Ulinisaliti Juliet

Ulinisaliti Juliet

SEHEMU YA 17

Niligonga kwa sekunde kadhaa, mlango ukafunguliwa, macho yangu yakagongana na macho ya Christopher, alishtuka sana na kutaka kufunga mlango ila nikauzuia na kumsukumia ndani.

Macho yangu yakatua kwa Juliet, alikuwa mtupu kitandani, aliponiona, alishtuka mno, akajifunika shuka. Hata kabla Christopher hajafanya kitu chochote, nikatoa bastola na kumnyooshea.

“Naomba unisamehe Steven..naomba unisamehe rafiki yangu,” aliniambia Christopher huku akipiga magoti.
“Nisamehe mume wangu,” aliniambia Juliet.

Nikabaki kimya, machozi yalikuwa yakinitoka, hasira zikanipanda, nikauma meno kwa hasira. Nikajisikia kuuaua tu wakati huo. Nikachukua simu yangu na kuwapiga picha mfululizo pale kitandani.

“Nitawasamehe? Naanzaje kuwasamehe? Yaani wewe Chriss ni rafiki yangu wa damu, ulikuwa bestman wangu kwenye harusi yangu, halafu nikusamehe! Nikusamehe kutembea na mke wangu?” niliuliza huku nikionekana kuwa na hasira mno.

“Nisamehe mume wangu....naomba unisamehe...” aliniambia mke wangu Juliet huku akitembea kwa magoti kunifuata, aliponikaribia nikampiga teke moja kali la mbavuni, akaangukia pembeni na kuanza kulia kama mtoto mdogo.

“Wewe malaya hebu nyamaza! Nikisikia unalia, nitakachoacha humu ndani ni ubongo wako kumwagika sakafuni,” nilimwambia Juliet kwa hasira, na kwa jinsi nilivyoonekana muda huo, alijua kabisa nilimaanisha kile nilichokisema.
Christopher hakuzungumza kitu, alikuwa kimya huku akiwa amepiga magoti.

Alinijua ninapokuwa na hasira nakuwaje, ninaweza kufanya jambo lolote lile bila kujali chochote. Kwa jinsi nilivyomuona, alijua kabisa muda wowote ule ningebonyeza kitufe cha bastola na kuwamaliza wote wawili.

“Christopher ni lazima uigize filamu ya ngono na mimi, Juliet utakuwa mpiga picha wetu, tukimaliza, picha nazipeleka magazetini na mitandaoni,” niliwaambia na kufunga mlango, ufunguo nikauweka mfukoni, nikatoa simu yangu na kuwasha kamera.
“Mkikataa, nawaua wote,” niliwaambia huku nikionekana kuwa na hasira.

Huo ndiyo uamuzi ambao niliamua kuuchukua, Christopher aliona raha kutembea na mke wangu, na mimi nilihitaji kumuonyeshea ni madhara gani yanatokea unapokamatwa na huyo mke wa mtu.

You mean ametembea na FUTA
 
SEHEMU YA 18

Nilikuwa na hasira, wakati huo nilikuwa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile. Christopher alijitahidi kuniomba msamaha lakini sikujali, nikampa kamera Juliet kwa ajili ya kurekodi kila kitu kilichokuwa kikiendelea baina yangu na Christopher.

Siwashauri watu kufanya kama nilichokifanya usiku wa siku hiyo, hapa ninajaribu kuwahadithia maisha yangu ya nyuma.

Mchezo niliotaka kuufanya siku hiyo ulikuwa mbaya ambao nitakuwa nikiukumbuka katika maisha yangu yote.

Nilitaka Christopher ajute tu. Nilikuwa na uwezo mkubwa wa kuwaua lakini hilo halikuwa lengo langu.

Kwa hapa ngoja niwaambieni kitu fulani. Mtu fulani anapokufanyia kosa kubwa, kumuua si suluhisho, kama aliuumiza moyo wako, basi wewe ufanye moyo wake kuwa na majonzi milele.

Nilichokitaka kukifanya ni kuziharibu akili zao tu, niwafanye wajute katika maisha yao yote, yaani hata siku Christopher akikaa chini na kuanza kukumbuka basi kichwa chake kiwe kinamuuma, asijisikie furaha maisha yake yote.

Kama ningewaua, ilimaanisha kwamba ingekuwa mwisho wa kila kitu, kama nilivyokuwa nimeumia, kama nilivyokuwa sina raha, yote hayo nilitaka hata nao wayapate, wajisikie kama nilivyokuwa nikijisikia kipindi hicho. “Nisamehe sana Steven...” alisema huku akilia kama mtoto.

Kwa wakati huo moyo wangu ulikuwa umebadilika kabisa, sikuwa Steven yule niliyekuwa na huruma, nilikuwa kama mwanajeshi wa Jeshi la NAZI huku nikiongozwa na kiongozi mwenye roho mbaya, Adolf Hitler.

“Kipenzi, njoo uchukue hii simu, huu ni muda wa show time,” nilimwambia Juliet ambaye akaja na kuchukua simu yangu.

“Hakikisha haunichukui usoni, ukinichukua usoni hata kama kwa bahati mbaya, nakuua. Hakikisha unarekodi kama mpiga picha mkuu, yaani uchukue sura yake vizuri, ninapomfanyia kazi na mambo mengine, umesikia?” nilimuuliza Juliet.
“Nim..es..iki..a,” alisema Juliet huku akitetemeka.
 
SEHEMU YA 19

Nilichokifanya ni kumfuata Christopher. Ilihitaji uvumilivu wa hali ya juu, kumuinamisha mwanaume mwenzako halikuwa jambo dogo lakini sikuwa na jinsi, nilitaka ahuzunike maisha yake yote, ajutie kile kitendo cha kutembea na mke wangu.

“Unazifahamu koni?” nilimuuliza.
“Nd..iy..o..”
“Tuanze na hiyo kwanza,” nilimwambia.
Mambo mengine ni uchafu kuelezea lakini ndivyo ilivyokuwa.

Sikuwa na stimu ya kufanya ngono na ndiyo maana nikamwambia tu akanunue koni. Ilichukua dakika tano nzima huku kamera ikiendelea kuchukua na ndipo nilipoanza kumlawiti.

Lilikuwa ni tendo ambalo nitalikumbuka maisha yangu yote, sikutarajia kama kuna siku ningekuja kumlawiti mwanaume mwenzangu, nilibadilika mno, nilikuwa na roho ya kikatili sana.

Nilimlawiti kwa muda wa dakika thelathini na ndipo nikaridhika.

Muda wote Christopher alikuwa akilia, hakuamini kama ningeweza kufanya kitu kama kile Nikachukua simu yangu kutoka kwa mke wangu na kuondoka zangu huku nikiwaambia kwamba wangeweza kuendelea.

Breki ya kwanza ilikuwa nyumbani. Nilitulia na kisha kuichukua video ile na kuiweka kwenye kompyuta yangu na kuipeleka kwenye email yangu.

Siku hiyo nilibaki nyumbani nikimsubiri mke wangu, mpaka inaingia saa tatu usiku, hakuwa amerudi nyumbani hapo. Sikutaka kujali sana, nikalala zangu mpaka asubuhi nilipoelekea ofisini mwangu.

Siku hiyo nilionekana tofauti sana, nilikuwa mwenye furaha kuliko siku nyingine mpaka wafanyakazi wangu wakawa wananishangaa.
“Umeshinda bingo nini?” aliniuliza Upendo.

“Hapana.”
“Kuna nini sasa?”
“Huwezi kuamini.”
“Kuna nini? Mbona unaniweka roho juu?”
“Mke wangu kasafiri.”
“Kaenda wapi?”
“Sijui.

Lakini nafikiri kwao.”
“Sasa ndiyo ufurahi?”
“Yaaap! Kwani wewe haujafurahi?”
“Nifurahi kwa sababu gani?”
“Kwamba tunakwenda kulala wote nyumbani usiku wa leo, au hautaki?”

Upendo akashtuka, hiyo ndiyo ilikuwa ndoto yake ya kila siku, alikuwa akitaka kuniona ninapokuwa chumbani nafanana vipi. Siku hiyo nikamchukua na kuelekea naye nyumbani.
 
SEHEMU YA 19

Huyu Upendo alikuwa balaa, aliumbika sana na siku hiyo sikuwa na cha kufanya zaidi ya kulala naye mpaka asubuhi huku nikikata kiu yake ipasavyo.

“Mmmh! Kwa staili hii, kama wifi atakuwa anakusaliti, nitamuona mpuuzi, wanaume kama nyie adimu sana,” aliniambia Upendo.

Hakuwa akijua kile kilichokuwa kikiendelea maishani mwangu, pamoja na utaalamu wangu wote huo lakini mke wangu alikuwa amenisaliti. Nilizungumza sana na Upendo usiku huo.

Kesho asubuhi, akajiandaa na kwenda kwake na kuahidi kwamba angeweza kuwahi ofisini.

Kuanzia siku hiyo, nikawa nikitoka na Upendo, mke wangu hakuwepo nyumbani hivyo sikuwa na wasiwasi hata kidogo.

Mfanyakazi wa ndani ndiye aliyekuwa akikaa na mtoto huku akimpeleka shuleni kila siku alizokuwa akihitajika kwenda huko.

Baada ya wiki moja kupita, nikapigiwa simu na wakwe zangu na kuniambia kwamba nilitakiwa kwenda kuwaona Morogoro.

Sikutaka kuuchuna, kwa kuwa bado Juliet alikuwa mke wangu na sikuwa nimempa talaka, nikaelekea huko.
Nilichukua masaa kadhaa mpaka kufika Mvomero ambapo nikaelekea mpaka nyumbani kwa kina Juliet.

Nahisi siku hiyo walikuwa wamejiandaa, ndugu wengi kama wajomba, shangazi, na ndugu wengine walikuwa wamekusanyika mahali hapo.

Dizaini walikuwa wamejazwa uongo na Juliet, mtu ambaye kila nilipokuwa nikimwangalia mahali hapo, alikuwa akiangalia chini kwa aibu.
“Wakizingua, nawalipua, video si ninayo hapa,” nilijisemea huku nikiitoa simu yangu kabisa.

“Umemfanya nini mtoto wetu? Mbona umekuwa ukimnyanyasa kila siku na kumliza sana?” alisema mama yake ambaye kila siku alikuwa mwanamke mtata sana, bi Lilian.

“Umemfanya nini mwenzako? Yaani unasahau toka siku ya kwanza ulipokuja kwa heshima zote mahali hapa na kuomba umuoe, leo hii umediriki kumtesa mtoto wetu,” baba yake aliniambia, kama alivyokuwa mama yake, hata baba yake alikuwa mkali.
*
*
*
*
Je, nini kitaendelea?
 
Hahahhah
We mzee toka lini na story ujue unanishangaza
Pia kichwa cha habari kilinivutia,maana kuna mwanamke nilo mpenda saana dumped me into another man..

Ndo maana nkavutiwa kufungua uzi, but nkajikuta nmesoma mwanzo mwsho
 
Karibu sana jukwaani kwetu uku ukinogewa hautatamani utoke
Pia kichwa cha habari kilinivutia,maana kuna mwanamke nilo mpenda saana dumped me into another man..

Ndo maana nkavutiwa kufungua uzi, but nkajikuta nmesoma mwanzo mwsho
 
SEHEMU YA 19

Huyu Upendo alikuwa balaa, aliumbika sana na siku hiyo sikuwa na cha kufanya zaidi ya kulala naye mpaka asubuhi huku nikikata kiu yake ipasavyo.

“Mmmh! Kwa staili hii, kama wifi atakuwa anakusaliti, nitamuona mpuuzi, wanaume kama nyie adimu sana,” aliniambia Upendo.

Hakuwa akijua kile kilichokuwa kikiendelea maishani mwangu, pamoja na utaalamu wangu wote huo lakini mke wangu alikuwa amenisaliti. Nilizungumza sana na Upendo usiku huo.

Kesho asubuhi, akajiandaa na kwenda kwake na kuahidi kwamba angeweza kuwahi ofisini.

Kuanzia siku hiyo, nikawa nikitoka na Upendo, mke wangu hakuwepo nyumbani hivyo sikuwa na wasiwasi hata kidogo.

Mfanyakazi wa ndani ndiye aliyekuwa akikaa na mtoto huku akimpeleka shuleni kila siku alizokuwa akihitajika kwenda huko.

Baada ya wiki moja kupita, nikapigiwa simu na wakwe zangu na kuniambia kwamba nilitakiwa kwenda kuwaona Morogoro.

Sikutaka kuuchuna, kwa kuwa bado Juliet alikuwa mke wangu na sikuwa nimempa talaka, nikaelekea huko.
Nilichukua masaa kadhaa mpaka kufika Mvomero ambapo nikaelekea mpaka nyumbani kwa kina Juliet.

Nahisi siku hiyo walikuwa wamejiandaa, ndugu wengi kama wajomba, shangazi, na ndugu wengine walikuwa wamekusanyika mahali hapo.

Dizaini walikuwa wamejazwa uongo na Juliet, mtu ambaye kila nilipokuwa nikimwangalia mahali hapo, alikuwa akiangalia chini kwa aibu.
“Wakizingua, nawalipua, video si ninayo hapa,” nilijisemea huku nikiitoa simu yangu kabisa.

“Umemfanya nini mtoto wetu? Mbona umekuwa ukimnyanyasa kila siku na kumliza sana?” alisema mama yake ambaye kila siku alikuwa mwanamke mtata sana, bi Lilian.

“Umemfanya nini mwenzako? Yaani unasahau toka siku ya kwanza ulipokuja kwa heshima zote mahali hapa na kuomba umuoe, leo hii umediriki kumtesa mtoto wetu,” baba yake aliniambia, kama alivyokuwa mama yake, hata baba yake alikuwa mkali.
*
*
*
*
Je, nini kitaendelea?
Ndio nasubiri thatha nijue nn kinaendelea..!
 
Back
Top Bottom