Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,493
...leo tupeane faraja baada ya kuchungulia nje na kukuta kuna kundi kubwa la wahitimu wa certificate, diploma, degree, masters wanaongezeka Tu Ka njugu mtaani!
Mie baada ya kumaliza Chuo nilipigika haswa! Yes, enzi zile tunavaa suruali za bugaa na mashati ya kung'aa na tai zenye mistari mistari Ka wachungaji wa kilokole au wasabato! Nguo zilipauka mpk intavyuu ukiitwa unaona aibu!
Baada ya msoto wa miaka miwili nikapata Ajira Kwa muhindi, mshahara 195,000/= o'clock! Yes! Niliiona ya maana japo msoto wa kitaa nishaanza kuuzoea as niliamua kufundisha tuisheni, huku nikimeki pesa mingi likizo za madent! Kulima nililima matikiti, cha Moto nilikiona! Ukiingia na overexpectation kwenye kilimo utaimba nyimbo zote za Remy Ongala!
Kuku nilifuga nikaishia Kula mayai japo I made something! At the end nikapata Marketing officer Kwa muhindi. Simsemei vibaya, he was good compared to others!
Msoto wa Ajira unaendelea kuwa mkali kadili maelfu ya wahitimu inavyoongezeka Kada zote! Ni bomu! Ni bomu!
Hakuna cha afya, kilimo, uchumi, engineering Mambo ni magumu!
Ushauri: Jifunze kutafuta pesa Kwa njia mbadala/ujasiliamali mapema Sana ili elimu ikikudiscourage uwe na mahali pa kulinda utu wako la sivyo utamaliza Series, CDs na magazeti sebuleni Kwa shemejio!!!
Karibuni wahitimu wa vyuo kitaa...huku hata wa degree ana endesha bodaboda na kuchoma chips!!!
Mie baada ya kumaliza Chuo nilipigika haswa! Yes, enzi zile tunavaa suruali za bugaa na mashati ya kung'aa na tai zenye mistari mistari Ka wachungaji wa kilokole au wasabato! Nguo zilipauka mpk intavyuu ukiitwa unaona aibu!
Baada ya msoto wa miaka miwili nikapata Ajira Kwa muhindi, mshahara 195,000/= o'clock! Yes! Niliiona ya maana japo msoto wa kitaa nishaanza kuuzoea as niliamua kufundisha tuisheni, huku nikimeki pesa mingi likizo za madent! Kulima nililima matikiti, cha Moto nilikiona! Ukiingia na overexpectation kwenye kilimo utaimba nyimbo zote za Remy Ongala!
Kuku nilifuga nikaishia Kula mayai japo I made something! At the end nikapata Marketing officer Kwa muhindi. Simsemei vibaya, he was good compared to others!
Msoto wa Ajira unaendelea kuwa mkali kadili maelfu ya wahitimu inavyoongezeka Kada zote! Ni bomu! Ni bomu!
Hakuna cha afya, kilimo, uchumi, engineering Mambo ni magumu!
Ushauri: Jifunze kutafuta pesa Kwa njia mbadala/ujasiliamali mapema Sana ili elimu ikikudiscourage uwe na mahali pa kulinda utu wako la sivyo utamaliza Series, CDs na magazeti sebuleni Kwa shemejio!!!
Karibuni wahitimu wa vyuo kitaa...huku hata wa degree ana endesha bodaboda na kuchoma chips!!!