Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Daaah! sema tu mie mvivu wa kuandika.... ila kama kimasikhara zipo nyingi tu.

Lakini hata nikisimulia unaona kabisa ni jambo ambalo lipo na sio kusadikika.
Sasa mbona mambo yako wazi hajaficha mi sidhani km anadanganya na kama anaongopa anamfurahisha nani?humu hakuna tuzooo!!ni story tuuu
 
It's a weekend... kichwa kimejaa nmechoka na kazi nmeamua ni-download kipande che memory kije humu. Nkishakaa kwenye foleni kitaandikika. Nyumbani naeza kuta nalazwa nje wakiona vile umepita pita, wakati hata yeye alibebwa kimasikhara
Masihara yakawa kweli mtulie na wake zenu
 
Leo nimemkosa house girl wetu.nilimuambia nakupenda njoo ndani basi.akanijibu nitachelewa kanisani, kasema hivyo huku akiingia ndani ya chumba mguu mmoja mara akasita.kichwani nikasema mwache aende kwenye ibada yake.Nikamuambia basi haya.
Nimekaa namuona kama amejishauri anakuja , mara amejipitisha mlangoni, mara amekuja kuniangalia.nikamuuliza bado unajiandaa tu.akasema sasa nimewahi.nikamuacha.
Anajutia jibu lake.
aisee
 
Back
Top Bottom