Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,601
- 8,687
Katika watu wapumbafu walio kosa kazi za kufanya na hawajui walifanyalo ndio wewe sasa. Kwani wajomba zako wote wameokoka .....? Hadi uje kwenye site za ngono huku.....? Nenda kwanza kwa wajomba zako malizana nao kwanza ndio uje ujipizie hukuHata YESU alipokuwa akihubiri Injili wapo waliomtukana matusi kama wewe unavyonitukana.
Mimi sitakutukana bali nitakuombea kwa MUNGU akusamehe matusi yako ili siku moja ukijatambua basi utubu maovu yako na upokelewe kwenye Ufalme wa MUNGU.
MUNGU akusamehe maana hujui ulifanyalo sasa hivi. Amen.
