Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!


Now you are talking MJ....
.... look for a book 'straight talk, no chaser - its brilliant

common views to the 'elites'
 

Au zamani alikuwa anatumia huduma hiyo.!?
 


Hahahahahaaa Mbu umenikumbusha mbali sana duh........hivi kumbe nimezeeka kiasi hiki?!!



Mbu bwana...hujanielewa vizuri mpenzi mie ninasema kuna vile ambavyo unawezakuvicontrol kwa akili! Mfano unapomsifia mtu just tambua ni visifa gani na vivumishio vipi vya kuvumishia sifa hizo pasipoharibu au amsha hisia tofauti. Orgasm ukifake si sawa hata kidogo (wote tuna haki ya kufurahi na kuenjoy kwa nini nijinyime nikupendelee wewe?)

Ni sawa katoa hisia zake but hisia hizo hizo angewezazitoa kwa namna nyingine mfano badala ya 'Ulikuwa wapi siku zote' angeweza pia kusema 'Mpenzi aksante kwa ulichonipa leo.'
 

Mbu unataka Babu aniweke kwenye Freezer ili damu yangu iwe baridi......kwani lakini kunichongea namna hii?? Unanipenda kweli weye au ndo unataka kumwonyesha Babu kuwa we ni kidume.........amebaaaana we lakini kwako ameachia?!!
 
Umeona eh? Utandawizi wa siku hizi...........hivi Mababu, Bibi wetu mbona hawakuwa na hii kitu?? (au walikuwa nayo?!)nawaza sipati jibu?

take it from me, they were waaaaayyy worse than this generation, in the sexities sex was free and wild

all those brands such as wet and wild, rough rider, kinky lover, nasty nicky etc were blowing horns
 
take it from me, they were waaaaayyy worse than this generation, in the sexities sex was free and wild

all those brands such as wet and wild, rough rider, kinky lover, nasty nicky etc were blowing horns

TF so ni kuwa sie maadili hatuna? kama haya yalikuwepo tangu enzi hizo waliwezaje kuya'fungia' ndani ya kuta nne za vymbani mwao? kwa nini sie tunashindwa??
Ah nilikuwa wapi siku zote ...........................
 
Khaaa! acha nisogeze kamera langu la betri za mchina, kuna kila dalili za mnuso wa karibuni. Hivi nilikuwa wapi siku zote?

Klorokwini in ze haus!!!...nakweli ulikuwa wapi siku zote!
Karibu tena.


Hahahhaaaaaaaaaaaaa duh hebu tusijedaiwa fees hapa...........tutakiwe kuilipa JF kwa kutukutanisha (sijui ndo blind date!!) hadi kupata kapo !! hahah
Nice one umenikumbusha siku za ujana wangu!!

...Sssshhhhhhhh!!!!!!....kimya kimya,....yule babu yako 'mwanga!' LOL!
 
Khaaa! acha nisogeze kamera langu la betri za mchina, kuna kila dalili za mnuso wa karibuni. Hivi nilikuwa wapi siku zote?

Nasikia harufu ya Conspiracy Klorokwini..........ulilianzisha ukadisapia...................limeendelea umekaa kipembeni, linakamilika ndo watokea?! mwe!!
Ulikuwa wapi siku zote weye?
 
Hahahhaaaaaaaaaaaaa duh hebu tusijedaiwa fees hapa...........tutakiwe kuilipa JF kwa kutukutanisha (sijui ndo blind date!!) hadi kupata kapo !! hahah
Nice one umenikumbusha siku za ujana wangu!!

this is sooo sweet, please MJ if you say yes i will definitely ask to be a floor manager, the most romantic thread so far
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…