Kwa hizi story zenu wazee wa kazi hawawezi kuoa kabisa
 
Miongoni mwa comment bora kabisa. Nimefurahi kuwa umebaki na historia nzuri ya hiyo encounter. Ninaamini una visa vingine bora. Ninavitizamia.
 
Mtu ameliwa kimasihara halafu badae anakwambia ana mimba
Jibu:-, lea tu mimba hiyo ya kimasihara tu, na mtoto akizaliwa atakuwa wa kimasihara siara
Mkuu leo mtoro huyoo.. wakati unakojoa huku unatetemeka ulidhani kitatokea nini[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa hizi story zenu wazee wa kazi hawawezi kuoa kabisa

Waowe tu ni hivi Haya mambo yapo tangu na tangu Hakuna na haitokaa upate wa kwako peke yako watu wanatumia kila gharama apite na pisi ikiwepo yako na yangu na hawa viumbe sio kila siku atakataa kuna siku anaamka anataka tu awe na mtu tofauti kutoa bwana ake Ndio hapo mtu unajikuta unakula pisi hata Bila kutoa Mia na inakuletea mzigo yenyewe…

We owa unaependa usimfatilie na anzisheni familia bila kusahau kumkumbusha magonjwa yapo asilete nyumbani. Owa mkuu usiogope na usisahau kila demu unaekula na kutoa jasho na wako analiwa hivyo hivyo lakini pia hata usipokula na kuheshimu wa wenzio wako ataliwa tu so we Kula bila kuwaza kwani dunia ni yetu?
 
huo ndio ujasiri,
KAMA ULILIWA SEMA,
na kama kuna uzi ukiona humu una kuhusu SEMA MIMI NDIYE NILIYE LIWA HAPO....
 
Sawa boss wangu ni bei rahisi mpaka nimeshangaa
Wakijua lengo lako ni abortion, zinakuwa na gharama maradufu. Ila mimi nimenunua mara kadhaa kwa 8,000/- tembe nne, means 2,000/-@ na anti biotics nampa 5,000/- ananichanganyia zinazosaidia. Sijawahi kumpa zaidi ya 15k. Kuna wakati nampa 10k. Ni msimbe mmoja namwambia nisha haribu huko nisaidie nilinde heshima na amani ananisaidia.

Mara ya mwisho nilimwambia sirudi tena, nimeacha haya masuala.
 
Unaenda na prescription gani kuwa unataka dawa tu
 
Kila mara nikitembelea huu Uzi naona kuna story ya jamaa aliyekula nguruwe kimasihara ..mi mawazo yangu nikajua amekula nyama kama nyama kimasihara... kumbe nimeelewa alikula papuchi ya nguruwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kimasihara....aisee naombeni mnitag hiyo story ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sio huu uzi.. ni mazingira hatarishi uliyowahi kufanya mapenzi
 


Nipo Nyuma Yako Mtukufu


NB:Hii haitokuwa kimasihara
 
ukikutana nae lazima mpashe au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…