Unajiandaaje na magonjwa yanayotokea kwa sababu ya umri kuwa mkubwa?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Aug 2, 2022
1,465
4,678
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekua na janga kubwa sana la magonjwa yasiyoambukiza, hasa inawapata watu ambao umri unaenda.

Watu wanahangaika na kisukari, shinikizo la damu, kansa, figo, ini na magonjwa mengine yanayotokea na ulaji mbovu au life style mbovu ya maisha yetu.

Nina rafiki yangu mmoja umri miaka 45, ana tatizo la kisukari lililompelekea kushindwa kuperform vizuri kwenye tendo la ndoa, ndoa yao kwasasa ipo taabani mke wake anamdharau sana na kufanya mapenzi hovyo hovyo na vijana wa mtaani, rafiki yangu amepata stress mpaka hafati ushauri wowote wa dakatari, anakunywa soda nyingi na mandazi, vitumbua, chapati nadhani ameshakata tamaa ya maisha.

Nimepata kidogo mashaka juu ya lifestyle yangu, ukizingatia ulaji mbaya ambao nakula hovyo hovyo, nilichoweza mpaka sasa hivi ni kupunguza matumizi ya sukari, imetimia mwezi sijagusa soda Wala juice, hapo mwanzo nilikua addicted sana, napambana kupunguza matumizi ya mafuta japo ni ngumu kuepuka, nimeongeza unywajj wa maji kwa kiasi kikubwa.

Vipi ndugu zangu baada ya kusikia ushauri wa janabi kuhusu vyakula, umefata au umeachana nao?

Umepunguza nini na kuongeza nini?
 
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekua na janga kubwa sana la magonjwa yasiyoambukiza, hasa inawapata watu ambao umri unaenda.

Watu wanahangaika na kisukari, shinikizo la damu, kansa, figo, ini na magonjwa mengine yanayotokea na ulaji mbovu au life style mbovu ya maisha yetu.

Nina rafiki yangu mmoja umri miaka 45, ana tatizo la kisukari lililompelekea kushindwa kuperform vizuri kwenye tendo la ndoa, ndoa yao kwasasa ipo taabani mke wake anamdharau sana na kufanya mapenzi hovyo hovyo na vijana wa mtaani, rafiki yangu amepata stress mpaka hafati ushauri wowote wa dakatari, anakunywa soda nyingi na mandazi, vitumbua, chapati nadhani ameshakata tamaa ya maisha.

Nimepata kidogo mashaka juu ya lifestyle yangu, ukizingatia ulaji mbaya ambao nakula hovyo hovyo, nilichoweza mpaka sasa hivi ni kupunguza matumizi ya sukari, imetimia mwezi sijagusa soda Wala juice, hapo mwanzo nilikua addicted sana, napambana kupunguza matumizi ya mafuta japo ni ngumu kuepuka, nimeongeza unywajj wa maji kwa kiasi kikubwa.

Vipi ndugu zangu baada ya kusikia ushauri wa janabi kuhusu vyakula, umefata au umeachana nao?

Umepunguza nini na kuongeza nini?
KWangu Mimi nilishaanza kitambo mno hata kabla Dr janabi kusema baada ya kufukia vyakula na vinywaji mbalimbali nilijijuwa tu hapa ni lazima sumu zitakuwa zimelundikama ndani ya mwili wangu hivyo nilianza kwanza na kuondoa sumu mwili ambazo zilikuwa zimetokana na vyakula na vinywaji nilivyotumiaga awali na ndo nikaendelea na mambo mengine.kimsingi Sasa Sina shaka na mfumo wa maisha nilionao Sasa mfano nilikuwa sipati choo ndani ya siku mbili hata tatu wiki nyingine lakini Sasa alhamdulillah natapa choo safi
 
Kwa bahati umegundua mapema basi fata hatua za ki afya kama kupunguza matumizi ya sukari
Kuacha matumizi makubwa ya wanga.
Kutokutumia vilevi
Zaidi sana ni kutembea,hakikisha unapata mda wa kutembea ni muhimu sna.
Ila tupunguze kuwa obsessed sana na wanawake hasa kuwaridhisha ingawa ndio asili inataka hivyo tuanze kupenda mpira ila angalia isiwe simba
 
Hakuna madactari wenye ulewa wa Tina nchini.Mgonjwa ansumbuliwa pressure na stroke wanampeleka kwa dactari wa moyo badala wampeke kwa Neurology.Pia Neurology haijakaa saws Tanzania.
 
Ila Watanzania tumekuwa mapumbavu aiseee! Eti nimeacha matumizi ya sukari na soda! Hivi kweli tunajua sababu za kisukari? Prof. Jamani anawadanganya!
 
Ila Watanzania tumekuwa mapumbavu aiseee! Eti nimeacha matumizi ya sukari na soda! Hivi kweli tunajua sababu za kisukari? Prof. Jamani anawadanganya!
Hakuna mahala Janabi alisema kula vitu vya sukari ulivyotaja kunasababisha Kisukari. Alichosema yeye ni kwamba vyakula vya sukari husababisha uzito mkubwa kama ilivyo kwa vyakula vya wanga. Uzito uliopitiliza sasa ndio unakuweka kwenye hatari ya magonjwa yasiyoambukiza kikiwemo Kisukari.
 
Hakuna mahala Janabi alisema kula vitu vya sukari ulivyotaja kunasababisha Kisukari. Alichosema yeye ni kwamba vyakula vya sukari husababisha uzito mkubwa kama ilivyo kwa vyakula vya wanga. Uzito uliopitiliza sasa ndio unakuweka kwenye hatari ya magonjwa yasiyoambukiza kikiwemo Kisukari.
Aache hizo! Mbona yeye tangu ameacha kutumia hivyo vyakula amechakaa mwili!
 
We ni rahisi sana kupata magonjwa tajwa maana unakereka kirahisi sana lakini mtoa mada nadhani yuko salama maana yeye ka😂 tu vile umepaniki
Yani nikerwe na mtu ambaye simjui wala hanijui, Yani ingekuwa ni kirahisi hivyo Lucas mwashambwa angeshakera watu wengi sana na kuwapatia magonjwa.

Huyu Yuda legacy ni sawa na Lucas mwashambwa wote wana matatizo ya akili.
 
Back
Top Bottom