Halooonmeajiriwa leo na chuo sijamalza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nafasi gani ya UNHCR uliuoikataa mkuu?Duh mm nlipata kazi wiki ya kwanza tu nlipomaliza chuo ilikuwa unhcr kigoma nikagoma kwenda, baada ya mwezi nikapata kazi mwanza idara ya maji nigsgoma kwenda, bahati mbaya nikatia mimba mschana nikatimuliwa home, mwezi ulofuata nikapata kazi musoma nikamchukua mschana akawa wife nikaenda kuanza kaz