Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Pandeni Daladala

Aunty Latty, mtoto wa chuo fulani kule chuga

Miaka kadhaa nyuma, nlihamia eneo ambalo ni nje kidogo ya mji. Wengi wa wanaoishi huko wana nyumba zao, jambo ambalo kwangu halikua hivyo, nlikua nna kibiriti cha kurahisisha safari zangu tu.

Moja ya masiku, nkaacha kibiriti nyumbani nkaingia mjini kwa daladala. Wakati narudi nyumbani jioni usafiri ulikua wa shida hivi, gari za kugombania.

Nkapata siti na mmama mmoja wa makamo. Alikua akilalamika msichana alosimama pembeni yake kavaa nguo fupi na nywele zake zamkera. Jicho likapata ona vipe vipaja, mate yakaanza toka. Ili kumsaidia yule mama tukabadilishana, akakaa dirishani nkakaa jirani na binti, nkampokea mkoba.

Vituo kadhaa mbele yule mama akashuka, nikamuuliza binti ashuka wapi nae wakati kakaa. Akawa anahangaika kukumbuka kituo na simu yake imezima, alikua ni mgeni na katokea chuganian. Nkafanya Uislam wa kumpa simu ndogo aweke line apigie mwenyeji.

Tukashuka wote, nkafika kwa mwenyeji wake, uzuri hawakua na umeme na alihitaji kuchaji simu. Nkamuomba twende tukachaji ntamrejesha ikijaa. Tulipofika home nkamuomba aoge, nkampa tshirt na kumwambia asubiri ijae jae. Ilijaa simu nae akajaa ukuni.

Aliporudi kwake akawa anasumbua anataka aje daily, nkaona isiwe kesi akala block. Miezi kadhaa baadaye nkakutana nae chuga nlipoenda kikazi, nkamla cha kuombea msamaha, nikaendelea mla kwa kiasi [emoji23]
Uzuri hawakua na umeme[emoji1787][emoji1787]
 
Daahhh,very interesting maweeeeee,hongera Sana kwakisa kizuri kumbe kimasiha huzaa ndoa!!????
 
Back
Top Bottom