tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Niliendelea mkuu nikitafakari je ccm itadumu bila JKN.Jibu ndo nalipata sasa.uliposikia hivyo uliendelea kufungua visoda? hebu nijuze kamanda wangu......
Niliendelea mkuu nikitafakari je ccm itadumu bila JKN.Jibu ndo nalipata sasa.uliposikia hivyo uliendelea kufungua visoda? hebu nijuze kamanda wangu......
Nilikuwa Form Sixx pale Tosamaganga Secondary na akina Lugano Mwampeta na Obeid Malima. Nakumbuka nilikuwa natoka kupiga ulanzi Junction basi Mkangwa akatoa TV ya shule ikawekwa DH watu tukawa tunakula news tu.
Nilikuwadarasa la sita enzi hizo wakati narudi shule wakati wa mchana ndio nikasikia Kengele inagongwa na mwalimu mkuu akaja kutangza na bendera ikawa inaning'inia nusu mlingoti.
Nakumbuka nilikua darasa la5 shule moja ya boarding huko arusha.at that time tulikuwa porini tunakata kuni za shule,kuna baadh yetu walikuwa na viredio vidogo vile!ndo walitupa taarifa!it was so sad kwakweli.
Nilikuwa Form Sixx pale Tosamaganga Secondary na akina Lugano Mwampeta na Obeid Malima. Nakumbuka nilikuwa natoka kupiga ulanzi Junction basi Mkangwa akatoa TV ya shule ikawekwa DH watu tukawa tunakula news tu.
Nakumbuka ilikuwa siku ya jumanne niko kidato cha pili majira ya saa 4:30 tuko darasani na mwl wa Archtectural drawing ,ilikuwa ni mlinzi wa shule ndio alikuwa anazunguka kwenye corridor za madarasa na kusema nyerere ameaga duniani huku yuko na redio ikipiga wimbo wa taifa then akaja mkapa kulìhutubia taifa. Wewe ulikuwa wapi wakati huo ?
Kumbukumbu yako imenigusa. Nzuri sana