Na aie tumekuwa vigeu geu kama nyie 🤣🤣🤣🤣Nyie nanyi hamueleweki. Mnasema siku hizi hamuoi sababu tunajirahisisha kuhamia majumbani mwenu kabla ya ndoa lakini huku mnataka kuhalalisha kitu ambacho mmekuwa mnakipinga wenyewe. Tuwaeleweje???
Na aie tumekuwa vigeu geu kama nyie 🤣🤣🤣🤣Nyie nanyi hamueleweki. Mnasema siku hizi hamuoi sababu tunajirahisisha kuhamia majumbani mwenu kabla ya ndoa lakini huku mnataka kuhalalisha kitu ambacho mmekuwa mnakipinga wenyewe. Tuwaeleweje???
SawaUkioa naomba nije kwa sherehe Kila siku ww mada zako tuoe Kwa miaka ngapi🙌🏾
Usidanganyike😂What a guy☺️
Huu Uzi utasaidia generation zNimeona na miaka 26 mtoto nikapata nikiwa na miaka 29.
LazimaEh! Kumbe kuna kuoa tena?
Ongera
Itafika mda utaoa even there a lot of challengesBasi huu uzi haunihusu.
Kataa ndoa, ndoa ni UTAPELI
fia 😹😹Usidanganyike😂
Wewe umeoa?Itafika mda utaoa even there a lot of challenges
Kwa hiyo mkuu wewe ndiye huyo wa mwisho na maua yako,hahah mpaka mbwa amekutangulia.Kila nikifikiria kuoa 😁