Robbykan
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 509
- 466
Mimi nimeipata Jumatatu ya wiki hii baada ya kumaliza mkataba wa kwanza sehemu nilipoajiriwa.. Nimepata Kama 2,600,000tsh..walioajiriwa sekta binafsi wanaijua hii inaitwa (GRATITUDE).. yaani shukrani ya mwajili baada ya mkataba.. Nina umri wa miaka 27..Toka Jumatatu nawaza la kufanya sipati chochote.. Ukizingatia Imekuja wakati mmoja na mshahara Nimejikuta Nina zaidi ya million tatu.. Hapa nawaza nifanye nini.. Mwenye wazo lolote la uwekezaji aniambie maana Mimi nilitaka ninunue Boda Boda nimpe mtu mwaminifu aingie barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app