Kumaliza 2011. Kuanza msoto hadi 2015 ajira ndo inapatikana tena kwa mbinde yenye ushindani mkali sanaaaa nikatusua sasa shidah zote nimezisahau sitaki wanangu wawe na mawazo kama ya kwangu kabisa kqani nilikuwa nawaza kuajiriwa all time nimeanzisha miradi ya ufugaji , na kilimo cha bustani nawaelekeza kila nachokifanya nashujuru wamejifunza na wanafanya wenyewe na pesa wanapata wanajinunulia viatu,soksi,madaftari na mabegi ya shule wenyewe wapo darasa mkubwa darasa la 6 na mdogo darasa 4 .wasichana wote. Naona wameanza kujifunza kitu fulani.