R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,295
- 5,449
Hizi kimasihara hizi dah!
Juzi kati hapa nilienda sehemu Kwenye ofisi ya rafiki yangu nikakuta ana secretary mpya ila ni kisu balaa.
Nikamuuliza mshikaji vipi totoz hiyo haujaikula kweli maana rafiki yangu naye na mimi huwa hatupishani tabia Akasema wala hafikirii maana ataharibu Heshima na nidhamu itapungua.
Nikamwambia basi ngoja nikuheshimishe kamanda , bahati Nzuri bibie anaishi uelekeo mmoja na mimi.
Wakati natoka muda wa kufunga ofisi umewadia so jamaa akasema mpe lift ukamuache Kizuiani. Nikasema huyu leo hii hii analiwa.
Tukatoka wakati tupo njiani ile foleni nikamchombeza unaonaje twende sehemu tukapate hata supu jioni hii . Akasema poa ,mimi sio mnywaji wa alcohol yoyote ile hivyo huwa sipendi kumwambia mtu tukale Kilaji. Tumefika pale sitoitaja hiyo sehemu kwa sababu za privacy kidogo . Yeye ameagiza serengeti lite , mimi nikaagiza MONSTER yangu. Ila sijui alikuwa anazimwaga chini kudadeki alipiga kama chupa tano hivi ndani ya nusu saa tu.
Nikaona anacheka cheka mara anisifie nikaenda kuchukua chumba bila kumjulisha nilivyorudi nikamwmabia tuhamie ndani hapa macho ya watu mengi.
Yule dada Siku ile nilichakata papuchi ila anapiga kelele kama anatumia vile mpaka nilikuwa naona kero. Baadae ananiambia pale alipo ana mimba ya miezi mitatu halafu jamaa aliyempa anamwambia aitoe hivyo yupo full stressed . Nikaona enhe nisije nikapewa mimba isiyo yangu.
Nikamwambia rafiki yangu bhana secretary wako ameshaliwa ila sirudii tena . Jamaa alicheka sana huwa tuna usemi wetu " Nani kaiona kesho " huu ni wimbo wa Bendi ya msondo.
Niishie hapo .
Juzi kati hapa nilienda sehemu Kwenye ofisi ya rafiki yangu nikakuta ana secretary mpya ila ni kisu balaa.
Nikamuuliza mshikaji vipi totoz hiyo haujaikula kweli maana rafiki yangu naye na mimi huwa hatupishani tabia Akasema wala hafikirii maana ataharibu Heshima na nidhamu itapungua.
Nikamwambia basi ngoja nikuheshimishe kamanda , bahati Nzuri bibie anaishi uelekeo mmoja na mimi.
Wakati natoka muda wa kufunga ofisi umewadia so jamaa akasema mpe lift ukamuache Kizuiani. Nikasema huyu leo hii hii analiwa.
Tukatoka wakati tupo njiani ile foleni nikamchombeza unaonaje twende sehemu tukapate hata supu jioni hii . Akasema poa ,mimi sio mnywaji wa alcohol yoyote ile hivyo huwa sipendi kumwambia mtu tukale Kilaji. Tumefika pale sitoitaja hiyo sehemu kwa sababu za privacy kidogo . Yeye ameagiza serengeti lite , mimi nikaagiza MONSTER yangu. Ila sijui alikuwa anazimwaga chini kudadeki alipiga kama chupa tano hivi ndani ya nusu saa tu.
Nikaona anacheka cheka mara anisifie nikaenda kuchukua chumba bila kumjulisha nilivyorudi nikamwmabia tuhamie ndani hapa macho ya watu mengi.
Yule dada Siku ile nilichakata papuchi ila anapiga kelele kama anatumia vile mpaka nilikuwa naona kero. Baadae ananiambia pale alipo ana mimba ya miezi mitatu halafu jamaa aliyempa anamwambia aitoe hivyo yupo full stressed . Nikaona enhe nisije nikapewa mimba isiyo yangu.
Nikamwambia rafiki yangu bhana secretary wako ameshaliwa ila sirudii tena . Jamaa alicheka sana huwa tuna usemi wetu " Nani kaiona kesho " huu ni wimbo wa Bendi ya msondo.
Niishie hapo .