Ulinzi wa Rais Samia Marekani upoje?

muda mwngine wanatafuta drama ili apate headlines katika habari na source moja wapo yakutambulika zaidi

kama hiyo ya mange hahaha inawezekana was plan drama kabisa ili mama apate headlines kweny social media kwan huyu mtu alikuwa anaisema sana serekali ya awamu ya tano huku samia akiwa makamu kwahy ni adui wa hii nchi kwani alikuwa anatoa hadi siri za ndani sn kwahiyo kama angekua anatumiwa na mabeberu ku source data za siri kweny taifa hili ni usaliti kwa taifa lako
kwahy ni plan drama ndio maana hawaja mzuia.

tunaweza kua tunao pumbazwa ni ss wananchi tuna mjadili tu kweny social media tu kumbe wenyw wanajua kila kitu tufanyeni kazi tuachane na kuigiza kwan taifa bado sn hili kufikia hko wenzetu walipo no shortcut tukubali kuumia kwa mazuri ya baade na sio faida ya watu fulani tu
 
Katika masuala ya ulinzi yapo mambo ya msingi sana huya yanaangaliwa actions za mhusika kitaifa na kimataifa,mf biden akija tz,au east africa panajulikana kabisa hapa ni sebule ya magaidi,so ulinzi lazima uwe mkali,so ulinzi mkali uendana na background history ya eneo husika,hivyo ulinzi wa viongozi wetu kwa nchi zile huwa sio mkali sana kwa sababu hakuna presha kubwa ya kiupinzani kimataifa
 
Kwanza nichukue fursa hii kumpongeza Mh. Raisi Mama yetu Samia Suluhu Hassani kufika salama huko marekani.

Pili, nikirudi kwenye kichwa cha habari cha mada hii, jana nilipokuwa mahali nikipata zangu kahawa nilibahatika kuona katika mitandao clip ikitembea ikimuonesha Mh. Rais akilakiwa na kikundi kidogo cha wanawake wasio na maadaili (kuanzia mionekano na mavazi yao) pindi alipokanyaga ardhi ya Marekani.

Nilipokuwa nikiitazama kwa umakini ili Clip nilishtushwa sana kama sio kunung’unika kwa kitendo alichofanya mmoja wa walinzi wa Mama ambaye kwa makusudi kabisa huku akicheka cheka huku akisahau miiko yake ya kazi ambayo ni ULINZI na sio kwenda kufanya majukumu ya KI-CELEBRITY ambapo kwa macho yangu nilimuona akipokea simu ya binti mmoja ambaye hata kwa mavazi hakuwa kavalia vyema na mbaya zaidi dada huyu alikuwa akimtukana Hayati John Pombe Magufuli pindi mama akihudumu kama makamo wake wa Rais katika awamu ya tano.

Na binti yule akaruhusiwa kumsogelea na kupiga picha na Mh. Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan, tukirudi kwenye mada wote tunafahamu kilichotaka kumpata Rais wa Marekani Hayati John Ford tarehe 05/09/1975 katika jiji la Sacramento liliopo California ambapo walinzi wake walipuuzia kama hawa wa jana na kumrusuhu binti mmoja kumsogelea Rais kwa lengo la kumsalimia na mwisho wake aliishia kutoa bastola ili kumtandika risasi Rais John Ford, ikawa bahati yake walinzi wake wakawa wamemuwahi yule binti na kumuondosha haraka Mh. Rais katika maeneo yale.

The same scenario of what happened yesterday “Kuishi kwa mazoea” Kiuhalisia hakupaswa kufanya vile najiuliza tu ingekuwaje kama ile simu imefungwa viambata vya ulipuzi likatokea la kutokea ni nani angebeba lawana? Embu walinzi wajitahidi kuwa makini na kuwa flexible waache kuishi kwa mazoea, kwani umdhaniae siye kumbe ndiye.

Mwisho, Wakati mwingine watambue majukumu yao ya kazi na wafahamu wanamlinda nani katika taifa hili, protokali za kazi ziheshimiwe.
 
Bongo kila mtu ni mwanaintelejensia.

Ngoja nikuambie kitu ambacho huenda hukifahamu.

Walinzi wa Marais wa nchi za Kiafrika wakienda US. pamoja na Marais hugeuka kuwa Wasaidizi wa Marais.

Utopolo wenu wa kutembea na mibunduki na kuvaa miwani muliyonunua Korea ulioasisiwa na Jiwe unataka kuupeleka kwa watu wenye akili huko US?
 
Kwanza nichukue fursa hii kumpongeza Mh. Raisi Mama yetu Samia Suluhu Hassani kufika salama huko marekani.

Pili, nikirudi kwenye kichwa cha habari cha mada hii, jana nilipokuwa mahali nikipata zangu kahawa nilibahatika kuona katika mitandao clip ikitembea ikimuonesha Mh. Rais akilakiwa na kikundi kidogo cha wanawake wasio na maadaili (kuanzia mionekano na mavazi yao) pindi alipokanyaga ardhi ya Marekani...

Nikadhani una pia updates za vasco katinga na Dege lipi huko this time
 
Kwanza nichukue fursa hii kumpongeza Mh. Raisi Mama yetu Samia Suluhu Hassani kufika salama huko marekani.

Pili, nikirudi kwenye kichwa cha habari cha mada hii, jana nilipokuwa mahali nikipata zangu kahawa nilibahatika kuona katika mitandao clip ikitembea ikimuonesha Mh. Rais akilakiwa na kikundi kidogo cha wanawake wasio na maadaili (kuanzia mionekano na mavazi yao) pindi alipokanyaga ardhi ya Marekani.
Ni kupoteza hela kwa gharama kubwa kulinda hatari isiyo kuwepo. Zaidi ya wananchi wa Tanzania wanaokandamizwa na utawala uliopo, ambao hata uwezo wa kupanda ndege hawana, nje Samia hana adui. Anacheza mziki kwa midundo yao, hatari itoke wapi?
 
Ni kupoteza hela kwa gharama kubwa kulinda hatari isiyo kuwepo. Zaidi ya wananchi wa Tanzania wanaokandamizwa na utawala uliopo, ambao hata uwezo wa kupanda ndege hawana, nje Samia hana adui. Anacheza mziki kwa midundo yao, hatari itoke wapi?
Huyu kaondoka na mpishi na mpiga brashi viatu..
 
Kwanza nichukue fursa hii kumpongeza Mh. Raisi Mama yetu Samia Suluhu Hassani kufika salama huko marekani.

Pili, nikirudi kwenye kichwa cha habari cha mada hii, jana nilipokuwa mahali nikipata zangu kahawa nilibahatika kuona katika mitandao clip ikitembea ikimuonesha Mh. Rais akilakiwa na kikundi kidogo cha wanawake wasio na maadaili (kuanzia mionekano na mavazi yao) pindi alipokanyaga ardhi ya Marekani...
Njoo huku kwetu Kinondoni uone mavazi ya dada zetu halafu ufananishe na hayo uliyoyaona, utazimia, nakushauri tu mambo ya marekani yaache hukohuko hayakuhusu, mambo ya maadili ni ya nyumbani kwako na watoto wako, basi.

Ulinzi, peleka cv zako ubalozi wa marekani wakuunganishe na FBI ukawe bosi wao.
 
mbona jamaa yetu yule alipita hivi alikuwa anakula mahindi ya kuchoma hovyo hovyo barabarani na kupewa Majogoo na wazee akiabudiwa na kuenziwa
Nje ya mipaka ya miji, Magufuli hakuwa na maadui. Aliteka akili zao na kujibainisha kuwa ni mtetezi.
 
Nawasalimu katika jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!

Wapendwa tumekua tukiona kwa macho yetu,kwamba Mh Rais Samia ana walinzi wenye mabunduki mazito mazito pindi anapokua kwenye tukio au sehemu yoyote hapa Nyumbani Tanzania...

Nimeshangaa sana, yaani walinzi wetu wameshindwa kabisa kuwa makini tena katika nchi hii ya mabeberu. Wamesahau kabisa kuwa tuko katika vita ya kiuchumi. Hawa watu wanataka rasilimali zetu kwa nguvu zote wao wanamuacha rais vile je, ni hatari sana kwa usalama wa taifa letu pendwa.
 
Back
Top Bottom