Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hakuna jamaa muongo kama huyo mnaemshauri aoe.
Mi sishangai maana ktk hii dunia kila kitu kinaweza tokea haswaa kwenye mapenzi!!!!na wapemba wana lugha flaani hivi taamu balaa na wanaume wao wanajua sana mapenzi(sijawahi kudate nao maana mi watu weupe sina mzuka nao sana but nishawahi ishi nao,naskiaga watu wanasema )na ni wahuuni balaa...
 
Eehh!!oaneni tu sisi tumeruhusiwa wawili,watatu wanne,mradi tu uwe muadilifu kwao!!kukataa mathna kwa Muslim woman ni kumpinga Mungu [emoji5][emoji4][emoji4][emoji6]
Kumbe rey ni swala tano, huwezi amini sikujua...basi naruhusiwa kukufanya mke wa pili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ò
No 8,

2019, Dar es salaam Tanzania.

Niko barabara ya Maliki nkitokea ofisini, nakutana na mtoto mmoja mweupe na mkali. Niko na jamaa mmoja wa ofisini, kutoka ofisini hadi nnapokaa barabara ya Kalenga ni walking distance. Yule binti alikua akiongea kwenye simu.

Tulivompita, nkachombeza "mwambie akate simu tukusalimie". Binti hakuitika, akawa yuko busy na ile simu yake, tunafika home tunaona anapitiliza anaingia blocks za jirani.

Siku chache baadaye, nkamuona tena. Nkamsalimia, nkampa namba zangu bila kuongea chochote. Zikapita kama siku 3 hivi, akanicheck na kujitambulisha. Nilipomjua, nkaitika kisha nkaacha kuchat nae, na sikua nikipokea simu wala kujibu msg tena.

Ijumaa moja natoka masjid, kanzu inanukia uturi, na kiremba cheupe kimeka kichwani. Ile nivuke UN road binti huyu hap kwenye sare za kazi.

Lile vazi lilimkaa vema, niliweza ona kila kiungo kwa mapana yake. Nkatabasamu, moyoni nkiwaza toba nlotok ifanya. Binti alikua kanuna haswaa, anauliza kwanini sipokei simu au mke anikataza. Nkamwambia la, ninaumwa na simu situmii sana. Nkamuomba tukakae home kiasi nimsimulie maana si mbali.

Kama kuumwa basi ilikua ni ile hamu ya kumla, nkachukua kuku sekela kwenye grill house kabla sijaingia nae ndani. Kufika nkamkaribisha ukumbini, nkaandaa kuku tukala, hakuna aliekua akiongea huo muda wote. Tulivomaliza, nkamkaribisha chumbani ajimwagie maji. Alitaka kusita, nkamwambia nna khanga ya akiba na taulo jipya. Akakubali kishingo upande.

Anatoka bafuni anakuta nmekaa kitandani namsubiri, nkampa tshirt na kumwita nimkaushe maji. Nkawa namfuta maji, huku nkisimulia ugonjwa hata ambao sina, akaingia huruma akawa aniangalia nami namuangalia kwa huba. Nkamuinua nkamkiss kwenye paji la uso kumwambia ahsante kwa kunifariji.

Pale tulipokaa akataka ainuke sasa ili akae vizuri, ile khanga nkaizuia kimtindo ikamtoka. Na chupi alikua kaiacha bafuni, anajaribu kujificha nkawa namwambia mgonjwa nshakuona. Nkamkumbatia na kumshika kwa utaratibu, pumzi zikaanza kumzidi. Nkamkalisha kwenye kisofa.

Nkamshika miguu, nkaipandisha usawa wa mabegani kwangu nipate wasaa wa kupiga deki... Siku ild usafi nliufanya aisee. Binti akavunja dafu safi kabisa. Hakua fundi kwenye mchezo ila ni mtamu haswaaa.

Nlihakikisha namla hadi asahau kama ana kwao, ilipofika jioni nkafanya order ya chakula cha usiku ndani hatukutoka. Kazini alikua aniangia Jumamosi jioni, hivyo mchana wake nkampeleka kwake akabadili nguo na kurudi kuingia kazini. Kuanzia hapo akawa kama mke wangu sasa, akahamishia vitu vyake pale. Tulikuja kukosana nlipokuja gundua kwao ashawekewa mchumba na karibu wanaoana na hakuwahi niambia, japo hakua akimpenda yule mtu.

NB: kuna wakati zina fail, nkimaliza few attempts zilizofanikiwa ntaleta na mbili tatu zilizoshindwni nesi wa Tumaini ya kule mtaa wa Magore
 
Kumbe rey ni swala tano, huwezi amini sikujua...basi naruhusiwa kukufanya mke wa pili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji1][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]kaka...loohh!umechelewa kidooogo kuna mjanja mmoja kakuovateki!!![emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
 
Na wewe sasa tupia ule mkasa wako mdogo wangu!
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwangu hakuna kimasihara zote planned matches!!!!halafu sasa kaka huyo Dada alikukula wewe kimasihara ujue
 
Kumbe wewe umenipata. Mkuu kitu kina thamani Kama haunacho ukishakuwa Cha kawaida Sana. Emotional ni mbaya Sana. Kama sexual emotions ni Kali Sana.jiulize why wadada wazuri wanatumika kwa matangazo ya biashara.basi ngoja niishie hapo.
Huwa hauoni dada anavyokuwa mkali ama like kimuhe muhe kabla hujamkula. Naye huwa ni ivyo ivyo so baadaye inakuwa sio ishu kupotezana hakuna unalojutia
Hata ukioa mtu wa nyumban asiwe na tabia ya kwenda kwao saana lzma watamla tuu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mi sishangai maana ktk hii dunia kila kitu kinaweza tokea haswaa kwenye mapenzi!!!!na wapemba wana lugha flaani hivi taamu balaa na wanaume wao wanajua sana mapenzi(sijawahi kudate nao maana mi watu weupe sina mzuka nao sana but nishawahi ishi nao,naskiaga watu wanasema )na ni wahuuni balaa...
Hata kama, story za jamaa ni za kusadikika tu!
 
Back
Top Bottom