Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Guys mlinziiiiiiiii, sijui katokea daaa sijui mnasemaga darisalama na kiswahili chake cha kijanjajanja, mrembo hasa sijui walinzi wenzake wanamwangaliaga tu. Amekufa kaoza mm kama najishtukia kutafna mlinzi aisee ila ni pc kali hawswa kakamilika idara zote. Age ni kama 25 hivi

Ujawai kula mfanyakazi wa ndani ? Sembuse mlinzi ?? Tena ukute ni hawa wa jkt wanakua na mapenz ya mbele kwa mbele tuwakilishe ila usiuze mechi.
 
Nilijikata na bati tu, nipo ki dispensary moja hivi hivi ya uswazi nasafisha kidonda, sasa siku hiyo nimevaa bukta, nesi kaweka mguu wangu kwenye paja lake (manesi wengine wana makusudi) si nikadindaa nesi akasema mmmmmmmhhhh!! We kaka wee, ndio nini hivi jamani,
Huu utoto haukubaliki, huu ni wanzuki
 
jana na mimi nimekula kimasihara bila kutegemea, nimekuja moro kimajukumu tokea wiki iliyopita, jana jioni natokea kibaruani nimeshuka kwenye gari maeneo ya kihonda st anne natembea kulekea nilipofikia mara kwa mbele nikaona mtoto mmoja mzuri mrefu ana rangi flani
Uliuza mechi
 
jana na mimi nimekula kimasihara bila kutegemea, nimekuja moro kimajukumu tokea wiki iliyopita, jana jioni natokea kibaruani nimeshuka kwenye gari maeneo ya kihonda st anne natembea kulekea nilipofikia mara kwa mbele nikaona mtoto mmoja mzuri mrefu ana rangi flani ejichokea sina hata mpango na mbususu ila ndio kimasihara ikawa imenikuta.
Hongera
 
Kilaza wewe umetupotezea muda.kusoma.utopolo wako.
Kaka shkamoo, samahani broo ila naona kama hujisomi, hadi unakuja kusoma humu story za watu waliofanya mapenzi kimasihara inamaanisha huna kazi za kufanya broo ndo maana umekuja kupoteza muda huku, MTU MWENYE SHUGHULI NYINGI AKIPATA FREE TIME NDO ANAPOTEZEA MUDA HUMU KWA KUJICHEKESHA NA STORY ZA HUMU, WASIO NA SHUGHULI NYINGI NDO WANASHINDA HUMU MCHANA KUTWA

-UKISEMA NMEKUPOTEZEA MUDA, INAMAANISHA KUNA JAMBO LA MUHIMU AMBALO ULIKUWA UNATAKIWA ULIFANYE HUO MUDA ULIOTUMIA KUSOMA HII STORY YANGU!!
-SWALI LINAKUJA KWAMBA...KAMA UNA AKILI TIMAMU UNGEACHA KUFANYA SHUGHULI ZAKO UJE UTUMIE HUO MUDA KUSOMA STORY ZA WATU WALIOGONGA KIMASIHARA, TENA ZINGINE ZA UONGO KABISA???

-just think about it!!!
 
Back
Top Bottom