Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Ni bora kwa sasa kwa kila anaehitaji kuingia hapo kwenye chumba cha mgonjwa NI LAZIMA AWE NA KITAMBULISHO MAALUM NA DHARURA ILIYOMFANYA ATAKE KUMUONA MGONJWA ,ICU si ruhusa mgonjwa kutembelewa ,yaani inakuwa NO ENTRY ,Pia mtembeleaji huyo akubali kusachiwa ,asiruhusiwe kuingia na chochote kile ,silaha simu au pochi vyote akabidhi sehemu maalumu iliyo na dhamana kwa kukaguliwa vilivyo.
Na jambo hilo liwe kwa yeyote yule bila ya kujali Cheo Chake.
Na jambo hilo liwe kwa yeyote yule bila ya kujali Cheo Chake.