mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 5,098
- 5,700
Duuuh,yeye ndo tutaharibu kabisaaa watadhani Scotland yard wameingia call me j[emoji3] [emoji3]Kwanini usiende na The bold mwenyewe basi?
Hahahaaaaa
Duuuh,yeye ndo tutaharibu kabisaaa watadhani Scotland yard wameingia call me j[emoji3] [emoji3]Kwanini usiende na The bold mwenyewe basi?
Hahahaaaaa
Mwaka 2009 wakati Obama anaapishwa Muhamadu Buhari alikuwa ni kati ya watu wawili walioalikwa kutoka Afrika. Mwaka 2015 Buhari anakuwa rais wa Nigeria. Ulimwengu kiganjani mwa wamarekani. Kwa hisani ya watu wa marekani. Una la ziada mkuu?Unataka kutuambia nini mkuu?
Nimeshaelewa mkuu,thanks.Mwaka 2009 wakati Obama anaapishwa Muhamadu Buhari alikuwa ni kati ya watu wawili walioalikwa kutoka Afrika. Mwaka 2015 Buhari anakuwa rais wa Nigeria. Ulimwengu kiganjani mwa wamarekani. Kwa hisani ya watu wa marekani. Una la ziada mkuu?
Duh kweli mkuu uko outdated.
Alihoji kuhusu PhD ya mkulu kama ambavyo sasa hivi watu wanahoji vyeti vya Bashite.
Napikwa sio mchezo,napewa nondo hadi kichwa nakiona kizito.Inaonekana mkuu bold kakupika ukapikika mpaka una kwiva, kudos kwako mkuu Nifah
Hahahaaaaa ndio hivyo mkuu.