Ulinzi wa Rais Samia Marekani upoje?

Wale wanaitwa special weapon and tactics unit (Combat bakabaka) ni kikosi maalamu ndani ya kikosi cha ulinzi wa raisi kwa ajili ya kuboresha ulizi wa rais.

Na kwa ufupi ni kwamba kila nchi zina utaratibu wake wa ulinzi, hata kwa mama pia alipotua US kuna special security anakuwa amepangiwa na UN tena wale ndio wanaume kwelikweli achana na hawa wavulana wetu.

Ila nikirudi kwenye ile clip ya jana nimeumia mno kumuona mmoja wa walinzi wa Rais anaacha jukumu lake la ulinzi na kushika simu ya Mange kimambi (malaya wa kisiasa) na kuruhusu kupiga nae picha.

Tukifuata protokali za ulinzi hakupaswa kufanya vile kabisa, amevunja miiko ya ulinzi.
Amini kama ninavyoamini mimi BADO TUNATAWALIWA
 
Acha roho mbaya. Kwani mlinzi wa rais sio binadamu hadi ashindwe kuchukua simu na kumpiga Mange na rais? Acheni kuwatukuza watu kama vile hawajazaliwa. Huu utukufu ni mentality tu za kidunia lakini walinzi wa rais ni watu kama wajomba zako tu huko kijijini.
Kuna watu wanapenda kuabudu binadamu wenzao..asee sio mimi
 
Back
Top Bottom