imewahi nitokea mara mbili,
ya kwanza Mwaka 2013 kipindi nafanya kazi bank moja kubwa hapa nchini (bank teller) wana tawi moja hapo Lumumba, sasa kuna mama mmoja alikuwa mashallah, huku nyuma nidhamu ya kutosha, kusema kweli kiumri yule mama ananizaa.. ila nilimpenda sana alikuwa anafanya kazi hospital ya mnazi mmoja.. sasa huyu mama sijui alijua kama nampenda kwahiyo akija kutoa hela bank ansubiri kwenye dirisha langu tu ndio ahudumiwe hata kama kuna dirisha lipo wazi ila na mimi namhudumia mteja atasubiri mpaka mimi nimalize ndio yeye aje kwangu...
basi bwana nakumbuka siku moja ilikuwa jumamosi, tulikuwa tunawahi kufunga...baada ya kutoka nikawa pale mnazi mmoja nasubiri daladala za kwenda tabata, yeye akapita na gari yake, alivyoniona akasimama. akanipa lift (kumbe nae anakaa tabata segerea, mimi nilikuwa nakaa kinyerezi). nikakaa nae seat ya mbele..
aisee safari ilikuwa ngumu sana kwani yule mama alijiachia sana kwenye gari, nikawa naona mapaja yake meusi yaliyonona mpaka nikadindisha..Mama ni mtu mzima lakini hapana jamani..
tulipofika segerea nikamuomba kushuka ili nipande vigari vya kinyerezi na yeye aende kwake coz aliniambia anakaa segerea. bahati mbaya mvua ilikuwa inanyesha akasema haina shida ngoja anipeleke nyumbani.. na kweli akanipeleka hadi nyumbani.. tulipofika home akasema anaomba aingie uwani kwani amebanwa na mkojo.. ( nilikuwa nina chumba kimoja self contained)... akaingia chooni kujisaidia..
alipokuwa chooni nikasikia kama kishindo mtu ameteleza, nikataka niende kumuangalia roho ikasita... wakati najiuliza mara yule mama akaniita niende kumsaidia chooni kwani ameteleza..nilipoingia tu nikamkuta kama ameteleza na kuanguka upande hivyo anaitaji support... basi bwana..ile namuinua kwa bahati mbaya akagusa ikulu ambayo ilikuwa imesimama vilivyo... nikapotezeaa...
wakati sasa anaondoka kwenda nje mimi bado kitu kimesimama, ghafla nimesimama nampisha mlangoni si akanishika ikulu, mimi kwa aibu nikamwambie yule mama nikuoneshe? akasema ndio halafu akakaa kitandani... aiseee baada ya hapo