Chapakila
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 290
- 1,423
Guys mlinziiiiiiiii, sijui katokea daaa sijui mnasemaga darisalama na kiswahili chake cha kijanjajanja, mrembo hasa sijui walinzi wenzake wanamwangaliaga tu. Amekufa kaoza mm kama najishtukia kutafna mlinzi aisee ila ni pc kali hawswa kakamilika idara zote. Age ni kama 25 hivi
Ujawai kula mfanyakazi wa ndani ? Sembuse mlinzi ?? Tena ukute ni hawa wa jkt wanakua na mapenz ya mbele kwa mbele tuwakilishe ila usiuze mechi.

