Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!


.......mnhhhh, Kaunga ulikuwa wapi siku zote lakini naweeee?
 
Last edited by a moderator:
sidhani kama ukiletewa ubunifu mpya kuna sababu ya kustuka zaidi ya kufurahia.watu wanajifunza hata kwenye mitandao haya makitu sio lazma awe alifundishwa na mtu. peaneni maubunifu ila angalia msipitilize. lol
 
Asee....
Hivi ukipewa kitu si unaondoka nacho? Asee......
Inafurahisha sana aisee...
[/QUOT


huwa unafurahia maujuzi mapya na kupiga kimya au wataka kujua kayajulia wapi?
 
Simba mzee anaweza kujifunza vipya? Ila akiweza tu, alete tu hayo maujuzi watu tufurahie.
 

Natamani siku moja nikutie machoni.....!
 
Last edited by a moderator:
Njoo Fyatanga niko na Mtambuzi. Utatutia wote ukitaka. Machoni.

Ulikuwa wapi siku zote???

Ha ha ha haaaa haaa, ndo maana nina kila sababu ya kukona....Nielekeze njia nije.

Hata sijui nilikuwa wapi siku zote, Ukinionea Bishanga mwambie namtafuta, nina neno naye
 
Last edited by a moderator:
Hahahah "M" kakana tuhuma zote, afu kasema ana ushahidi fellow M mwenzake anahusika.

Hahahahaah. 'M' mdogo kasema anao ushahidi wa PM unaowaweka nyie hatiani moja kwa moja
Cc Mentor
 
Last edited by a moderator:
uko active kusikiliza mazungumzo ya vijana babu. Mie ntamezea kwa kweli hata kama yakiwa mapya nliyopewa lol
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…