Ulimwengu wa 3D na 4D

Ulimwengu wa 3D na 4D

Kwani ukifungua hilo jicho la tatu inakusadia vipi kulikomboa taifa lako maskini kama Tanzania....duh eti Meiiii Meiiiii(hata husemi ina mana gani)
Fanya vitu kwa logic
Unapoongelea logic unamaanisha hesabu ...
Katika hesabu kuna namba zinaheshimiwa nazo ni saba (7) na arobaini (40) uliwahi kujiuliza ni kwa nini?
Na upande wa pili namba zinazoheshimika ni zile zinazogawanyika kwa sita (6) unajua ni kwa nini?
Ulimwengu una tawala mbili zinazopingana.
Majibu yote yako kichwani mwako lakini kwa sababu hijibidishi kuujua ukweli utaendelea kubisha tu!
 
Unapoongelea logic unamaanisha hesabu ...
Katika hesabu kuna namba zinaheshimiwa nazo ni saba (7) na arobaini (40) uliwahi kujiuliza ni kwa nini?
Na upande wa pili namba zinazoheshimika ni zile zinazogawanyika kwa sita (6) unajua ni kwa nini?
Ulimwengu una tawala mbili zinazopingana.
Majibu yote yako kichwani mwako lakini kwa sababu hijibidishi kuujua ukweli utaendelea kubisha tu!
Mtu kama wewe ambaye maelezo yako yanaonyesha kuna kitu extra unakijua zaidi ya wenzako nilitegemea ungekua na effect flani kwa jamii yako lakini cha kushangaza unameza madude mengi kichwani ambayo kwako na jamii yako ni useless
 
Mtu kama wewe ambaye maelezo yako yanaonyesha kuna kitu extra unakijua zaidi ya wenzako nilitegemea ungekua na effect flani kwa jamii yako lakini cha kushangaza unameza madude mengi kichwani ambayo kwako na jamii yako ni useless
Ya kuambiwa ongeza na ya kwako:
Jiulize ni kwa nini waumini huwa wanashauriwa kufunga? Kufunga kunasaidia nini!
mambo yako wazi; hata computer ikitumika pasipo kufanyiwa virus scanning inaanza kuleta marinjirinji kwenye utendaji kazi wake!
Computer inatenda kwa mfano wa bin adamu!
 
Ya kuambiwa ongeza na ya kwako:
Jiulize ni kwa nini waumini huwa wanashauriwa kufunga? Kufunga kunasaidia nini!
mambo yako wazi; hata computer ikitumika pasipo kufanyiwa virus scanning inaanza kuleta marinjirinji kwenye utendaji kazi wake!
Computer inatenda kwa mfano wa bin adamu!
Duh...aliye muelewa naomba anitafsirie
 
hiyo meyiii meyiii ni nini, asije akawa jini huyo!
 
mkuu hakuna sehemu nimekataa kuwa Dunia hii ina mambo ya ajabu. tena ajabu sana.


hii wanafanya sana watu wa North America.
nimeona watu wa Peru,Na Pande za Bolivia ati wakitaka kutatua matatizo yao wanakunywa mitishamba flani kisha wanaongea na mizimu. kumbe zile zote ni Hallucination tu zinazotokana na ile mitishamba lkn Hakuna ukweli wwt ndani yake.
Ni sawa na mvuta bangi kavuta bangi kali kuliko zile alizo zoea kisha akaanza kuona maisha yake yoote yametengemaa kumbe bado anapiga debe kwenye daladala.
bolivia peru hazipo north amerika
 
kwahyo ibrahimu alivyoota anaambiwa akamchinje mwanae ilikua imaginationa tu kwa kua ni ndoto,na angemchinja kweli angeingia chaka
Nimekwambia hii kitu ya Kuhama ulimwengu Physically HAIPO ndugu.

nakubali bila kipingamizi chochote kuwa Meditation zipo na Mimi ni mmoja wa watu wenye ku practice meditation on daily basis lkn usinambie wewe au yyt ktk wanaadamu anaweza kuishi ulimwengu mwingine .

Kuhamisha fikra kutoka hapa kwenda Mars au chini ya bahari hakumaanishi nguvu yyt ya ziada.
akili ya binaadamu inaweza kusafiri all over the place lkn utakacho kiona huko ni aidha imaginations au kile ambacho umeshakiona aidha kwenye movies au fantasy zako binafsi.

ni sawa na Ndoto.

wewe unaweza kuota chochote na mpk mwili wako uka respond na Ndoto ile mpk ukajikuta unatoka jasho au unapiga kelele kutokana na ile Ndoto lkn ndani ya ndoto ile Hakuna UHASIA WWT zaidi ya imaginations.

Na suala la kuongeza nguvu through meditation hilo pia nalikubali lkn sivyo unavyotafsiri wewe.

ntakupa mfano hapa.

mtu anapokuwa muoga sana wa kuona nge au nyoka through meditation anaweza kuuondoa huo uoga.
au mtu mwenye uoga wa kupanda ndege pia anaweza kuondoa huo uoga.
lkn mtu mwenye uwezo wa kubeba kilo 50 hata afanye meditation siku 100 kamwe hawezi kubeba kilo 100. labda afanye mazoezi pamoja na lishe ya nguvu .

Ingekuwa through meditation unaweza kuona yanayokuja au yaliojificha sidhani km kungekuwa na haja ya serikali Kusomesha watu miaka 20 mpk 30 na kuajiri Wapelelezi wa kesi za mauwaji na kesi mbali mbali. Serikali ingetoa ajira kwa Meditators na Hao wenye macho ya 3D na 4D Tukamaliza matatizo yote ya Hizi kesi.
 
Nimepitia post zenu wote nawashukuruni kwa kusoma ila kuna mambo ya kujiuliza ...
1. Watoto wadogo wana uwezo wa kuona yale ambayo watu wazima hawaoni .. kwa nini?
2. Wanyama / ndege wana uwezo wa kuona vitu ambavyo binadamu hawezi kuona ... kwa nini?
3. Kila ikifika saa saba usiku ni kwa nini mbwa wote huwa wanalia? (sio kubweka)
Mambo ya kiimani ni kama number line ... kuelekea kushoto mwa 0 ni hasi (shetani) .. kuelekea kulia mwa 0 ni chanya (Mungu). Kutokujiuliza maswali ndo sababu kubwa ya kutoweza kutumia akili ulizopewa walau kwa asilimia hata 50.
1. umejuaje au kuna mtoto alikupa ushuhuda kwa alichokiona
2.mnyama gani au ndege yupi na wameona vitu gani ,lete ushahidi wa huyo ndege na alichokiona
3.hata binadamu anavyopumua mchana ni tofauti na usiku kuna wengine utadhani generataor,nadhani hii yatatu ina sababu nyingi za kisayansi na mazingira
 
kuna wale mateja wanaojidunga madawa na kujiona wako south afrika hii ina uhusiano na kulifumbua jicho LA 3
 
Unapoongelea logic unamaanisha hesabu ...
Katika hesabu kuna namba zinaheshimiwa nazo ni saba (7) na arobaini (40) uliwahi kujiuliza ni kwa nini?
Na upande wa pili namba zinazoheshimika ni zile zinazogawanyika kwa sita (6) unajua ni kwa nini?
Ulimwengu una tawala mbili zinazopingana.
Majibu yote yako kichwani mwako lakini kwa sababu hijibidishi kuujua ukweli utaendelea kubisha tu!
Aaaaaa hiii mpya kwangu tuelimishane mkuu tutor namba hzo
 
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mshana Jr amekuwa msaada mkubwa kwangu kwenye kujifunza mambo mengi. Nami sasa naona nianze sasa kuwafundisha wengine ..

ULIMWENGU WA 3D NA 4D

Unajua kila mtu anaishi katika sehemu mbili; katika ulimwengu wa 3D na katika ulimwengu wa 4D. D= Dimension. / mwonekano

Katika ulimwengu wa 3D ndio huu unaoniwezesha sasa naandika haya kwenye kompyuta na nikiangalia ninaona jua magari na tunaenda shule kusoma nk. Ni ulimwengu huu ambao umeuzoea siku zote tuna kula na kunywa. Katika ulimwengu huu tunatumia macho mawili na huku tunashangaa kwanini watu wengine wanafanya miujiza wakati sisi wengine hatuwezi? Au kwanini watu wengine wanatabiri wakati sisi hatuwezi?.
Hawa watu wanaweza wakafanya hivyo kwa sababu wanaweza wakatumia jicho la tatu ambalo mtu akiwa mtoto mdogo au mchanga huwa lipo very active. Na kadri anavyozidi kuwa mkubwa jicho hilo hufumbwa na kufanya asiweze kuona tena vitu vilivyo kwenye 4D.

Watu wanafanya mambo hayo ni kwa sababu wanauwezo wa kufumbua jicho la tatu na kuona vitu vilivyo kwenye 4D. Huo uwezo wa kufumbua hilo jicho ndio unaosababisha watu wanafanya miujiza wanatabiri na wanafanya vitu vingi ambavyo havionekani.

Kwa sababu mtu amefumba jicho hilo kwa mda mrefu huwa inamchukua mda kuwa na uwezo wa kulifumbua jicho hilo. Lakini kwa maelekezo maalumu jicho hilo linaweza likafumbuka. Jicho la tatu linakufanya uone ulimwengu mwingine tunaoishi sisi ambao ni mzuri sana. Tofauti na huu ambao umeharibiwa na watu wachache. Mantiki ya sisi kuwepo ni kuufanya ulimwengu huu ufanane na ulimwengu ulio kwenye 4D. Uoga na kuogopeshwa kumewafanya watu wasiweze kabisa kuingia katika ulimwengu huo.

Nitajaribu kueleze jinsi ya kuingia katika ulimwengu huo hatua kwa hatua na ndipo sasa utaanza kujielewa wewe mtu ni wa namna gani? Je! ni nguvu gani uliyo nayo ambayo umefungwa na watu wachache walioweka kanuni zao ili wewe upumbazike.

*Jicho la tatu ndilo linalotufanya tuone vitu kwenye ulimwengu wa 4D*

Kwa sababu ni mda mrefu sana haujawahi kulitumia jicho hilo ni vyema kuanza kufanya mazoezi jinsi ya kulitumia. Tafuta sehemu iliyotulia. ambayo hakuna kelele kelele. Au ikiwezekana jifungie chumbani na uzime taa. Hatua utakazo fanya ni unakaa vizuri mikono yako weka kwenye magoti.

Fumba macho yako haya mawili. Kaa kimya kwa mda wa dakika kama 6 - 10 hivi. Vuta hewa kwa kutumia pua na itoe kwa kutumia mdomo. Fanya hivyo taratibu taratibu. wakati mwingine ukiwa unaanza utasikia kichwa kinauma. Usihofu hiyo ni kawaida.

Anza kutoa sauti kwa taratibu ukisema MEYIIIIIIIIIIIIII, MEYIIIIIIIIIII. Bada ya mda jicho la tatu litaanza kufunguka taratibu. Kwa sababu mda mrefu hujawahi kulifumbua utaona giza giza vitu vitu usivyo vielewa. Fanya hivyo kwa mda wa wiki mbili tayari utakuwa umezoea utaanza kuwa na uwezo sana.

Utaanza kujua vitu vingi sana na kuanza kujielewa sasa wewe ni nani na una nguvu gani. Nitakueleza siri hiyo wanatumia akina nani na inaleta matokeo gani. Hakuna uchawi hapa mtu asikudanganye. Ni wewe tu jinsi ya kujielewa.

Karibu tuujifunze kwa pamoja (theory na practical)
Hiyo meyiiiiii meyiiiiii maana ake ni nn??!! Na jina la nani hilo?
 
1. umejuaje au kuna mtoto alikupa ushuhuda kwa alichokiona
2.mnyama gani au ndege yupi na wameona vitu gani ,lete ushahidi wa huyo ndege na alichokiona
3.hata binadamu anavyopumua mchana ni tofauti na usiku kuna wengine utadhani generataor,nadhani hii yatatu ina sababu nyingi za kisayansi na mazingira
Hata nikikueleza nimejuaje hutakubali kwa sababu hujafunguliwa ...
Binadamu ana milango 8 ya fahamu ... lakini mitatu ya mwisho (isiyofundishwa) ndo inategemewa sana katika elimu ya vitu visivyoonekana.
Macho yatakuonesha kitu fulani lakini kuna sehemu yanapeleka hizo data.
Masikio yakisikia kitu fulani yanapeleka data sehemu fulani; hivyo hivyo pua, ngozi, ulimi ... pale ambapo data hizo zinafanyiwa processing ndo panapofungua hilo jicho la tatu ambalo linafungua ile milango mitatu isiyofundishwa madarasani.
 
Hiyo meyiiiiii meyiiiiii maana ake ni nn??!! Na jina la nani hilo?
Katika maandiko yote umeona Meyii ndo hujaielewa au yote hukuelewa?
Kama yote umeelewa achana na hiyo meyi fanyia kazi maandiko mengine.
 
JF BHANA......MAYIIIIIII MAYIIIIII.......
 
Katika maandiko yote umeona Meyii ndo hujaielewa au yote hukuelewa?
Kama yote umeelewa achana na hiyo meyi fanyia kazi maandiko mengine.
Kila kitu kimegota na kusimama kwenye hiyo meyiiiiii meyiiiii.kw hiyo hata km utafuata hayo maelekezo mengine lkn ukakosea kwenye hiyo meyiiiii meyiiiii.hutafanya lolote.hivyo meyiii meyiiii ndio kila kitu.
 
Back
Top Bottom