Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

Kwani Ulimboka bado mzima?

Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

Namtakia maisha mema na mgomo mwema.

insanity is you problem! Doctors are in strike you will die with it.
 
Waliomfanyia hivyo wana sababu nzuri sana.
Kuna mwanamke wa miaka 23 likuwa ajifunguwe kwa opereshen, dokta aliyekuwepo akasema mpelekeni bungeni akapasuliwe, hapa atazaa mwenyewe tu, matokeo yeye na mtoto wamepoteza maisha. Inasikitisha sana.

Does it have anything to do with Dr. Ulimboka personally? Ndio maana narudia tena kutunishiana misuli hakutasaidia kutatua hili tatizo...kufanya hayo aliyofanyiwa Ulimboka sio dawa ya tatizo...bila kurudi mezani tena bila ego na kujifanya kujua sana wanaoumia ni sisi watanzania tusioweza kwenda India. Kuna sehemu inafika lazima tutawaliwe na busara. Kosa lilifanyika kuruhusu hili tatizo liwe kubwa kwa kuendekeza uongo na kutojari makubaliano. Tukumbuke hilo sio suala la mdogo kumtii mkubwa kama jeshini...ni suala la win-win position which can only be attained if some we are ready to compromise our egoes
 
Sidhani kama kuna mtu anasupport mgomo,lakini jiulize je hiyo ndio njia sahihi?Baada ya kumjeruhi mgomo umeisha?Mazingira bora ya hospitali zetu zimewekwa?Dr.Ulimboka ndio Rais wa Tanzania?Je ni haki kwa wabunge kuongezewa posho na mishahara ilhali hopitali zetu zipo kwenye hali mbaya?Tufikirie mara mbili kabla haujazungumza unless you are part and parcel of what happened to Dr.Ulimboka? Kwanini Spika anakataa kuzungungumzia ripoti ya Mheshimiwa Margaret Sitta?Kuna nini kwenye hiyo ripoti ambayo serikali yetu sikivu inataka kutuficha?Tuone kuna nini then tuwalaumu madaktari other wise hatuna cha maana tunachoweza kufanya mpaka pale uongozi wetu utakapobadilishwa mwaka 2015.
 
Uko sahihi Zomba, ila umesahau jambo moja. Ungeandika "Kwani Ulimboka bado mzima?

Huyu itakuwa ni robot. Tumemvunja Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, tumemvuta na gari (ina maana michubuko mwili mzima) ili apate maumivu mwili mzima, tukamtupa. Yaani kumbe bado yuko hai?."

Hii ingesaidia kutimiza azma yako ya kuonyesha unyama uliojaaliwa.

.Hapo ndiyo utaelewa kuwa waliofanya hiyo kazi walikuwa na lengo la kutaka asife ili tu wapakaze
 
Kwani Ulimboka bado mzima?

Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

Namtakia maisha mema na mgomo mwema.
You might be one of these culprits who attempted to kill him!
 
Ni bora kwa sasa kwa kila anaehitaji kuingia hapo kwenye chumba cha mgonjwa NI LAZIMA AWE NA KITAMBULISHO MAALUM NA DHARURA ILIYOMFANYA ATAKE KUMUONA MGONJWA,ICU si ruhusa mgonjwa kutembelewa ,yaani inakuwa NO ENTRY ,Pia mtembeleaji huyo akubali kusachiwa ,asiruhusiwe kuingia na chochote kile ,silaha simu au pochi vyote akabidhi sehemu maalumu iliyo na dhamana kwa kukaguliwa vilivyo.

Na jambo hilo liwe kwa yeyote yule bila ya kujali Cheo Chake.

jamani kama nina mgonjwa ICU alafu niulizwe kwanini nataka kumuona si kuoneana huko
 
You might be one of these culprits who attempted to kill him!

I am not, who ever did it did it with a purpose, why I asked if he is still alive? I was wondering are all our sick getting the same treatment to save their lives? or he is a special case?
 
Hivi nyinyi watu wa CHADEMA mnaomwenea huruma Dk. Ulimboka mna akili au ni matahira, hivi mnapima impact ya huu mgomo kwa walalahoi,mgomo kama utaendelea unaweza kuathiri maelfu ya watu, ni heri afe mtu mmoja ili tuokoe mausha ya wengi.Huyu Dk. nadhani anatumiwa na CHADEMA ili kutimiza ndoto zao za kutaka nchi isitawalike. Nalaani mgomo huu na wote wanaousaport.Tuache ushabiki kama una jamaa yako aliyeathirika na mgomo wa madaktari kwa sababu hizi za kisiasa ungetamani Dk. Ulimwoka afilie mbali ili tuokoe maisha ya ndugu zetu walio wengi.Mungu wateketeze wote wanaoshabikia huu mgomo kwa maslahi yao ya kisiasa.


Je, kwa kumtesa au kumuua dr. Ulimboka nchi itatawalika? Je, ninyi magamba mnaotawala mmefanya nini kuboresha huduma za afya ktk hospitali zetu?

Tunafahamu Dr. Ulimboka na madaktari wenzake hawadai mshahara bora pekee; wanadai pia huduma za afya kuboreshwa; mfano kuhakikisha vifaa kama CT scan vinapatikana ktk hospitali za rufaa na mikoa ili kuokoa maisha ya watanzania. Sasa kati yenu magamba na Dr. ulimboka nani anatetea maisha ya watanzania?

Madaktari wamegoma kwa sababu ya udhaifu wa serikali ya chama dhaifu
 
Re think, who are the majority? Ulimboka or the sick at the hospitals?

Ulimboka(dr.) was leading a fight for good health services for all people including those who are in hospitals. It is you has to re-think
 
Ulimboka(dr.) was leading a fight for good health services for all people including those who are in hospitals. It is you has to re-think

What we know is he was leading health sector to stand still (strike), when doctors strike, is that fighting for good health? what a way of thinking.

Within 7 Years of Kikwete Tanzanians average life span has increased for more than 5 years, when Mwinyi took over from Nyerere Tanzanians average life span was 48 Years, between Mwinyi and Mkapa (a total of 20 years) they oncreased 2 years of our life span, Kikwete increased our life span by 5 good years within just 7 years. If that is not a tremendous improvement in health sector, what do you think it is? Think!
 
Back
Top Bottom