Rafiki zangu wengi walipata kazi kwa Connection, je wewe unayesoma hapa ulipata kazi(ajira) kwa njia gani

Kamkunji

Member
Sep 14, 2023
92
272
Habarini za jumapili ndugu zanguni, Leo ni jumapili ya kwanza ya kwaresma, hakika neno la leo lilikua zuri sana,
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu hii ya leo, ni jambo la kushangaza lakini pia la kifikirisha sana, baada ya kuongea nao kwa nyakati tofauti tofauti, nimegundua rafiki zangu wote niliosoma nao hakuna aliyepata nafasi(kazi) kwa bahati wote walifanyiwa mchongo(walishikwa mkono), nimefikiria sana
Nimewaza hivi wale watoto wa maskini ambao huomba kazi kwa dua mamia kwa maelfu wao hupataje kazi, hasa kazi za kueleweka, au wao huongozwa na bahati, ama kweli mwenye nacho ndiye huongezewa

Rafiki zangu hawa wapo waliosoma hapo Loyola, Alpha, Feza na wachache shule za serikali(Advanced level) n.k
Yaani kuna mmoja alisoma uboyzini shule moja ya kibabe alivyomaliza direct akapata kazi nzuri sana na kwenda nje ya nchi, nikajua zali, la haula kumbe naye kulikua na mkono wa mkubwa anayeishi pale mbweni, aliniambia mwenyewe, nikastaajabu. Kuna siku nilikutana na mzee mmoja mzito sana tukawa tunapata moja moto moja baridi, maongezi yalivyokolea akaniambia sasa hivi zimerudi tena zile zama za simu moja, unamjua nani, yaani huko unapotaka kuajiriwa una mtu, hata wale waendao kule Moshi, Monduli, bagamoyo si kwa bahati tena, lazima ushikwe mkono.
sasa najiuliza circle ya uongozi na watendaji inakua ya watu wanojuana tu, je wale watoto walioko huko Nkasi, Namanyeri, Nanjilinji n.k ambao wazazi wao wanawasubiri wamalize waajiriwe wawasaidie (dhana) itakuaje..? wanajua kama huku mjini ni weka kitu upate kitu,

Na wewe ndugu msomaji unayesoma hapa, hebu sema ukweli kutoka rohoni mwako, kama ulibahatika kupata kazi(kuajiriwa) iwe government au private, hiyo kazi uliipata kwa njia gani..?
May this Lent be a season of grace for you and your loved ones!
 
Kila MTU ananjia zake za kupata alizopangiwa na Mungu, kikubwa Kwa vijana ni kupambana Kama ni kusoma ni kusoma Kwa bidiii na kuwa mahiri kwenye eneo husika.



Wakipachika majina Yao basi nawewe unakuwepo Kwa sababu ya sifa zako....

Undugulaization hauwezi kuisha Kaka, hata aje Nani....Kama magufuli tuu alijaza watu wake wa kanda Ile....
 
Kila MTU ananjia zake za kupata alizopangiwa na Mungu, kikubwa Kwa vijana ni kupambana Kama ni kusoma ni kusoma Kwa bidiii na kuwa mahiri kwenye eneo husika.



Wakipachika majina Yao basi nawewe unakuwepo Kwa sababu ya sifa zako....

Undugulaization hauwezi kuisha Kaka, hata aje Nani....Kama magufuli tuu alijaza watu wake wa kanda Ile....
ni kweli ndugu yangu,
 
Habarini za jumapili ndugu zanguni, Leo ni jumapili ya kwanza ya kwaresma, hakika neno la leo lilikua zuri sana,
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu hii ya leo, ni jambo la kushangaza lakini pia la kifikirisha sana, baada ya kuongea nao kwa nyakati tofauti tofauti, nimegundua rafiki zangu wote niliosoma nao hakuna aliyepata nafasi(kazi) kwa bahati wote walifanyiwa mchongo(walishikwa mkono), nimefikiria sana
Nimewaza hivi wale watoto wa maskini ambao huomba kazi kwa dua mamia kwa maelfu wao hupataje kazi, hasa kazi za kueleweka, au wao huongozwa na bahati, ama kweli mwenye nacho ndiye huongezewa

Rafiki zangu hawa wapo waliosoma hapo Loyola, Alpha, Feza na wachache shule za serikali(Advanced level) n.k
Yaani kuna mmoja alisoma uboyzini shule moja ya kibabe alivyomaliza direct akapata kazi nzuri sana na kwenda nje ya nchi, nikajua zali, la haula kumbe naye kulikua na mkono wa mkubwa anayeishi pale mbweni, aliniambia mwenyewe, nikastaajabu. Kuna siku nilikutana na mzee mmoja mzito sana tukawa tunapata moja moto moja baridi, maongezi yalivyokolea akaniambia sasa hivi zimerudi tena zile zama za simu moja, unamjua nani, yaani huko unapotaka kuajiriwa una mtu, hata wale waendao kule Moshi, Monduli, bagamoyo si kwa bahati tena, lazima ushikwe mkono.
sasa najiuliza circle ya uongozi na watendaji inakua ya watu wanojuana tu, je wale watoto walioko huko Nkasi, Namanyeri, Nanjilinji n.k ambao wazazi wao wanawasubiri wamalize waajiriwe wawasaidie (dhana) itakuaje..? wanajua kama huku mjini ni weka kitu upate kitu,

Na wewe ndugu msomaji unayesoma hapa, hebu sema ukweli kutoka rohoni mwako, kama ulibahatika kupata kazi(kuajiriwa) iwe government au private, hiyo kazi uliipata kwa njia gani..?
May this Lent be a season of grace for you and your loved ones!
Ni kweli mimi pia rafiki zangu wote waliotoboa ni connection tena kutoka kwa wazazi wao na ndugu wa karibu kabisa.
Kuna ambao walimazi chuo tu wakaitwa moja kwa moja monduli sasa ni maofisa teyari, kuna wengine wao walipewa vitengo benki kubwa tena idara ambayo ajasomea kabisa.

ila haizuii wewe usie na connection kutafuta connection ndio dunia ilivyo hao tunaowaona wazazi wao na ndugu zao walisha umia kujenga hizo connection ndio leo unaona wanafaidi watoto wao.

sisi wazazi wetu hawakuona umuhimu au wengine walitangulia mapema mbele ya haki hatu namna ni kupambana kiume tu ili mkono uende kinywani..
 
Habarini za jumapili ndugu zanguni, Leo ni jumapili ya kwanza ya kwaresma, hakika neno la leo lilikua zuri sana,
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu hii ya leo, ni jambo la kushangaza lakini pia la kifikirisha sana, baada ya kuongea nao kwa nyakati tofauti tofauti, nimegundua rafiki zangu wote niliosoma nao hakuna aliyepata nafasi(kazi) kwa bahati wote walifanyiwa mchongo(walishikwa mkono), nimefikiria sana
Nimewaza hivi wale watoto wa maskini ambao huomba kazi kwa dua mamia kwa maelfu wao hupataje kazi, hasa kazi za kueleweka, au wao huongozwa na bahati, ama kweli mwenye nacho ndiye huongezewa

Rafiki zangu hawa wapo waliosoma hapo Loyola, Alpha, Feza na wachache shule za serikali(Advanced level) n.k
Yaani kuna mmoja alisoma uboyzini shule moja ya kibabe alivyomaliza direct akapata kazi nzuri sana na kwenda nje ya nchi, nikajua zali, la haula kumbe naye kulikua na mkono wa mkubwa anayeishi pale mbweni, aliniambia mwenyewe, nikastaajabu. Kuna siku nilikutana na mzee mmoja mzito sana tukawa tunapata moja moto moja baridi, maongezi yalivyokolea akaniambia sasa hivi zimerudi tena zile zama za simu moja, unamjua nani, yaani huko unapotaka kuajiriwa una mtu, hata wale waendao kule Moshi, Monduli, bagamoyo si kwa bahati tena, lazima ushikwe mkono.
sasa najiuliza circle ya uongozi na watendaji inakua ya watu wanojuana tu, je wale watoto walioko huko Nkasi, Namanyeri, Nanjilinji n.k ambao wazazi wao wanawasubiri wamalize waajiriwe wawasaidie (dhana) itakuaje..? wanajua kama huku mjini ni weka kitu upate kitu,

Na wewe ndugu msomaji unayesoma hapa, hebu sema ukweli kutoka rohoni mwako, kama ulibahatika kupata kazi(kuajiriwa) iwe government au private, hiyo kazi uliipata kwa njia gani..?
May this Lent be a season of grace for you and your loved ones!
Ulisha wahi kusikia "one man's army" ndo mimi sasa
 
Kama una nafasi ya kuandaa connection kwa ajili ya kizazi chako fanya hivyo, maisha hayako na hayajawahi kua fair kwa yule anayesubiri.
Good things come to those who go and fight for them, they don't come to those who waits
 
Mimi kwakweli nashukuru mungu tu ni kama bahati nilituma CV nikaitwa nikafanya interview na nikapata kazi, lakini kwakweli wenzangu karibia wote kwenye ofisi ile wanasema walikuja kwa conectiona! So Bahati zipo ila connection ndio zipo sanaa! Usife moyo kujaribu kama huna connection kabisa !
 
Habarini za jumapili ndugu zanguni, Leo ni jumapili ya kwanza ya kwaresma, hakika neno la leo lilikua zuri sana,
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu hii ya leo, ni jambo la kushangaza lakini pia la kifikirisha sana, baada ya kuongea nao kwa nyakati tofauti tofauti, nimegundua rafiki zangu wote niliosoma nao hakuna aliyepata nafasi(kazi) kwa bahati wote walifanyiwa mchongo(walishikwa mkono), nimefikiria sana
Nimewaza hivi wale watoto wa maskini ambao huomba kazi kwa dua mamia kwa maelfu wao hupataje kazi, hasa kazi za kueleweka, au wao huongozwa na bahati, ama kweli mwenye nacho ndiye huongezewa

Rafiki zangu hawa wapo waliosoma hapo Loyola, Alpha, Feza na wachache shule za serikali(Advanced level) n.k
Yaani kuna mmoja alisoma uboyzini shule moja ya kibabe alivyomaliza direct akapata kazi nzuri sana na kwenda nje ya nchi, nikajua zali, la haula kumbe naye kulikua na mkono wa mkubwa anayeishi pale mbweni, aliniambia mwenyewe, nikastaajabu. Kuna siku nilikutana na mzee mmoja mzito sana tukawa tunapata moja moto moja baridi, maongezi yalivyokolea akaniambia sasa hivi zimerudi tena zile zama za simu moja, unamjua nani, yaani huko unapotaka kuajiriwa una mtu, hata wale waendao kule Moshi, Monduli, bagamoyo si kwa bahati tena, lazima ushikwe mkono.
sasa najiuliza circle ya uongozi na watendaji inakua ya watu wanojuana tu, je wale watoto walioko huko Nkasi, Namanyeri, Nanjilinji n.k ambao wazazi wao wanawasubiri wamalize waajiriwe wawasaidie (dhana) itakuaje..? wanajua kama huku mjini ni weka kitu upate kitu,

Na wewe ndugu msomaji unayesoma hapa, hebu sema ukweli kutoka rohoni mwako, kama ulibahatika kupata kazi(kuajiriwa) iwe government au private, hiyo kazi uliipata kwa njia gani..?
May this Lent be a season of grace for you and your loved ones!
pole sana mkuu ,nimesota sana kitaani kula yangu tu ilikua ya tabu ila nilipata kazi halmashauri fulani kupitia sekretarieti ya ajira bila kushikwa mkono. ni MUNGU na jitihada zangu. pambana upate kazi utawala huu wa MAMA SAMIA CHIEF
 
Back
Top Bottom