Sina uhakika kama hii ni kimasihara ila ngoja niwaletee ivoivo tuu

-Daaah sijui nianzaje, ila ipo hv kuna siku nilikuwa lonely sana, stress nyingi mno....nikasema inabidi ntafute namna ya kujichangamsha
Tukiwa na vijana kama hawa 20 tu basi taifa lipo mikono salama
 
Guys mlinziiiiiiiii, sijui katokea daaa sijui mnasemaga darisalama na kiswahili chake cha kijanjajanja, mrembo hasa sijui walinzi wenzake wanamwangaliaga tu. Amekufa kaoza mm kama najishtukia kutafna mlinzi aisee ila ni pc kali hawswa kakamilika idara zote. Age ni kama 25 hivi
 
Anatoaga jicho la iphone huyo kaa nae mbali
 
Kileleni palikushinda mkuu..
 

Ujawai kula mfanyakazi wa ndani ? Sembuse mlinzi ?? Tena ukute ni hawa wa jkt wanakua na mapenz ya mbele kwa mbele tuwakilishe ila usiuze mechi.
 
Huu utoto haukubaliki, huu ni wanzuki
 
Uliuza mechi
 
Hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…