Happy newyear wadau nilihaidi nitaleta masihara ya kutafuna mzungu baada ya kushusha masihala yangu ya kwanza ila kabla ya mzungu ngoja nishushe masihala mmoja ya mbongomovie.

Movie linaaanz last year nilitoka mkoani x kuja mjini dsm kwa ajili ya mishe zangu kufika nikafikia hotel moja mitaa ya sinza kwa vile niikuwa bored ikabidi nimtafute rafiki yangu wa dhahabu mwanangu sana Sir God amuweke kumwendea hewani akaniambia njoo bar X

kufika pale tukaanza kugonga vitu whisky ka zote baada ya kama nusu saa hivi kuna mmbongo movie mmoja akaja kumbe walikuwa wanafahamiana na mwana akaomba kujoin meza yetu tukaone isiwe kesi kwani sh ngapi tukaanza kuweka vitu piga sana beer mixer whisky mpaka mida mibovu kumbe Yule mmbongo movie alikuwa kanielewa mnyamwezi maana ilikuwa ni mwendo wa kuclear bill tu tena full kuchanja ka sina akili nzuri (Akajua Danga Hili Kumbe me Msella tu)

Tumepga vitu we mpaka mida mibovu nikaiita uber nirudi zangu hotelini nilipofikia mmbongo movie huo unataka tusepe wote kwa madai niitaucha mbele utaunganisha unapokwenda nikaone sio kesi kwani kitu gani uber imekuja me nimekaa front na dereva na mdirect wenyewe uko back ile nimefika lodge nashuka ili nimuache yeye aendelee na safari yake na wenyewe ukashuka unasema umebanwa kukojoa unataka utumie room yangu kupunguza maji aaa nikamwambia Yule dereva wa uber we nenda tu hamna msafiri hapa baada ya kumlipa ujira wake.

Hao tukachoma mpaka room kufika nikawasha A/C wenyewe ukaingia washroom kutoka ukadai umechoka uko na hangover sana unaomba kulala kidogo nikasema ameisha huyu nadhani kilichotokea wote mnakijua (GROWN MEN DON’T KISS &TELL) lakini I do rember neno mmoja tu kutoka kwake sijawahi KUTOMBWA hivi toka nimezaliwa USIKU MWEMA WADAU MSISAHAU KUIOMBEA ZANZIBAR IKIELEKEA NCHI YA AHADI.

NB:- msiniulize kuhusu ndom maana kila nafsi itaonja mauti na by da way mnisamehe kwa uandishi mbovu
 
Huwa siichoki stori hii mzee wangu,,,shikamoo mzee.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hapana Dr!Mimi Ni mzima kabisa wa afya Sina maradhi yeyote kwa Sasa[emoji23]
Joannah ni mwanamke anayejielewa mno. Wakati mwingi nasoma comments na story zake.

naishia kujisemea wakubwa wanafaidi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vizuri lazima ule na nduguyo bwana....wife wake mrembo tu halafu Ila tulisaidiana sana
Mlivyo na wivu sasa ...
Yaani angegundua angekufuata na chupa ya maji ya moto
 
Hivi ilikuwaje ukajiita Joannah mkuu?ulikuwa member hapo kabla?huoni tunavyochanganyana manake majina yetu yanafanana sana

Nimeuliza sio kwa ubaya
Dogo nilijua ww walah nkasema Mbusus imepelkwa kuliwa Arusha mbali hvyo
 
Duh, we jamaa! Unadhani watu wazima ni wazembe kiasi hicho? Bi mkubwa wako anayajua yote mliyokuwa mnafanya.

Na usishangae kujua ashawasikiliza mara kibao mkiwa mnafanya yenu [emoji1][emoji1][emoji1]
Ndio shida ya vijana kuona wao ndio wa kwanza kufanya[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Siki nikimpata kimasihara nitaleta uzi kwa sasa naendelea na comments tu
 
Kaka yangu ERoni wewe ndio unaitwa ngalangala huku au??
 
Wadada wa JF wengine wangekua kama wee, Uzi ungenoga sana


Tatizo wanaigopa kuhukumiwaa !!!


Njoon Wadada mtupe visa
 
Hakika kila nafsi itaonja mauti. Ila kinga n muhimu saana.
 
Ila jaman,,,eti ngalangala lako,,,, ndo ulilopangiwa dada angu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji2956][emoji2956][emoji2956]#NGALA NGALA ....Nimependa umeandika kishkaji xana ni wadada wachache wenye tashi wa kutumia maneno ya kihuni yakanoga kama wew.....[emoji817]
 
Kula kimasihara kumenigharimu

Hapa kitaa Kuna Dem mmoja mkalii Sana amekamilika kila idara anadeti na mtoto wa kigogo ni waziri wa wizara x Sasa uyu Dem ni mshikaji wangu kitambo Sana anajua mahusiano yangu namimi nayajua yake

Huyu jamaa ake ambaye ni mtoto wa kigogo anaonekana ana wivu Sana kwa bibie hivyo wamekua wakugombana kila Mara na jamaa hatakagi demu awasiliane au awe na urafiki na mwanaume yeyote yule ilifikia steji mpaka jamaa akaanza kumpiga mrembo sababu tu ya wivu akikuta Dem kawasiliana na mwanaume anamshushia kipigo kikali demu anampenda kweli jamaa ila iyo Hali ikawa inamuumiza Sana demu kaja kwangu akawa ananielezea nikawa ni mtu wa kumfariji na kumtia moyo Sana kipindi anapokua amekosana na jamaa ake

Nakumbuka ilikua Christmas ya mwaka Jana nipo zangu kwangu mida ya saa nne asubuhi mlango ukagongwa kutoka nje nakutana na mrembo sikuwahi kuwaza Kama Kuna siku angekuja magetoni maana mazingira tuliyokua nayo ni ya kuwasiliana au wakati mwingine kupishana njiani na kupeana hi tuu Basi nikamkaribisha akaingia ndani Ile kuketi tuu mrembo akaanza Julia ikabidi nimsogelee nikamuuliza ku namimi Tena mrembo akaniambia ametoka kuonana na mshikaji wake wamegombana Sana kwani kupitia simu ya mshikaji aligundua jamaa alimsaliti usiku wa kuamkia iyo Christmas kwani alivofatilia meseji kwenye simu yake Kuna mwanamke alikua anamshukuru kwa kumpiga shoo nzuri

Kama kawaida yangu Mimi ndio nilikua mfariji wake mkuu nikaanza kumfariji pale bembeleza Sana ili asiendelee kulia kweli nikafanikiwa kumweka sawa baada ya muda demu akaniuliza vipi sikukuu nikamwambia imenikuta vibaya Niko apeche alolo ila Nina kamwaliko nimekapata kwa ndugu hivyo mchana nitahudhuria

Dem akaniambia nimekua mtu wa muhimu Sana kwake Mara nyingi anapopitia changamoto nimekua nae bega kwa bega kumshauri hivyo anataman iyo siku anipikie chakula kizuri na asherehekee namimi pale kwangu nikamwambia Basi sawa Haina tatizo kwa kua nilikua Sina ratiba ya kupika ikabidi niende kwa mtaa kutafuta mazaga ya kupika pika picha linaanza wakati narudi nakuta geto linapigwa mng,ao nakuta mrembo kaingia chumbani kabadilisha nguo kavaa t-shirt yangu na kajifunga taulo langu juu ya suruali aliyokua kaivaa mmh nikajiuliza kimoyo moyo Kuna usalama kweli hapa Leo nikajisemea acha muda utaniambia

Baada ya usafi wa kutosha mrembo kapika kamaliza kabla ya kula mrembo kaomba akaoge nikamruhusu mmh wakati anatoka bafuni alitoka kavaa lile taulo langu tuu mmh nikasema niache ubwege pamoja na kuheshimiana sijui nini acha niruhusu akili za kichwa Cha juu zihamie kichwa chini wakati wa kula nashangaa nalishwa Mara kugusana gusana tukajikuta tupo sita kwa sita ilipigwa show moja kabambe ya kuanzia Christmas mpaka kuamkia boxing day ni mwendo wa kuchakatana aisee yule mrembo alikua mtamu Sana katika Maisha yangu sikuwahi kudate na pisi Kali Kama Ile

Baada ya hapo Sasa mapenzi yakahama kutoka kwa jamaa kuja kwangu Dem akatokea kunipenda sana Yani mpaka inafikia steji ananiambia alikua yupo jela ya mapenzi sasa yupo huru wakati huo ameshamchana mtoto wa waziri wa break up lakini mtoto wa waziri Sasa hivi ndio Kama ameanza kuona umuhimu wa mrembo hivyo anahangaikaa amrudishe ameenda kupekenyua huko mtandaoni kudadisi saivi anadate na nani nikakutwa ni kapuku Mimi akachukua mawasiliano yangu akanipigia akanichimba mkwara mzito Sana niachane na mrembo mi nikamkubalia hata sitakagi bato ambazo naona siziwezi mtihani unakuja mrembo hataki kunielewa kabisa kuhusu kuachana ameniambia ni Bora afe ila sio kuachana namimi nikamwambia tukiendelea kudate uwezekano wa Mimi kupotezwa na wasiojulikna ni mkubwa hanielewi nipo nawaza mpaka muda huu wadau sijui nijipeleke polisi nikaripoti maana nahisi tu kufanyiwa tukio na huyu mwamba maana imefikia mpaka nimemwambia ukweli mi nipo tayari kuachana na binti ila yeye ndo hataki jamaa haelewi ananiambia Mimi ndio nampa kiburi jamaa ananitumia meseji nyingi za vitisho Yan mpaka nimeanza kujuta kulala na yule mrembo wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…