Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

tukuandalie kinywaji gani mrembo ili uenjoy?
download.jpeg
 
Mkesha wa Mwaka Mpya.

Soo ni ijumaa majira ya saa 2 usiku nipo kwenye issue zangu za kujenga taifa, napata call kutoka kwa mshkaji wangu.

Sasa hapa kabla sijaendelea naomba niweke kitu kimmoja sawa, mimi ni Introvert na sio mtu wa kutokatoka sana.
Soo hata hii siku plan ilikua nimalize ishu zangu nkalale.

Mshkaji akanambia, we boya leo lazima tukanywe, kwa sababu ilikua ijumaa na mkesha, nkaona isiwe case.
Mwana akanipa Location, nkatimba.

Kufika nkawakuta wana washaanza kufurah kitambo, mm nlikua mtu wa 5 pale.
Akaja mhudumu akachukua order, maisha yakaendelea.

Hapa sasa ndo mambo yalipoanzia.

Napata call, nipo kwenye kelele ikabid ntoke ntafute sehem iliyotulia, namaliza kuongea na simu naona mdada wa makamo anabishana na mtu, anavutia, nafikiri alikua anabishana na mteja.
Mimi nacheck tu lile sakata, wakamalizana, ikabid niimsalimie, nkamuuliza shida nin, akasema nsijali alikua anadeal na wateja wasumbufu (Baadae nlikuja kugundua ndo manager wa ile Bar)

Akaniuliza ndo naingia, nkamwambia hapana niko na washkaji tumechill ndan, kama utani nkamwambia karibu.
Akacheka akasema atakaribia.
Nimeingia ndan nimeshasahau kama hata nlikutana nae nje, ghafla naona mdada amekuja kwenye meza yetu, akawasalimia wana, then akaja akasimama pembeni yangu, nkamwambia karibu, tukuagizie nn, akasema yeye yupo kazin kwa muda ule hawezi kunywa labda baadae baada ya kumaliza kazi, nkamwambia fresh.

Sasa maajabu yalianzia hapa.
Wale washkaji zangu wa2 walikua na madem zao soo nlikua alone pale bored, na nahisi huyu dada alinotice ile issue, akaamua kunipa company.

Then next thing you know, 10 minutes in, yupo pale pale tunapiga story, hadi washkaji wakawa wanashangaa ile bond tuliyokua nayo pale.
Manzi akasema ngoja aende akaangalie kama kila kitu kinaenda sawa, nkamruhusu, akanambia narudi muda sio mrefu.

Washkaji kuona vile ikabid waanze kuuliza huyu dada nimemjulia wap mbona hawajawah muona na mm, nkawaambia nimemjulia pale pale, tena nje nlivyoenda kuongea na simu, washkaji na wale mamanzi wao wakakataa kata kata.
Nkawapuuza.
Majira kama ya saa 7 usiku hivi, manzi akarudi tena, this time akawa ana kinywaji mkonon, nkamuuliza muda wa kazi umeisha, akanambia anakaribia kumaliza kwaio ameona anze mdogo mdogo, safari hii akavuta kiti akakaa pembeni yangu, tukawa even sasa, kila mtu na manzi ake.

Wakuu nsiwachoshe sana na maelezo, ila kifupi tu ni kwamba baada ya kama saa 1 hivi tulikua tumeshaongea mengi kuhusu yeye, kazi yake na ofcourse mahusiano yake.
Ila hakugusia kabisa swala la kua na mtoto.
Mwanangu mmoja kuona vile, akanitonya, kumskiliza akanambia hii Mama mzee usiilazie damu.

Nkajisemea potelea pote, ngoja niombe game.
Suprisingly, ile mama haikukubali ila haikukataa pia.
Aliishia kutabasamu tu.
Nkawa nshausoma mchezo, saa 9 hii hapa, washkaji wakahama kiwanja, mm nkakomaa na ile Mama.

Saa 10 usiku, akasema tusepe, tuko safar ile naanza kutafuta hotel nbook, nashangaa ananiuliza unataka kubook hotel ya nin, twende ukapajue kwangu, hahahah Wanawake.

Nlipigwa sana na butwaa ila kwa sababu sisi wanaume niwatu wa kujitoa mhanga nkaamua njitoe mhanga, nkakubali, alikua ameshaanza kuwaka, hao mpaka kwake.
Maelezo mafupi kuhusu yeye.
Mrefu, Ameenda hewani, Maji Kunde, Ana shape lile la kiumama, Tako kubwa na mguu mmoja hivi wa hatari sana.

Anaishi na dada wa kazi na watoto mtoto wake.
Hii nlikuja kuijua asubuh.

Kufika kwake hao straight chumbani, sasa hapa nseme tu ukweli, hawa wamama watakuja kutuua vijana, binafsi wana nafasi yakipekee kwenye moyo wangu na wabarikiwe wote kwa ukarimu wao.
Amenzidi 6 Years.
Picha linaanza mwanaume naambiwa lala kitandan halafu tulia, ikabidi niwe mpole nifate maelekezo tu, wakuu alichonifania yule mwanamke inabaki kua siri yangu mpaka kesho.
Ila kama una pressure, unaweza pata mshuko wa moyo.
Niwe muwazi, wala sitopepesa maneno, kwa alichonifanyia nkasema huyu hakuna kitu ntaacha kumfanyia, nlipiga rim ya ulimi back n forth (Malenjidi washaelewa hapa) mpaka akaanza kusquirt, kwann aianze kupiga yowe, msala huu, kuja kushtuka godoro lote lishaloa vibaya mnoo, ila naanza kupiga pumbu, mtu hata hajisomi huko, piga sana pumbu aiseee staki hata kukumbuka.
Uzuri wake, hakubani wala hakunyimi hata kidogo, pamoja na hali yake bado aliweza kutoa ushirkiano mwanzo mwisho.
With a happy ending ofcourse.

Kuja kumaliza, tukatandika mashuka chin tukalala, nakuja kushtuka saa 4 asubuh, namcheck yeye bado kalala, nkaoga nkavaa ile nasepa akashtuka, ananiuliza naenda wap? Eti usiondoke nsubiri tutaondoka wote jion.

Nkasema usintanie, nkamcash nkachukua number yake nkamwambia ntakucheck baadae (Hapa hakunruhusu kizembe kusepa)

Natoka seblen nakuta dogo anaangalia Tv na Beki 3, hii ilinvuruga mentally, ilinfanya jiulize maswali mengi sana.
Ila baadae tulikuja kusettle kila kitu.
She's a mother of one, na ni mpambanaji, binafsi nimemkubali sana.
Hana Mume.
Hii mama mpaka leo hii bado napiga na sina mpango wa kuacha kupiga, niwe mkweli tu.
Her Sex game in A One.
Halafu ni mtu asiyejua kuvunga, akijiskia atasema. Na mm nakua mwanaume kwenye hili, SIKATAI.

Huu mwaka naona umeanza vizuri kwangu, sema invoice za hapa na pale zimeshaanza kuhusika ila kwa kweli mm kwangu sio issue, i can handle them.

Am OUt.
Naipenda sana mimaza ya aina hio kama unapata level fulani ya satisfaction na loyalty huwazi kuhusu invoices anazoleta

Holla kwa big mamaz wapambanaji wasio wabanaji
 
Last one, kabla sijaenda nje ya mtandao...

June in Mwanza.

Mara nyingi kazini nkipata nafasi ya kwenda Mwanza hua nnaikimbia sana. Sipendi umbali, na sijapenda yale mazingira kwangu sio rafiki sana. Ile mara hii ilinirudisha Mwanza na kufanya niendelee kuipenda kwa miaka kadhaa.

Nmeingia kwenye semina kama mwezeshaji. Umbo langu lilivo, wakati naingia ukumbini hawakujua kama mimi ndie wanaemsubiri. Akasimama manager akawaambia tuanze sasa.

Nkawa nafanya kazi ilonipeleka kwa kuangalia maadili na miiko ya kazi nkihakikisha kila aliyehudhuria ananielewa vema. Macho yangu yakanisaliti katikati ya kazi kwa kuangalia zaidi sura ya mrembo mmoja.

Alikua ni mweusi, mwenye umbo la wastani, ana kisura kidogo dogo chenye nuru haswaa. Kwa kumtazama, ukiwa na stress zote zinaisha. Alitabasamu aliponiona namwangalia. Nkauambia moyo koma, yasikukute ya Ngoswe.

Mapumziko ya mchana yalipofika nilitembelea meza mbalimbali, nkiwasalimia na kujua kama kile tunachofanya kinawasaidia. Nlipofika kwenye meza ya yule mrembo, nikakaa kabisa. Nliifanya ya mwisho makusudi kabisa. Nkaanza kula chakula huku nkidodosa mawili matatu.

Watu walipoanza kurudi ukumbini nkamwomba abakie, hakusita. Nkamwuliza maoni yake binafsi, huenda wengine wakawa wanadanganya. Alichojibu kilifanya nianze kuwaza kumtafuna, "kusema ukweli Dr, ulivyo na unavyovijua mtu akikuona hawezi kufikiria".

Tulipomaliza nkampa biz card, nikamwambia najua vingi zaidi. Ukiwa na muda tukitoka njoo uvimalizie.

Tumetoka nkarudi nlipofikia, ikaingia msg save number yangu xoxo. Nikamwambia njoo ili nii-save, tukavutana kidogo ila akakubali kuja.

Sikumbuki kilianza vipi, ila kilichondelea ni mimi kuanza kumyoa Mqvuzi kisha kumla. Si maskhara alikua mtamu, since kipindi hicho. Kila safari ya Mwanza ilikua yangu. Fast forward, miaka mi3 mbele ilitokea fursa ofisini kwetu ya kwenda kusoma, nkapeleka jina lake na akakubaliwa. Sasa hivi yuko nchi za baridi akila kuni za kizungu
Andaa notebook usije tukaririsha darasa, tunapenda kuendelea na shule,
 
Ebu ngoja na mie nitoe angalau moja

Ilikuwa ndio nimeingia chuo nikafika chuo flani Dar pale nikaona nimepangiwa hostel ambayo hali ilikuwa mbaya. Nikaona hali si hali bora nitafute hostel nje. Katika harakati nikapata hostel bomba karibu na hapo ni vyumba self contained pako vizuri hauhitaji kununua kitu zaidi ya mashuka.

So nikakaa hapo na kuanza elimu nilikuwa nashare chumba na jamaa flani yuko mwaka mmoja mbele. Sasa neighbor wetu wa chumba kinachofuata alikuwa ashamaliza chuo so anakaa pale kama amepanga kuanza maisha. Alikuwa anajishughulisha na kushona shona pale so alikuwa muda mwingi yupo room na cherehani yake.

Sasa katika harakati za kujuana na wapangaji mule ndani ndio siku flani hivi nikajikuta nipo room yake tunapiga stori. Tukapiga stori tukaanza kuongelea mipango ya maisha na ndoto zake aisee nikampa ushauri akaniona kweli hapa kuna mtu japo nilikuwa 19 na yeye alikuwa kama 26.

So ndio hivyo baada ya kila siku chache nikawa nachill naye pale sasa siku moja nikaenda usiku hivi kama mida ya saa 3. Tukaanza kupiga stori alikuwa kwenye kiti anashona mimi niko kitandani kwake because alikuwa hana kochi. Mda si mda akaona atoke kwenye kiti akasema amechoka acha aungane nami kwa bed. Stori zikaendelea.

Siku ile alikuwa amevaa gauni flani la kitenge ambalo lina kamba kwenda mabegani kama vile bra zinavyokuaga. Sasa nikaanza kuona mtoto strap inaanza kwenda pembeni. Kidogo baadae strap ikashuka kwenye mikono taratibu ziwa likaanza kuonekana..

Heee muda si muda ziwa lote liko wazi nipple nzuri inavutia mdomo, mtoto hafanyi chochote kuziba. Nikamwangalia kisha nikamcheki kifua akafungua mdomo akaniambia 'Nataka ushike'. Mimi ni nani kukataa fursa nikasogeza mkono shughuli za kuandaana zikaanza.

Aisee mtoto alikuwa na mihemko mitamu yule kila napogusa anarespond vizuri nazidi kutalii mwili wake. Muda si muda wote tukajikuta uchi na yeye kalowa tepetepe nikataka niingize akakataa anataka kondom. Zunguka huku na kule aaa wapi kagoma anasema yuko katika siku za hatari. Sasa mida hiyo ishafika saa 6 hamna hata duka wazi condom miyeyusho na mimi nilikuwa nimeishiwa pia room. Basi ikabidi tu tumalizane kwa mikono na yeye akaweka mdomo kwa mashine usiku upite.

Kesho yake asubuhi na mapemaaa nikainukia pharmacy nakumbuka hata chuo sikwenda siku ile. Haha nikarudi nikajisevia fresh. Dah japo nilipakua kwa condom ile ilikuwa msichana mtamu sana. Nikaendelea kujisevia mpaka semester ilivyoisha.

Tukaja kugombana likizo mimi nilikuwa nataka niende zangu home yeye anataka nibaki hostel. Hiyo siku alilia akanizuia kuondoka ikabidi tu nilale. Kesho yake nikaondoka kwa ulazima maana washua walikuwa wananihitaji kwa shughuli za kifamilia. Nakuja kurudi baada ya siku kama 3 hivi ananiambia tuachane ashapata mwingine. Kumbe kuna jamaa flani hivi alikuwa anamwinda sijui akaona acheat nae kwa hasira. Alipata ujauzito last time nafuatilia amezaa wanaendesha biashara yao ya nguo pamoja.
Akili za ke sasa washua wanakuhitaji yeye hataki
 
Yoooooo majukumu yalisababisha nisimalize kisa changu


Basi bwana nilishazoea asubuh saa kumi na mbili kasoro kupigiwa simu nikashangaa hii siku no call no text nikakausha nikajiandaa nikasepa zangu nimefika mzigoni nikaona nimchek bibie akaniambia anaumwa basi baada ya kaz nikaona nimchukulie maembe dodo nimpitishie mgonjwa nyumban kwake nimefika nagonga anafungua alikuwa anajiandaa kwenda kuoga nikakaribia stori mbili tatu akaingia kuoga nimejilaza kweny kochi akatoka ananimbia nisiondoke mpaka anipikie heee nikaona hili zali maana geto sikuwa na mpango wa kutoa diko

Amepika akamaliza kaleta kitu cha wali ndondo la nazi basi nikamchokoza kuwa nataka kumlisha mgonjwa anachekacheka basi katika harakati za kumlisha mgonjwa tulianza touch ndogo ndogo ambazo zilimfanya awe kama anazubaaa hiv na mm niliendelea na viuchokoz vidogo vidogo ambavyo vilimpoteza kabisa nikaona huyu tayar ameshaliwa nilimsogelea nakuanza kumlisha na kumchokoza kwa ukaribu akaingia kingi aliniomba nikaoge kwanza then nikirud tutaanzia tulipo ishia


Nilikimbia bafuni kama nimebanwa na uharo nilioga dk 0 nakurud chap ilinimuwah mzuka usije ukasepa nilimkuta kapanda kitandan kajifunika shuka gubigubi yaan kafunika mpaka uso nilijifuta na kanga yake nikazima taa sikaingia bedi sikutaka kukaribishwa kitandan niliingia nimevaa boxa yangu ile kumgusa nikagundua amevaa kichupi tu basi tuliendelea tulipo ishia nilimchakata mgonjwa staili zote mpaka asubuh nilioga nikaenda kubadilisha nguo geto kisha nilimpitia tukaenda mishe mishe .
😂😂😂😂 ulikuwa unanuka jashoo
 
Back in the days nipo kwenye 26s huko kukatokea msiba jijini na kama kawaida taarifa zikatoka kuwa mzigo unapandishwa milimani. Huyo dada alifariki alfajiri ya kuamkia alhamisi hivyo safari ikapangwa j'mosi jioni na mazishi ni j'pili, nikaona huu msiba lazima nipande juu manake ni mtu wa karibu na umeangukia weekend hivyo hautaathiri mambo yangu.

Nimeenda msibani kwa ajili ya vikao vya maandalizi ya safari alhamisi jioni, nikakutana na dada mmoja tulisoma wote primary japo alikuwa nyuma yangu miaka miwili, tukafurahi na stories nyingi za zamani, nikamuomba namba akagoma..eti yupo kwenye uchumba na soon anaolewa mimi nikamwambia ni kwa wema tu as schoolmates wala sina nia mbaya. Katika kuongea àkasema anasafiri coz marehemu alikuwa mtu wake sana... nikamwambia basi tutakuwa company akafurahi sana..

..basi bwana j'mosi tulienda Muhimbili kama kawaida ili kuaga na kusepa, nilivyofika tu akaniona na kunifata, àkasema nimpe kibegi changu ili aniwekee siti (manake tukae wote) nikaona poa tu nikampa. Taratibu zilivyoisha mkuu wa msafara akaita majina dada wa watu akakazana tukae siti moja..akafanikiwa. Zilipanda coaster tatu, sisi tulikaa ambayo haijabeba mzigo na almost wengi walikuwa vijana tu!

.. kusema kweli ilikuwa safari ya msiba but I enjoyed, tuliongea the whole safari yani, ngono, shule, uchumba wake, ubachela wangu, almost kila kitu tuliongea, tukafika Chalinze kwenye saa 12 kwenda saa moja jioni, nikanunua kiepe, watu wakatulia kidogo tukazama ndani tukasepa.

..kama kawaida ya misiba ya kwenda milimani, kufika Mombo saa sita tukapumzika, ili tuamshe saa kumi na kufika nyumbani alfajiri. Sista kaniambia yeye atapumzika kidogo, nikamsihi tushuke tukale nyama mbuzi(kumbuka Mombo ni kinara wa mbuzi hasa mida ya usiku), alikataa.

..baada ya dk kumi hivi akanipigia niende, nilivyofika alikuwa peke yake ndani ya gari, mimi huwa nina aibu kidogo, àkasema anaogopa nimpe kampani pale, bila hiana nikakaa na mbuzi wangu nakula, wenzangu wapo wanapiga pombe huko. Mara akanilalia, nikasema hiiíii, mara nikumbatie basi nahisi baridi, nikasema hiiiiiiii...mara nisindikize nikasusu naogopa.. nikasema daaah, kipindi hicho upande wa chini hawajavunja vibanda, vyoo vilikuwa vichafu sanaaa, àkasema nisindikize kwa nyuma huku, tukarudi nyuma kule, giza totoro, akanikaribia kanipa hug kama lote, mapigo ya moyo yakaanza kwenda fasta, sikuwahi kuwaza ningefanya kitendo kile katika mazingira yale, alikuwa amevaa kitenge cha kufunga na tight ndani, kavua tight, tukaanza kulana mate, na woga wangu hatari, nikapitisha dole kati kwa bibi nakuta kipochi kimejaa mma sio poa, dadeq mtoto kainama nikaweka mzigo nikajilia kimoko, akajifuta na maji vizuri tukatoka pale kila mtu kafurahi, uzuri mtoto alipewa mzigo sio mkubwa sana kwa hiyo kufikia mbususu haikuwa tabu(kwa sisi vibamia tunaelewa doggy ilivyo mtihani hasa demu mwenye tyako kubwa).

.....alibaki kuwa mke wangu hadi baada ya kuolewa, badae nikaona sio poa, japo we're still friends!
Leo umetuonjesha kaka@eRoni
 
Hakuna jamaa muongo kama huyo mnaemshauri aoe.
Mi sishangai maana ktk hii dunia kila kitu kinaweza tokea haswaa kwenye mapenzi!!!!na wapemba wana lugha flaani hivi taamu balaa na wanaume wao wanajua sana mapenzi(sijawahi kudate nao maana mi watu weupe sina mzuka nao sana but nishawahi ishi nao,naskiaga watu wanasema )na ni wahuuni balaa...
 
Back
Top Bottom