Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,652
Mbu anachokisema Babu ODM hapo ni kuwa mwenye cheating ni hulka ya binadamu (tena kuna sehemu nimesoma kuwa kwa mwanamke ni kubwa zaidi ya kwa mwanaume!!). Wenye uwezo wa kujizuia wana utashi, aibu na staha kwa wenzi na jamii na hawa si wengi sana. lakini wanaocheat si kuwa hawana mapenzi ya kweli bali ni wale walioshindwa kuzizuia tamaa zao na hawana aibu kwa wenzi wao na wanajifanya manunda kwa kuwaumiza wenzi wao hisia!
(Babu desa ulilonipa linaishia, usipoingilia kati hapa nakugeuka narudi kwa Mbuuuu)
Mjukuu unaanza kupotoka....Hebu omba radhi mapema na ukapumzike kidogo kubla hujazua kasheshe ambalo hutaweza kulimudu!!
Huwezi kusema cheaters hawana aibu ......Ni matusi makubwa...Kwani wanafanya hiyo cheating mnadani, sokoni au kwenye uwanja Fiesta???
Pia umesema kuwa hawajali kuwaumiza wenzi wao...Hivi kuna cheaters wapuuzi kiasi hicho kwamba wanaamua kuwaumiza wenzao kwa kuwaita waje kushuhudia wanavyocheat?? Wanaumizaje wakati wanafanya mambo yao kwa usiri wa hali ya juu kama au zaidi ya CIA au MI6????