Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,026
- 94,670
Kumbeeee hayaaa aiseee
Au ukisikia ndugu yako anafanya kazi Kilimanjaro hotel unajuwa huyo atakuwa ni mhasibu? Vipi na wale wanaotuletea bia kwenye ndege? Watanzania tubadilishe mindset.