Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 7,593
- 23,195
Nilikuwa nimepanga kuoa nikiwa na 40 yrs ila kuna mjanja akanikamata mapema kwenye 30 yrs,ila kanikosesha bata zangu nilizokuwa nimezipangilia ila nina imani kufikia 40 yrs lazima nile bata za kutosha
Ndoto yangu kwa hapa duniani ilikuwa ni kuishi kama wanyama wa porini
Ndoto yangu kwa hapa duniani ilikuwa ni kuishi kama wanyama wa porini