikendi tukishavaa misuli tumetoka pwani hatuna wasiwasi kuzitoaNyokooo Ainyee wapii
Kiranga kingi kumbe kilo mbili tu inamkimbiza
Uliambiwa utoe namba ukaingia mitini... Pemba pesa twaziokota, na wikendi tukishavaa misuli tumetoka pwani hatuna wasiwasi kuzitoaNyokooo Ainyee wapii
Kiranga kingi kumbe kilo mbili tu inamkimbiza
Anaogopa hata kutoa namba maskinihahaha acha somjo wewe cha msingi ujue mbususu inapelekewa moto. wewe leta namba
Ooops.Me KE mbona
Sasa kwanini nifiche jinsia yangu?
Me nakojoa nimechuchumaa
Visa vyako vinatosha mkuu, imefika mahala nikiona kisa chako na-skip.Naikumbuka Dodoma kwa mengi, ila ina shida moja. Code nyingi za hapa zanyumbulika upesi
Umetisha mze babaHapo kwenye kumalizia mkuu umeniacha hoi...![]()

Naogopa kula cha mpembaaUliambiwa utoe namba ukaingia mitini... Pemba pesa twaziokota, na wikendi tukishavaa misuli tumetoka pwani hatuna wasiwasi kuzitoa
Nilivyomla kimasihara KURUTA mwenzangu.
Hayaa hayaa kuruuuuti..."Afandeee" kuruti mdudu chapa vumbi. 824KJ...OP miaka 50 ya JKT. Mujibu wa sheria.
Ndani ya mkesha wa wiki sita bila kulala ni mwendo wa mahovyohovyo, ratiba zisizoeleweka kula kwa ruti kwata siku nzima tunaimba "fuuuungaaa....funguuuuaaa"mamaaee Maafande!! Baada ya msosi wa jioni wali maharage na chai ya rangi ni kufoleni..kuhesabu namba na matifu..pigwa sana mma kusimikaa!! Kubebana na detail change za kutosha. Ndani ya pitshot wote tushafanana rangi....
Kula kimasihara.
Ndani ya wiki ya tano usiku tushafoleni na ndoo zetu, piga sana chenja! Tukapelekwa kusomba tofali kama saa sita usiku mwendo wa single file ( mstari mmoja unamshika wa mbele yako tshirt) haya tumerudi kombania order ikatoka kila mtu afoleni na maji(ndoo) haoo bustani maji yakaletwa. Maafande walitupiga tifu balaa sitasahau. Baada ya kupigwa maji mixer salala na kuroll maafande wakatupa tano kwa kutumwaga angani (bwenini) kombania nzima me+ke! Kwa masharti kwamba wote tulale chini ya vitanda sakafuni.
Katika kutafuta chimbo la kujiegesha nikajikuta niko na kuruti wa kike, nilimjua kwa ule mbanano make ni full giza afu tumejaa matope....kwa joto lile hata hatukuongea lolotenilimchojoa kikaptula chake na mm nikazamisha rungu!!! Piga tako za kijeshi fasta wazungu haoo.. Hata sikuwahi kumfahamu kwa sura kuruti niliyemtindua!
Kumbe wahuni wengi siku hiyo walikula"Sifa Wepesi"
Hakina mibaNaogopa kula cha mpembaa
Vimekutosha wewe, nashukuru ulisoma hata hapa, endelea ku-skip. Ingekua tunalipwa humu hata rboy mngemtanguliza kusiko.Visa vyako vinatosha mkuu, imefika mahala nikiona kisa chako na-skip.
Sorry kwa hilo maana chai mingi sana ndani yake
ZileteNaikumbuka Dodoma kwa mengi, ila ina shida moja. Code nyingi za hapa zanyumbulika upesi
Wivuu!kama hutaki acha tunaotaka tusomeVisa vyako vinatosha mkuu, imefika mahala nikiona kisa chako na-skip.
Sorry kwa hilo maana chai mingi sana ndani yake
Sikutegemea kama kuna mwanaume ana wivu na chuki hvyoo!!maisha mafupi haya!!mtu anakasirikia mpk kwa yasomuhusu!!Vimekutosha wewe, nashukuru ulisoma hata hapa, endelea ku-skip. Ingekua tunalipwa humu hata rboy mngemtanguliza kusiko.
BTW, Ukikua, utajua wapi kuna chai wapi hamna.


wanadaamu kaaahh!Ngoja....Lols
Acha masihara ww usilete habari za kuambiwa kwani mwili ukishughulishwa haswaa hayo mengine hayawezekani utawaza mausingizi tu na sio zaidi ya hapoIla kwa maovyo ovyo yale mzee anaamkaje asee? heheheh
Mkuu, mimi mpaka sasa nna 35+ sijawahi kula kimasihara japo nimenusurika kuliwa na KE kimasiharaVisa vyako vinatosha mkuu, imefika mahala nikiona kisa chako na-skip.
Sorry kwa hilo maana chai mingi sana ndani yake



Naona unaniattack mimiMkuu, mimi mpaka sasa nna 35+ sijawahi kula kimasihara japo nimenusurika kuliwa na KE kimasihara
Nilichogundua hawa viumbe ili uwale kimasihara na wewe mwenyewe pia unapaswa uwe mtu wa masihara, uwe smart kuanzia kwenye ubongo, mavazi na kimwonekano kiujumla, yaani hata kama una sura mbaya kama yangu ila hakikisha ngozi yako ya uso inamvutia KE (sio una sura mbaya na ngozi yako ikunjamane kama ngozi ya kwenye goti), hakikisha muda wote hutoi harufu ya kukera sababu hawa viumbe hawapendi uchafu na sasa hivi kuna tatizo la kunuka midomo yaani unaongea na mtu akikusemesha unasikia harufu ya mdomo (hapa demu alinisifia kwamba akiwa karibu na mimi anatamani kunikiss mdomoni muda wote)
Kuwa watafutaji kusitufanye wanaume kuwa wachafu, maana kuna watu mpaka hii leo wanaogea Mshindi au Komoa akijitahidi sana kaogea protex



yote hayo bila hela ni kazi bure. Mwanamke ukiwa na hela atakufanyia mengi hata kama mdomo wako unanuka kinyesi .Mkuu, mimi mpaka sasa nna 35+ sijawahi kula kimasihara japo nimenusurika kuliwa na KE kimasihara
Nilichogundua hawa viumbe ili uwale kimasihara na wewe mwenyewe pia unapaswa uwe mtu wa masihara, uwe smart kuanzia kwenye ubongo, mavazi na kimwonekano kiujumla, yaani hata kama una sura mbaya kama yangu ila hakikisha ngozi yako ya uso inamvutia KE (sio una sura mbaya na ngozi yako ikunjamane kama ngozi ya kwenye goti), hakikisha muda wote hutoi harufu ya kukera sababu hawa viumbe hawapendi uchafu na sasa hivi kuna tatizo la kunuka midomo yaani unaongea na mtu akikusemesha unasikia harufu ya mdomo (hapa demu alinisifia kwamba akiwa karibu na mimi anatamani kunikiss mdomoni muda wote)
Kuwa watafutaji kusitufanye wanaume kuwa wachafu, maana kuna watu mpaka hii leo wanaogea Mshindi au Komoa akijitahidi sana kaogea protex
Aisee The Professor nakuunga mkono. Hata.mimi nina imani haba sana kwa shemeji yenu ukizingatia shuhuli zake za kujipatia risk ni za hapa na kule full movement. Mabaharia sometimes muwe na huruma na mbususu zetu tunazomiliki.Kila nikifungua huu uzi imani juu ya bebi wangu inapungua kabisa.. Usikute wahuni washapita nae maana now days mbususu zinachakatwa karihisi sana kama kumeza mate
Eeh Mungu naomba nilindie bebi wangu dhidi ya hawa mabaharia maana ninae huyo huyo mmoja tu
![]()