Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
Penzi la Wizi: Afrodenzi anajifanya anampenda Rejao kwa sababu Rejao ana mafweza kaba Rostam...... wizi mtupu
Penzi la Huruma: Afrodenzi anamkubali Rejao kwakuwa Rejao kamtongoza yapata miaka mitano sasa......
King'ang'anizi: Rejao anampenda na kumng;ang;ania Afrodenzi kwa kuwa alipoonjeshwa mara ya kwanza, hajawahi pata mtaalam kitandani kama huyu, na tena mle ndani kuna joto la kutisha..... anan'angania mpaka kieleweke....
Kutamani: Afrodenzi anamzimikia Rejao kwakuwa Rejao ni handsome ana mwili ulojengeka kimazoezi, anapiga pamba za kufa mtu na vitu kama
hivyo
Penzi la kweli halina hiyo makitu.......... Ndo pale unamkuta mtu kaoa jimama minyama uzembe watu wakibaki kujiuliza "kampendea nini yule shankupe?" na wala wapenzi hawa wasisikie kisemwacho.
Au binti wa kitajiri anaanguka kwa sakara ODM, haambiwi wala hasikii kitu watu wakibaki kubishana "ODM lazima atakuwa mchawi"
Sijui niendelee?
Kitu nilichokisoma humu ndani ni kuwa penzi la kweli halipotei, haliibiwi, haligawanyiki hata siku moja. Likiibiwa, potea, gawanywa halikuwa penzi la kweli!. Wanaume wenye wenzi wao; wanawake wenye wenzi wao wanaowapenda kwa dhati - wanapocheat nje huwa si kuwa penzi lao la kweli limekufa la hasha bali ni matamanio tu but penzi la kweli bado liko kwa wenzi wao... ni kuwa wamechoka kula nyama tu kila siku sasa wanatafuta ladha nyingine lakini haimaanishi wamechukia nyama kimoja.
kwa wale ambao wanatekwa kabisa na nyumba ndogo/ serengeti na kuwaacha wapenzi wao basi ni kwamba kwao hawakuwa wamepata penzi la kweli. So penzi la kweli linalead the way
Reference: Babu ODM.
(Babu uniambie kama nimefaulu somo lako tafadhali; na Grade niijuie)
...dossshhhhh!
yaani baada ya kumsoma tena mzee ODM na kuirudia post ya mwanajamiione ndio nimepata mwanga sasa
mnatafsiri nini hapa....daaaahhhh....
ama kweli, mapenzi ni zaidi ninavyoyatafsiri aisee...pheewwwww!
kwa mtaji huu, afrodenzi naomba kujitoa kwenye mdahalo huu bana...
mwenzenu bado old fashioned kikwelikweli, i mean nikishapenda sitaki kusikia
hizo excuses za 'mafiga matatu'...iwe kwa mwanaume au mwanamke.