Ulipigika miaka mingapi mpaka kupata Ajira ya Kwanza baada ya Chuo?

Ulipigika miaka mingapi mpaka kupata Ajira ya Kwanza baada ya Chuo?

Nilikaa miaka miwili sema sikua serious na kutafuta kazi nilijipa muda wa kupumzika kidogo nikawa nafanya mengine yasiyonibana. Nimeanza kutafuta kazi mwezi wa pili 2016 mwezi wa 6 nikapata
 
Nilikaa miaka miwili sema sikua serious na kutafuta kazi nilijipa muda wa kupumzika kidogo nikawa nafanya mengine yasiyonibana. Nimeanza kutafuta kazi mwezi wa pili 2016 mwezi wa 6 nikapata
Ya kweli aya mzee mama????
 
Ukiona mtu yeyote mwenye kupata huduma ya MAJI, UMEME na INTERNET na mwenye akili timamu analalamika fursa, ajira, na ugumu wa maisha. Elewa ya kwamba tatizo lipo kwa huyo mtu na wala si ukosefu wa fursa. Tufiikiri zaidi
 
Mwezi mmoja, sema nilikuwa sina hata hela ya bia na nilipata shida ya usingizi sana huo mwezi.
 
Uoga wa kuthubutu na kulinda personality vinawaponza graduates wengi. Binafsi nifanya kazi ya kiupuuzi kwa macho ya wengi ila hii biashara yangu Ina miezi 3, nilianza na 150k mwezi wa tano sasa mtaji ni milion 2.5 hapo nakula na kulipa Kofi ya nyumba humohumo, vocha huwa naweka kifurushi cha 20k.

Utaniambia kuajiriwa vipi nikuelewe!
Kazi gano ya kipuuzi hii mkuu...??
 
Duh mm nlipata kazi wiki ya kwanza tu nlipomaliza chuo ilikuwa unhcr kigoma nikagoma kwenda, baada ya mwezi nikapata kazi mwanza idara ya maji nigsgoma kwenda, bahati mbaya nikatia mimba mschana nikatimuliwa home, mwezi ulofuata nikapata kazi musoma nikamchukua mschana akawa wife nikaenda kuanza kaz
 
Ni rahisi sana kuandika nadharia kuliko ku-experience reality!

Hlf lazima uelewe kila mmoja ana ukurasa wake wa maisha hivyo background za wengine kuzibadilisha ni ngumu kidgo hadi awe boosted na mfumo wake wa elimu!
Absolutely
 
Uoga wa kuthubutu na kulinda personality vinawaponza graduates wengi. Binafsi nifanya kazi ya kiupuuzi kwa macho ya wengi ila hii biashara yangu Ina miezi 3, nilianza na 150k mwezi wa tano sasa mtaji ni milion 2.5 hapo nakula na kulipa Kofi ya nyumba humohumo, vocha huwa naweka kifurushi cha 20k.

Utaniambia kuajiriwa vipi nikuelewe!
Biashara gani
 
Msoto baada ya kumaliza chuo usikie hivyo hivyo ni balaa kubwa.
Ukisikiliza wimbo wa Nash MC uitwao maisha baada ya chuo utaelewa zaidi.
Nakumbuka hicho kipindi cha msoto demu niliyemaliza nae chuo nikiwa na ndoto za kumuoa alinichinjia baharini. Ila Mungu Si Athumani maisha yamerudi kwenye mstari and I am just making my pepa laiki harmonize😃😃😃

I see you baby Marianah
 
Duh mm nlipata kazi wiki ya kwanza tu nlipomaliza chuo ilikuwa unhcr kigoma nikagoma kwenda, baada ya mwezi nikapata kazi mwanza idara ya maji nigsgoma kwenda, bahati mbaya nikatia mimba mschana nikatimuliwa home, mwezi ulofuata nikapata kazi musoma nikamchukua mschana akawa wife nikaenda kuanza kaz


Utakuwa ulipata kazi ya uclerk UNHCR ndio maana ukagoma.
 
Nashukuru Mungu sijawahi kukaa mtaani bila kazi, nilipomaliza tu chuo nilifanya applications kama tatu kila mahali niliitwa na sehemu kama mbili nilienda na nikapata nafasi ila sikuripoti,
 
Uoga wa kuthubutu na kulinda personality vinawaponza graduates wengi. Binafsi nifanya kazi ya kiupuuzi kwa macho ya wengi ila hii biashara yangu Ina miezi 3, nilianza na 150k mwezi wa tano sasa mtaji ni milion 2.5 hapo nakula na kulipa Kofi ya nyumba humohumo, vocha huwa naweka kifurushi cha 20k.

Utaniambia kuajiriwa vipi nikuelewe!
Biashara ipi hiyo nipe uzoefu
 
Back
Top Bottom