Nakumbuka ilikuwa siku ya jumanne niko kidato cha pili majira ya saa 4:30 tuko darasani na mwl wa Archtectural drawing ,ilikuwa ni mlinzi wa shule ndio alikuwa anazunguka kwenye corridor za madarasa na kusema nyerere ameaga duniani huku yuko na redio ikipiga wimbo wa taifa then akaja mkapa kulìhutubia taifa. Wewe ulikuwa wapi wakati huo ?
Nakumbuka siku hiyo nilikuwa hospitali ya mount meru nimeenda kumuangalia mke wangu alikuwa kajifungua mtoto wangu wa nne.
Kwa kumbukumbu mtoto yule nilimwita Julius.
naona mahubiri ya redio imani yamekuingia vizuri...
ninao sita kwa sasa na nimefikia kikomo.eh kwahiyo sasa una 9totoz?
just a joke
Nakumbuka ilikuwa siku ya jumanne niko kidato cha pili majira ya saa 4:30 tuko darasani na mwl wa Archtectural drawing ,ilikuwa ni mlinzi wa shule ndio alikuwa anazunguka kwenye corridor za madarasa na kusema nyerere ameaga duniani huku yuko na redio ikipiga wimbo wa taifa then akaja mkapa kulìhutubia taifa. Wewe ulikuwa wapi wakati huo ?
Kwakuwa kwangu Nyerere alikuwa mtu wa kawaida, sikuhifadhi kumbukumbu za kifo chake kwenye kichwa changu.
Nakumbuka nilikua darasa la5 shule moja ya boarding huko arusha.at that time tulikuwa porini tunakata kuni za shule,kuna baadh yetu walikuwa na viredio vidogo vile!ndo walitupa taarifa!it was so sad kwakweli.
duuh, umenikumbusha mbali sana. mi nilikuwa maeneo ya kasulu nikiwa najiandaa na mtihani wa form four. kwa sababu ya kifo hiki, nakumbuka hata hatukufanya graduation ceremony....Nakumbuka ilikuwa siku ya jumanne niko kidato cha pili majira ya saa 4:30 tuko darasani na mwl wa Archtectural drawing ,ilikuwa ni mlinzi wa shule ndio alikuwa anazunguka kwenye corridor za madarasa na kusema nyerere ameaga duniani huku yuko na redio ikipiga wimbo wa taifa then akaja mkapa kulìhutubia taifa. Wewe ulikuwa wapi wakati huo ?
uliposikia hivyo uliendelea kufungua visoda? hebu nijuze kamanda wangu......nilikuwa bar