Kuna mke wa mtu hapa mkali kinoma,, leo kanikaribisha kwake nimekuja kanambia hajaoga toka asubuh ndo kaenda kuoga! Ntawapa mrejesho[emoji1430]
Una hatar sanaKuna mke wa mtu hapa mkali kinoma,, leo kanikaribisha kwake nimekuja kanambia hajaoga toka asubuh ndo kaenda kuoga! Ntawapa mrejesho[emoji1430]
MREJESHOKuna mke wa mtu hapa mkali kinoma,, leo kanikaribisha kwake nimekuja kanambia hajaoga toka asubuh ndo kaenda kuoga! Ntawapa mrejesho🙌🏽
Unakumbuka walisema mke wa mtu sumu?? Jihadhari kijana tamaa ya siku moja ikusababishie matatizo makubwa ukajutia maisha yako yote.MREJESHO
STORI YENYEW ILIANZA HIVI
Kuna siku nimekaa maskan na wana akapita binti flan mweupe ilikuwa usiku lakini dem alikuwa anaonekana bado mweupee!! Wana wakawa wanamsifia mtoto mkali me nkakifanya sina habari,, nikamwacha afike mbali kidogo then nkamfata ili wana wasishtukie mchezo!! Nikamuomba binti
Mfanyakazinwa serikali amepanga chumba kimoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]embu iediti bcMREJESHO
STORI YENYEW ILIANZA HIVI
Kuna siku nimekaa maskan na wana akapita binti flan mweupe ilikuwa usiku lakini dem alikuwa anaonekana bado mweupee!! Wana wakawa wanamsifia mt
Umeongea kwa uchungu Anyway mke wa mtu sumuUnakumbuka walisema mke wa mtu sumu?? Jihadhari kijana tamaa ya siku moja ikusababishie matatizo makubwa ukajutia maisha yako yote.
Sawa, ngoja tusubiri.Mbona kawaida tuu mkuu. Na kama ni kipindi kilichopita na maisha yanaendelea wala sio tatizo. Kwahyo kuwa kweli au sio kweli haina ubaya. Huyo aliekula kimasihara ndo ajitokeze asimulie sio mimi.
Acha yamkute huyo mpenda vya kunyonga, utatatuliwa marinda na mate we shobokaKaka mke wa mtu tena kwake, angalia utapigwa ndogo kavukavu uhame mji kwa aibu, kimasihara haipo hivyo mzee
Kama rinda linawasha siukune kwa kidole tu kwani lazma upeleke kwa mume wa huyo dada? Kutafutiana laana na dhambi kwa Mungu tu. We ngoja utakulwa kimasikhara tena kwa mateKuna mke wa mtu hapa mkali kinoma,, leo kanikaribisha kwake nimekuja kanambia hajaoga toka asubuh ndo kaenda kuoga! Ntawapa mrejesho[emoji1430]
Mume mtumishi wa Serikali tena kapiga picha na viongozi alaf kapanga chumba kimoja? Acha ulaghai na unafiki danganya wana facebook wenzioMREJESHO
STORI YENYEW ILIANZA HIVI
Kuna siku nimekaa maskan na wana akapita binti flan mweupe ilikuwa usiku lakini dem alikuwa anaonekana bado mweupee!! Wana wakawa
Nidanganye ile nipate nini huku ambapo hata hatujuani! Af mbona kama una hasira sana! Take it easy men🤫Mume mtumishi wa Serikali tena kapiga picha na viongozi alaf kapanga chumba kimoja? Acha ulaghai na unafiki danganya wana facebook wenzio
Jenga hoja, acha kujitetea we unaona inaingia akiliniNidanganye ile nipate nini huku ambapo hata hatujuani! Af mbona kama una hasira sana! Take it easy men[emoji2958]
AnamahangaikoNidanganye ile nipate nini huku ambapo hata hatujuani! Af mbona kama una hasira sana! Take it easy men🤫
Happy birthday TanganyikaHappy independent day wana masihara wote.
We ni kwamba ndo umemaliza chuo af ukakosa ajira au😆😆Mbona hasira sana?? Au huku ndo sehem yako ya kutolea stress!! Anyway pole kwa unayopitia😀Kama rinda linawasha siukune kwa kidole tu kwani lazma upeleke kwa mume wa huyo dada? Kutafutiana laana na dhambi kwa Mungu tu. We ngoja utakulwa kimasikhara tena kwa mate
Siwez kua mpumbavu wa aina yako, mi chuo nimemaliza miaka zaidi ya sita iliopita na niko poa na maisha, kama hujala kuja pm nikupe japo cha ten dogo uendelee kujipooza mi nna miaka zaidi ya mitano sijawah kupanda daladala sasa utajua wewe kama napanda uongo au nnatembea kwa mguuWe ni kwamba ndo umemaliza chuo af ukakosa ajira au[emoji38][emoji38]Mbona hasira sana?? Au huku ndo sehem yako ya kutolea stress!! Anyway pole kwa unayopitia[emoji3]
Samahani mkuu naomba kuuliza, walimu waliopo shule za serikali, wafanyakazi wa manispaa n.k. ni kundi gani?Jenga hoja, acha kujitetea we unaona inaingia akilini
Yani huku sijui kwann huku kuna watu wanapenda kukosoa! Hivi mtu utakuja kudanganya jf ili upate faida gan??Samahani mkuu naomba kuuliza, walimu waliopo shule za serikali, wafanyakazi wa manispaa n.k. ni kundi gani?
Ni wafanyakazi wa serikali au sekta binafsi?
Achilia mbali polisi na wanajeshi tunaoishi nao mtaani wakiwa wamepanga chumba kimoja tena cha elf 30