reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,426
- 29,306
Sasa mbona mambo yako wazi hajaficha mi sidhani km anadanganya na kama anaongopa anamfurahisha nani?humu hakuna tuzooo!!ni story tuuuDaaah! sema tu mie mvivu wa kuandika.... ila kama kimasikhara zipo nyingi tu.
Lakini hata nikisimulia unaona kabisa ni jambo ambalo lipo na sio kusadikika.








