Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Pandeni Daladala

Aunty Latty, mtoto wa chuo fulani kule chuga

Miaka kadhaa nyuma, nlihamia eneo ambalo ni nje kidogo ya mji. Wengi wa wanaoishi huko wana nyumba zao, jambo ambalo kwangu halikua hivyo, nlikua nna kibiriti cha kurahisisha safari zangu tu.

Moja ya masiku, nkaacha kibiriti nyumbani nkaingia mjini kwa daladala. Wakati narudi nyumbani jioni usafiri ulikua wa shida hivi, gari za kugombania.

Nkapata siti na mmama mmoja wa makamo. Alikua akilalamika msichana alosimama pembeni yake kavaa nguo fupi na nywele zake zamkera. Jicho likapata ona vipe vipaja, mate yakaanza toka. Ili kumsaidia yule mama tukabadilishana, akakaa dirishani nkakaa jirani na binti, nkampokea mkoba.

Vituo kadhaa mbele yule mama akashuka, nikamuuliza binti ashuka wapi nae wakati kakaa. Akawa anahangaika kukumbuka kituo na simu yake imezima, alikua ni mgeni na katokea chuganian. Nkafanya Uislam wa kumpa simu ndogo aweke line apigie mwenyeji.

Tukashuka wote, nkafika kwa mwenyeji wake, uzuri hawakua na umeme na alihitaji kuchaji simu. Nkamuomba twende tukachaji ntamrejesha ikijaa. Tulipofika home nkamuomba aoge, nkampa tshirt na kumwambia asubiri ijae jae. Ilijaa simu nae akajaa ukuni.

Aliporudi kwake akawa anasumbua anataka aje daily, nkaona isiwe kesi akala block. Miezi kadhaa baadaye nkakutana nae chuga nlipoenda kikazi, nkamla cha kuombea msamaha, nikaendelea mla kwa kiasi
Uzuri hawakua na umeme
 
Daahhh,very interesting maweeeeee,hongera Sana kwakisa kizuri kumbe kimasiha huzaa ndoa!!????
 
Jana nimempeleka mtoto shule asubuhi pamoja na kulipa uniform za standard 1, mtoto kapokelewa na mlinzi then mim nikazama office kwa waliku, karibu sana mzazi wa Xxx, mmefanana na mwanao.
Tabasamu kubwa nikalipata kwa muhasibu pale ndani, na wakawa wanasema nimefanana na mwanangu, na braaa braaa nyingi.
Nikalipa pale pesa then nikasema naweza kwenda, mwalimu akasema subir tumuite mwanao ajaribu kama nguo zitamtosha, maana za cheke chea zinambana na zimechakaa kidogo.
Akaitwa dogo, kuja ndani akanisalimia mim kwa kimombo, then nikamjibu akapewa maneno na mwalimu pale ndani, then akaitwa second room ili akajaribu nguo na mwalimu.
Muhasibu alikuwa anahesabu pesa then nae aka amka akenda kule next room waliokuwepo dogo na ticha.
Nyooooooooooooo, nyoooooooooo, nyoooooooooo, kuna mademu wameumbika jaman.......mweeeee, mweeeee, mweeee, acha kabisa, sema wewe hujawaona warembo huyu muhasibu mzuri jamani....nitatuma picha mumuone na ninyi kisha msema kama shetan hakuwa kazin.
Shepu yake ni 8 figure, halafu rangi pendwa ya wasukuma ile, mtoto kaiva jaman, halafu kapiga marashi adimu sana ananukia mbaya..............
Kichwa cha chini kikasema hapana, hujaona ama nikuoeneshe kama mim ndio mkorofi hapa, akainuka juuu, masuala ya kuvaa jeans modo haya, mashine ipo wima.....hadi nikawa nabadil style za mkao.
Zoezi likaisha pale na dogo akarudi class kwao, mim nikasema Jamani aksanten sana naomba niwaache , nikatoa pochi nikachomoa wekundu 2 nikawapa pale kwa lengo la kutengeneza mazingira
Mwalimu alikuwa busy anaendelea na kupima wanafunz wengine maana shule zimefungua juzi tu, mapokezi ya wanafunzi yanaendelea.
Basi nikajifanya nimeacha fungua ya gar kwenye kiti pale kwa lengo mathubuti kabisa, ili nirudi tena kwa second time .
Nikatoka nje, then nikarud kama dakika 5 hivi, sory na kingereza humo humo, nimesahau key , muhasibu akasema sory, hii apo kwenye kiti, basi nikasogea nikachukua then nikasema muhasibu samahan, naomba namba yako maana sina namba ya mtu hapa shule kwa ajili ya mawasiliano.nikapewa busines kadi,
Nikaenda kwenye chuma yangu ya mkopo nikawaza namna ya kula hii kitu, maana kichwa cha chini hakijanielewa kabisa.
...., ...............
..........., weeknd ......
Juma mosi asubuh nikaamka zangu home, bado nikiwaza namla vipi huyu kuku wa kizungu, nikasema ngoja nijaribu zari tu.
.........., ..
Hellow Madam, .habar ya wkend, samahan leo sio siku ya kazi lakin naomba nikusumbue....nina shida.....(.Whatsap hiyi..Gb)
Halafu nikatuma sms mim nikamute hata akijibu asijue kama nimesoma sms yake.wazee wa GB mnajua hilo.
Akajibu bila shaka baba Ss, leo nipo nyumban lakin naweza kukusikiliza.....

Ikapita nusu saa nikampigia simu, kisha nikasema samahan nilituma ujumbe naona hujanijibu ......Je naweza kukuona leo madam huku samahan za kutosha......
Akasema sawa haina shaka...., muda gani unaitaji tuonane, nikasema mim nakusikiliza wewe maana sina ratiba yoyote hapa
Akasema oky, basi saaa kumi tuonane nikasema sawa asante, nikakata simu kisha nikazima kabisa.
Nikapanga mbinu zangu za kivita namna ya kutoka hiyo saa kum hapa home na ukizingatia wife aliomba nimpeleke mjini saa tisa na nusu.
Mbinu za kivita zikawa kama ifuatavyo...wife ana mdogo wake hapa wa kiume basi nikamuita nikasema oyaaaaa, mpeleke wife mjini kisha niletee gari mahali furani kuna kikao pale, jitaisi uwai kurudi basi.
Wife kasema sitaki kupelekwa na mtu mim naenda mwenyewe kwa bajaji nina mizunguko yangu mimi.....duuuuu nikasema amejua mbinu zangu nin huyu anataka kunifuatilia na boda boda nyuma.
Wife akasepa, nikapiga hesabu zangu nikasema subili mim mtoto wa mujini bwana
Saa kumi kasoro muhasibu akapiga simu,

Hallow kwenye simu.....hallow habar ya muda huu..njema, ehhhhh, nitakuona wapi mim nipo tayari...nikasema oky nakujurisha hivi punde maana niliogopa kusema pale madogo wangesikia ninaenda wapi....

Shem, toa gari nipeleke pale road kuna jamaaa naonana nae pale, ....sawa shem naona leo kila mtu hataki kutoka na gari.....mama Ss nae kapanda bajaji...
Nikasema haya magar yanachosha muda mwingine...
.Nilikuwa nimevaaa kishua sana lakin simple na raba moja kali sana New balance.....kwenye pochi kama kawaida kuna Dolale tano za kuulia mende na plus zana mbili za kivita.....
(anza kutembea na dola hata tano tu, utanishukuru siku moja)

Shem akapaki gari nikashuka zangu .........
Shem akani
Wife nae alienda kuliwa kimasihara
 
Pandeni Daladala

Aunty Latty, mtoto wa chuo fulani kule chuga

Miaka kadhaa nyuma, nlihamia eneo ambalo ni nje kidogo ya mji. Wengi wa wanaoishi huko wana nyumba zao, jambo ambalo kwangu halikua hivyo, nlikua nna kibiriti cha kurahisisha safari zangu tu.

Moja ya masiku, nkaacha kibiriti nyumbani nkaingia mjini kwa daladala. Wakati narudi nyumbani jioni usafiri ulikua wa shida hivi, gari za kugombania.

Nkapata siti na mmama mmoja wa makamo. Alikua akilalamika msichana alosimama pembeni yake kavaa nguo fupi na nywele zake zamkera. Jicho likapata ona vipe vipaja, mate yakaanza toka. Ili kumsaidia yule mama tukabadilishana, akakaa dirishani nkakaa jirani na binti, nkampokea mkoba.

Vituo kadhaa mbele yule mama akashuka, nikamuuliza binti ashuka wapi nae wakati kakaa. Akawa anahangaika kukumbuka kituo na simu yake imezima, alikua ni mgeni na katokea chuganian. Nkafanya Uislam wa kumpa simu ndogo aweke line apigie mwenyeji.

Tukashuka wote, nkafika kwa mwenyeji wake, uzuri hawakua na umeme na alihitaji kuchaji simu. Nkamuomba twende tukachaji ntamrejesha ikijaa. Tulipofika home nkamuomba aoge, nkampa tshirt na kumwambia asubiri ijae jae. Ilijaa simu nae akajaa ukuni.

Aliporudi kwake akawa anasumbua anataka aje daily, nkaona isiwe kesi akala block. Miezi kadhaa baadaye nkakutana nae chuga nlipoenda kikazi, nkamla cha kuombea msamaha, nikaendelea mla kwa kiasi
Babu Ally weyee ni nuksi
 
Back
Top Bottom