Ulioa ukiwa na miaka Mingapi?

Ulioa ukiwa na miaka Mingapi?

Nyie nanyi hamueleweki. Mnasema siku hizi hamuoi sababu tunajirahisisha kuhamia majumbani mwenu kabla ya ndoa lakini huku mnataka kuhalalisha kitu ambacho mmekuwa mnakipinga wenyewe. Tuwaeleweje???
Na aie tumekuwa vigeu geu kama nyie 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom